Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Jana niliona huu uzi nikadhani wamemlisha maneno mzee wetu... Nimesikiliza mara mbili na kurudia tena nimetafakari sana kwanini maneno haya yalimtoka mstaafu wetu huyu makini.
 
Kaanza kuvimbiwa asali, kiongozi atakuwa kutoa hope, hata kama hana jawabu la kushusha hiyo bei basi ajitahidi kutufariji wananchi kuwa analifanyia kazi sio kujibu jeuri
 
Jana niliona huu uzi nikadhani wamemlisha maneno mzee wetu... Nimesikiliza mara mbili na kurudia tena nimetafakari sana kwanini maneno haya yalimtoka mstaafu wetu huyu makini.
UKweli ni kuwa mafuta yamepanda duniani kote , , unafiki ni kusema yamepanda kwetu tu.
 
Kaanza kuvimbiwa asali, kiongozi atakuwa kutoa hope, hata kama hana jawabu la kushusha hiyo bei basi ajitahidi kutufariji wananchi kuwa analifanyia kazi sio kujibu jeuri
Dunia ya sasa ni utandawazi na social media ni chachu kubwa
Huwezi ukafariji watu kama zamani maana watapata tu taarifa
 
Mzee pamoja na kustaafu kwake kila mwezi analipwa mshahara ambao ni 80% ya mshahara wa Rais aliyeko madarakani. Yeye mambo ya kupanda kwa bei za bidhaa anayafeel vipi au yanamuumaje kwa mfano?.

Mkewe mbunge
Mwanae naibu waziri
Yeye analamba hela nene kila mwezi.
Wote hao wanafaidi kodi za wananchi

Mambo ya maharage kuwa kilo moja sh 4000 yanamuumizaje kwa mfano?

Atulie ale pensheni yake
 
Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...
 
Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...
Angeondoa tozo zingesaidia sana hata kama yamepanda isingekuwa balaa hivi
 
Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...
Mpaka leo kutegemea kilimo cha mvua ni kipimo tosha watu weusi hatuna akili.
 
MAGENGE yake yamekaba kila kona ya utawala huu, anajaribu KUBWEKA ili kutisha MIRIJA YA UFISADI NA UTAPELI WAO isionekane na kukatwa
 
Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...

Wewe unafanya nini sasa hv kwa maisha yako ya kila siku kwa mfumuko huu wa bei?!
 
Mpaka leo kutegemea kilimo cha mvua ni kipimo tosha watu weusi hatuna akili.
Sasa hili jambo la muda mrefu. Kwa hiyo wa kulaumiwa si Samia maana huwezi kubadilisha kilimo kutoka kutegemea mvua kuwa cha umwagiliaji ndani ya miaka miwili tu.
 
It takes a revolution to make a solution...too much confusion so much frustration- Bob Marley
 
Back
Top Bottom