Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
MZEE AJIHESHIMU, asitulazimishe tukamvunjia heshima. Yeye anakula na kusaza, atambue hali hiyo sio kwa wananchi wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga umekujaa kichwani.Makamba alikosea, hata Samia nadhani alisema ameteleza ulimi. Usiseme watakula udongo, ni tutakula udongo. Tena usijisahau yasije yakakukuta ya huyu aliyedhani ana muda mrefu zaidi:
View attachment 2554442
Hata wenye akili kama wewe mnakufa.Ujinga umekujaa kichwani.
Huna lolote wewe boya.Hata wenye akili kama wewe mnakufa.
Kinamuwasha kitu gani mtawala kukosolewa? Kani yeye ndio rais kwa sasa anajitokeza kufokea wananchi wanaolalamika?
Huyu anatakiwa akae kimya kabisa asije akapandisha hasira za wananchi bure na akaathirika kwa matendo yao.
Hali ilianza kuwa ngumu alipokuja Lema
Hayawani ktk kiwango chako!Sawa
Tangu Mbowe aanze Maridhiano hali imezidi kuwa ngumu!
Lakini sisi Rais tuliye mchagua alikuwa ni john magufuli...hayupo sasahivi...hatuna wa kumuohoji...twende tu hivyohivyo.
Utakufa tu hata wewe mwenye lolote na usiye boya.Huna lolote wewe boya.
Hakuna Rais anaeweza kukutatulia matatizo lako binafsi.Rais huyu tuliye naye sasa hana majibu yoyote kwa matatizo yetu. Rais huyu walifika wale viongozi wa dunia intellectuals kuongea naye,wanachagua maneno mepesi ili aelewe.
Nchi haina mwelekeo,haina nidhamu ya kazi. But that is about to change.
Faiza Foxy umewaona wale watoto undernourished ghetto? Wale watu watajiinua kwa kamba zao za viatu? Are you a true socialist?Hakuna Rais anaeweza kukutatulia matatizo lako binafsi.
Kwa maandiko yako tu unaonesha una matatizo binafsi lukuki.
Kwan na huyu mzee anajua kupanda kwa vitu
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?
Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Huyu Mzee na ccm wenzie ni wapuuzi tu,huwezi kulinganisha maisha ya ulaya na Tanzania,hata kama bei imepanda UK na TZ,lakini,kwa Mtanzania maumivu ni makali mala 100 kuliko raia wa UK,kwa maana hata kabla bei haijapanda,asilimia kubwa ya watz wanaishi kwenye ufukara wa kutisha,
Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?
Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'