Orlando_
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 662
- 1,209
Mkuu jitahidi sana mwanao akasomee Cuba..Naomba nielimishe kicodecode kuhusu hiyo code.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jitahidi sana mwanao akasomee Cuba..Naomba nielimishe kicodecode kuhusu hiyo code.
Anajisahaulisha pia udongo unamsubiri hawa watu wanadharau sana ila Mungu anawacheki tu maana kesho hawaijui!Mzee punguza tamaa ya mali na madaraka utuachie kidogo na sisi pia tuna haki kama wewe na watu wako.
Wanajidanganya na ile kauli yao ya makamba ila penda wasipende watakula dongo tu na bado wakienda huko watakuwa na ya kujibu.Anajisahaulisha pia udongo unamsubiri hawa watu wanadharau sana ila Mungu anawacheki tu maana kesho hawaijui!
Yohana kama Yoha!Sawa
Tangu Mbowe aanze Maridhiano hali imezidi kuwa ngumu!
Na kile kizee cha Bumbuli aliwaambia wenzake kuwa wema hawafi Wema wenyewe sasa ukiambiwa unabaki unashangaa! Suburi mda ukifika hawataamini kinachowatokea! Mtu kichwa chenye muvi kisicho na akili!Wanajidanganya na ile kauli yao ya makamba ila penda wasipende watakula dongo tu na bado wakienda huko watakuwa na ya kujibu.
Kikwete mpiga deal hawezi kuwa na akili kuliko watanzania wote hata siku moja, wananchi wanajua sana sana wanachokiongea yy aendelee na deal zake,hapa anayelalamika sio mwananchi bali ni wananchi ambao kati yao wapo wanaomzidi kikwete Elimu na Akili pia.Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.
'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli
'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka? Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Nadhani wazungu walimchoka. Alienda kuomba misaada.Huyu Kikwete alishawahi kuulizwa kipindi anazurula sana kwa nini Tanzania ni masikini kama Rais unasemaje?
Akajibu hata mimi sijui! Sasa jiulize vicho kichwa kina kitu cha maana kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kauli hii kumbe Yanga mwenye akili ni Sunday Manara tu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hii code nimeielewa vyema tu..
Udongo unasubiri kila mtu.Anajisahaulisha pia udongo unamsubiri hawa watu wanadharau sana ila Mungu anawacheki tu maana kesho hawaijui!
We unaweza?!Nani anawezakutuwekea beneficiaries anazopokea raisi mstaaf atuwekee hapa
Makamba alikosea, hata Samia nadhani alisema ameteleza ulimi. Usiseme watakula udongo, ni tutakula udongo. Tena usijisahau yasije yakakukuta ya huyu aliyedhani ana muda mrefu zaidi:Wanajidanganya na ile kauli yao ya makamba ila penda wasipende watakula dongo tu na bado wakienda huko watakuwa na ya kujibu.