Mzee Lowassa yuko wapi?

Mara ya pili nakuuliza:

Taja "mchango mkubwa" mmoja wa Lowassa kwa nchi hii.
Tukizungumzia akiwa Waziri Mkuu, huyu ndiyo aliyehusika katika upatikanaji wa fedha kwaajil ya ujenz wa chuo cha Dodoma yan UDOM. Watu wengi wameenda pale kusoma, wenye uwezo na wasio na uwezo kiuchumi. Ni chuo ambacho najua unajua sifa zake.

Hlf katika ule mpango wa kujenga shule kila kata, kipind kile cha JK, huyu Lowassa alikua ni msimamizi wa mpango huo toka serikakini wa kusimamia huo utekelezaji. Na hii ilifungua fursa kwa watoto wengi kupata nafasi ya kwenda shule na idadi iliongezeka tofaut na awam iliyopita.

N.k
 
Huyu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Watu wamekufa, watu wamefungwa, watu wamefunga biashara ghafla anarudi chama tawala, mzee mwenye bleach ya kikongo sijui Kama ataenda mbinguni
Alishatubu kanisani dhambi zote alizofanya kwa mawazo,kwa maneno ,kwa matendo na kwa kutotimiza wajibu sasa anasubiri kwenda zake mbinguni
 
Time hiyo, bwana weeh!!! Hatari. Ngoma ya Roma, kombe linaenda Monduli au kombe LA Magu ndo inatamba. Ilikuwa mbwai hatariii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Time hiyo, bwana weeh!!! Hatari. Ngoma ya Roma, kombe linaenda Monduli au kombe LA Magu ndo inatamba. Ilikuwa mbwai hatariii

Sent using Jamii Forums mobile app

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…!/nilienda saloon kupakwa makeup ya rangi ya chadema...siku ile ndo hubby akaniuliza hivi ww mzima???πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ’πŸ’πŸ’πŸ’! Bora ningebaki kunyonyesha mwanangu dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…