Mzee Magoma: Haiwezekani MwanaSimba afanye kazi Yanga

Mzee Magoma: Haiwezekani MwanaSimba afanye kazi Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


"Haiwezekani Mwanachama wa Simba aje afanye kazi Yanga haya ni mambo ya kijinga mwenendo wa timu sio mzuri, Sisi wazee wa Yanga hatuna imani na uongozi wa timu yetu

We ulishawahi kuona wapi Mwanachama wa Simba afanye kazi na Yanga, Sisi tunampenda Manara kwasababu ya Baba yake tu ila hatumpendi yeye mwenyewe viongozi wasituzingue wastuletee upumbavu timu sio yao pekeyao wanafanya maamuzi pekeyao

Maneno ya Mzee MAGOMA mzee kutoka baraza la wazee la Yanga alipohojiwa na EFM hata hivyo bado akiwa anaongea Maulidi Kitenge alimua kumkatia simu maana alikuwa akiongea kwa jazba sana.

My Take
Naungana na wazee wa Yanga kuhusu Tamko. Yanga inahujumiwa
 
View attachment 1948321
"Haiwezekani Mwanachama wa Simba aje afanye kazi Yanga haya ni mambo ya kijinga mwenendo wa timu sio mzuri, Sisi wazee wa Yanga hatuna imani na uongozi wa timu yetu

We ulishawahi kuona wapi Mwanachama wa Simba afanye kazi na Yanga, Sisi tunampenda Manara kwasababu ya Baba yake tu ila hatumpendi yeye mwenyewe viongozi wasituzingue wastuletee upumbavu timu sio yao pekeyao wanafanya maamuzi pekeyao

Maneno ya Mzee MAGOMA mzee kutoka baraza la wazee la Yanga alipohojiwa na EFM hata hivyo bado akiwa anaongea Maulidi Kitenge alimua kumkatia simu maana alikuwa akiongea kwa jazba sana.

My Take
Naungana na wazee wa Yanga kuhusu Tamko

Hapo hata Mia ajatoa
 
Kijana ukikataliwa na Wazee ukweni hakuna ndoa hapo.
Kijana kama Manara ni wakati wa kutengeneza/kubuni Brand yake kupitia kipaji alichonacho ni vizuri ashirikishe wadau wengine hasa wenye vipaji vya sanaa.
 
Back
Top Bottom