Mzee Magoma: Haiwezekani MwanaSimba afanye kazi Yanga

Mzee Magoma: Haiwezekani MwanaSimba afanye kazi Yanga

"Yanga SC ikifungwa na Simba SC Jumamosi Viongozi wa watatuambia ni kwanini wamemleta Mtu Mnafiki, Msaliti na Muongo Haji Manara ndani ya Klabu yetu".

Chanzo: Sports Headquarters EFM leo

Safi sana Magoma lianzishe na piganeni.
Manara anawatesa sana .Mtajuta kumfahamu ngoja umuone atakavyowalipua jumamosi baada ya Yanga kushinda.Anajua kukera,mjiandae kisaikolojia

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Ashaanza kulia huko Instagram anatafuta uungwaji mko na wana utopolo huko



Unadhani Bugati anao muda wa kujibizana nao ?

Now nipo Club kubwa mno ,,,kujibizana nao ni kuifedhehesha Yanga Africa,,,,,,

Yanga ni Taasisi yenye heshma nchi hii na mm ndio Msemaji wake,,,sasa nawezaje kujibizana na Wauza Sumu kwa kila wanachokiandika juu yangu.. maana siku hz kutwa kucha ni Haji tu utadhani nimewachukulia mademu zao,,,

Nikiwajibu c watapata kiki wasiyostahili ,,,Au mnasemaje Wananchi wenzangu ,,,,Nipige kubwa ? Maana wanajua majibu yangu vzuri mno,,,hawakawii baadae kuniundia Vigenge,,,,ngoja niwajaze wajae ktk Clemp yangu vzuri ili nifumue mishono,,,

Yes Naitwa Bugati... THE POWER [emoji1548],,
Usiwajibu wanatafuta umaarufu kupitia wewe Haji S.Manara,Semaji la dunia,Bugati,Mtu mwenye akili nyingi kuliko mashabiki wote wa Nyama Pori

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom