Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni Wazee wa Viwandani kwa Mwamedi,washavimbiwa na MO Energy wanabeua sasa hapo.Kwa katiba ya sasa ya Yanga iliyobadilishwa juzi na mkutano mkuu hili baraza halipo na halitambuliki ni kama kijiwe tu cha kahawa.
Kheee[emoji23][emoji23][emoji23]Nakubaliana na Wewe My Love[emoji8]
Kauli zake inconsistent..ni vigumu kumuamini..Manara si ameshajitanabaisha kwamba yeye ni mwana yanga jamani
[emoji419][emoji419]Kwa katiba ya sasa ya Yanga iliyobadilishwa juzi na mkutano mkuu hili baraza halipo na halitambuliki ni kama kijiwe tu cha kahawa.
Hakika umenena iliyo kweli kabisaaKheee[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ujinga umezidi sana kwakweli.
Mambo yawe proffessional.
Na mambo ya kuongoza mpira kifitna kati ya hizi club mbili ndo yanatuangushaga sana kuendeleza soka letu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Manara kafuata shahara nono toka kwa swahiba wake Ghalib.Manara si ameshajitanabaisha kwamba yeye ni mwana yanga jamani
Asanteeee
Unakokulaga pumbaMsukule ukale wapi sasa?
Yaani!!atakula wapi sasa
Lakini nadhan ni kama simba imeachana na mambo hayo!, ndio mana toka Manara kaondoka, hakuna kiongozi au Mzee wa Simba SC aliyejiingiza kujibizana au kuukashifu uongozi wa simba kwa kuachana na ManaraKheee[emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ujinga umezidi sana kwakweli.
Mambo yawe proffessional.
Na mambo ya kuongoza mpira kifitna kati ya hizi club mbili ndo yanatuangushaga sana kuendeleza soka letu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Exactly. Huu ujinga ufike mwisho. Hatutaki tena haya mambo. Yanga huu ujinga tungeukubali toka manji akiwepo leo tungekua mbali sanaLakini nadhan ni kama simba imeachana na mambo hayo!, ndio mana toka Manara kaondoka, hakuna kiongozi au Mzee wa Simba SC aliyejiingiza kujibizana au kuukashifu uongozi wa simba kwa kuachana na Manara
Kitenge mpuuzi sana