Mzee Magoma: Haiwezekani MwanaSimba afanye kazi Yanga

šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚ mzee anawakilisha wengi hawamtaki haji.maulid anajitaidi kumdisapoint amtoe kwenye njia mzee kakaza.
 
Lakini nadhan ni kama simba imeachana na mambo hayo!, ndio mana toka Manara kaondoka, hakuna kiongozi au Mzee wa Simba SC aliyejiingiza kujibizana au kuukashifu uongozi wa simba kwa kuachana na Manara
 
Lakini nadhan ni kama simba imeachana na mambo hayo!, ndio mana toka Manara kaondoka, hakuna kiongozi au Mzee wa Simba SC aliyejiingiza kujibizana au kuukashifu uongozi wa simba kwa kuachana na Manara
Exactly. Huu ujinga ufike mwisho. Hatutaki tena haya mambo. Yanga huu ujinga tungeukubali toka manji akiwepo leo tungekua mbali sana

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…