Mzee Magoma: Haiwezekani MwanaSimba afanye kazi Yanga

Mzungu pori kawashika pabaya uko!!
 
Mwanachama "Maarufu"...?

Kwa bahati mbaya au nzuri leo ndio nimekuja kujua kuwa kumbe tuna mwanachama maarufu anayefahamika kwa jina hilo.

Ila kwa upande wetu mwanachama maarufu ni "MWANANCHI" pekee. Labda utuambie huo umaarufu ameupatia wapi.? Tangu Lini? na nani amempa huo Umaarufu? na ni kwa bei gani?
 
Kwa katiba ya sasa ya Yanga iliyobadilishwa juzi na mkutano mkuu hili baraza halipo na halitambuliki ni kama kijiwe tu cha kahawa.

Vipofu wataonaje pasi na kuwaveka Miwani? 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hivi wale walio msomea dua ni wazee wa wapi?
 
Mkuu hii inside info ulishatudokeza

Unastahili medali
Na hata ile ya kufukuzwa nugaz niliipata hapa kwake mkuu Gentamycin au ukipenda mwite Mightier before kutangaziwa umma,, na hata ule usaliti wa msukule alianza kuuanika hapa kabla hata ya sie wengine kujua tukawa tunamuona kama mo na babra wanamuonea wivu msukule kumbe kweli mnafiki. Kiukweli pamoja na gubu lake huyu bwana mkubwa ila anastaili sanamu pale bunju,,,
 
"Yanga SC ikifungwa na Simba SC Jumamosi Viongozi wa watatuambia ni kwanini wamemleta Mtu Mnafiki, Msaliti na Muongo Haji Manara ndani ya Klabu yetu".

Chanzo: Sports Headquarters EFM leo

Safi sana Magoma lianzishe na piganeni.
Ashaanza kulia huko Instagram anatafuta uungwaji mko na wana utopolo huko



Unadhani Bugati anao muda wa kujibizana nao ?

Now nipo Club kubwa mno ,,,kujibizana nao ni kuifedhehesha Yanga Africa,,,,,,

Yanga ni Taasisi yenye heshma nchi hii na mm ndio Msemaji wake,,,sasa nawezaje kujibizana na Wauza Sumu kwa kila wanachokiandika juu yangu.. maana siku hz kutwa kucha ni Haji tu utadhani nimewachukulia mademu zao,,,

Nikiwajibu c watapata kiki wasiyostahili ,,,Au mnasemaje Wananchi wenzangu ,,,,Nipige kubwa ? Maana wanajua majibu yangu vzuri mno,,,hawakawii baadae kuniundia Vigenge,,,,ngoja niwajaze wajae ktk Clemp yangu vzuri ili nifumue mishono,,,

Yes Naitwa Bugati... THE POWER 💪🏿,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…