Ashaanza kulia huko Instagram anatafuta uungwaji mko na wana utopolo huko
Unadhani Bugati anao muda wa kujibizana nao ?
Now nipo Club kubwa mno ,,,kujibizana nao ni kuifedhehesha Yanga Africa,,,,,,
Yanga ni Taasisi yenye heshma nchi hii na mm ndio Msemaji wake,,,sasa nawezaje kujibizana na Wauza Sumu kwa kila wanachokiandika juu yangu.. maana siku hz kutwa kucha ni Haji tu utadhani nimewachukulia mademu zao,,,
Nikiwajibu c watapata kiki wasiyostahili ,,,Au mnasemaje Wananchi wenzangu ,,,,Nipige kubwa ? Maana wanajua majibu yangu vzuri mno,,,hawakawii baadae kuniundia Vigenge,,,,ngoja niwajaze wajae ktk Clemp yangu vzuri ili nifumue mishono,,,
Yes Naitwa Bugati... THE POWER [emoji1548],,