Uzee ni hekima lakini pale tumepigwaHabari ndugu zangu? Nimeangalia video hii ya Mzee Yusufu Makamba akihojiwa na ndugu Waandishi wa Habari ila nimeshangazwa na namna anavyojibu maswali kwa ukali na kushindwa kujibu maswali muhimu nimeshindwa kumwelewa huyu mzee nahisi kuna waya umekatika kichwani. N:B Baba na Mtoto hawaeleweki tatizo.
View attachment 2439385
Hata wapumbavu wanazeekaYusuph Makamba aulizwa kuhusu ukosefu wa umeme na maji mchini, amshambulia vikali mwandishi, asema "Kuwa na shukrani".
View attachment 2438761
Inasikitisha sana bro!Uzee ni hekima lakini pale tumepigwa
Unavyizidi kuwa mzee ndivyo akili inazidi kupungua.huyo makamba akili imeisha ndiyo maana anashindwa namna ya kujibu
Kuna kichapo cha MunguKwani Makamba umri wake kawazidi miaka mingapi Wakina Butuku, Warioba, Shivaji, Biden, Kikwete?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Bwahahahahahahahahah nimecheka mbaya.Huyu mzee ni wa hivi hivi siku zote. Kuna siku amepita Mwanza wananchi wakamuonyeshea alama za vidole vya chadema yeye akawa anawaonyesha dole la kati
Kwani sasa nchi ipo chini yao huduma yoyote akitaka anaipata ata sasa hivi akitaka kwenda Marekani kula lunch na kurudi inawezekana kwa kutumia kodi zetuKuna kichapo cha Mungu
Kuna sukari
Kuna Karma za uovu kama ulikuwa umewatendea watu huwa inakuja kila mtu na namna yake..
Halafu maisha yake huwezi fananisha ya kikwete mzeee.
Mkuu tusitofautiane sana mbona nimekutajia fact nyingi hapo au hizo huzioni?Kwani sasa nchi ipo chini yao huduma yoyote akitaka anaipata ata sasa hivi akitaka kwenda Marekani kula lunch na kurudi inawezekana kwa kutumia kodi zetu
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mchango wako mzuri kweli, pengine huu ndio mkubwa, na hata reaction ya mzee pengine alimaanisha ilipaswa kuwa reaction yetu sote in response to the authorities.Mzee ameonesha kiburi, jeuri, ambacho anajua watanzania ni wajinga hawawezi kusema chochote, halafu anajua CCM ni chama Dola yaani ukifika uchaguzi polisi CCM wanapiga watu na kupora uchaguzi huku wananchi hawana maji, hawana umeme ,pia usisahau huyu Mzee na kikosi chake wanalamba asali Nape, Makamba, Kikwete, Riziwani, Samia. Ni heri wazungu wangebaki kuliko hawa wazee
Vyanzo vya maji havijazwi na waziriInabidi tu sasa mwanae alisema njooni mniue hapa alipoulizwa sana kuhusu umeme na kukauka vyanzo vya maji