Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

So sad indeed. Umeongea vema!
 
Anagonga Nyundo Wahindi Wanasema Ni Kelele
Wahindi Wamejazana Kwenye Maghorofa Msajiri
Tunabaki Kutangatanga Huku Kwanjeka
 
Kwa lugha ya jana alipohojiwa na amtusi aliyotoa, huyu mtu anjiona ana miliki ya Tanzania na mwanae January au in a broad sense kakundi kadogo ka CCM ndiko kamaimiliki kama mali binafsi Tanzania na yeye akiwa front seat katika kakundi ako!
My observations/ cross examination ishu ya huyu mzee
. Bado ana maumivu na visasi na mwendazake
. Uzee ni hekima lakini kwa mzee Makamba imekuwa tofauti
. Hapendi madhaifu ya mwanae yawekwe wazi
. Kura alizopata mwanae NEC zimempa taharuki kubwa
. MWISHO WAKE hauko mbali
 
Kwa lugha ya jana alipohojiwa na matusi aliyotoa, huyu mtu anajiona ana miliki ya Tanzania na mwanae January au in a broad sense kakundi kadogo ka CCM ndiko kanaimiliki kama mali binafsi Tanzania na yeye akiwa front seat katika kakundi hako!
Huo ndio ukweli
 
Inasikitisha sana kwamba Mtoto ndio inabidi amshauri Mzazi, kinyume kabisa na mambo yanavyotakiwa kwenda. Lakini hapa pembeni jamaa ananiambia “Like father like son: Every good tree maketh good fruits.”
 
Kwa lugha ya jana alipohojiwa na matusi aliyotoa, huyu mtu anajiona ana miliki ya Tanzania na mwanae January au in a broad sense kakundi kadogo ka CCM ndiko kanaimiliki kama mali binafsi Tanzania na yeye akiwa front seat katika kakundi hako!
Na ana hasira kali juu ya mwanae kutumbuliwa na JPM. Ndo maana akatamka "watu wazuri hawafi."

Kina mzee Makamba wanajichukulia kama ukoo wa kina William, Harry and Charles.
 
Umeweika vizuri sana.

Nchi hii Ina tatizo kubwa sana kwenye career development and recruitment process.

Imejaa watu wa kuokota okota tu.
 
Kwa lugha ya jana alipohojiwa na matusi aliyotoa, huyu mtu anajiona ana miliki ya Tanzania na mwanae January au in a broad sense kakundi kadogo ka CCM ndiko kanaimiliki kama mali binafsi Tanzania na yeye akiwa front seat katika kakundi hako!


Polepole aliwahi kusema kuna wahuni....ama kweli, wahuni hawazeeki.

Halafu wamejipeleka mbele kabisa wanataka tuamini ni viongozi bora.
 
Na ana hasira kali juu ya mwanae kutumbuliwa na JPM. Ndo maana akatamka "watu wazuri hawafi."

Kina mzee Makamba wanajichukulia kama ukoo wa kina William, Harry and Charles.


Hawana sifa za koo hizo. Muda mwalimu mzuri.
Watanzania wa leo wanakataa...kama mtu haoni hilo, labda hana macho
 
Kwa lugha ya jana alipohojiwa na matusi aliyotoa, huyu mtu anajiona ana miliki ya Tanzania na mwanae January au in a broad sense kakundi kadogo ka CCM ndiko kanaimiliki kama mali binafsi Tanzania na yeye akiwa front seat katika kakundi hako!
Huyu mzee ana standby generator ndio maana anamuuliza ndugu muandishi kama kwake unakatika...
 

Jacob Zuma... Teh teh tihii
 
Nchi hii miaka nenda rudi, kuna watu/familia wanajiona kama wao ndiyo wana hakimiliki ya nchi hii

Ova
Yaani mzee anavyofoka ni kama vile yeye ndio kila kitu hapa nchini na sisi wote ni mali yake na mwanae.
 
Kwa lugha ya jana alipohojiwa na matusi aliyotoa, huyu mtu anajiona ana miliki ya Tanzania na mwanae January au in a broad sense kakundi kadogo ka CCM ndiko kanaimiliki kama mali binafsi Tanzania na yeye akiwa front seat katika kakundi hako!
Tuikatae tabia hii. In fact CCM imeifanya wananchi wa kawaida manamba, wao wanatuita ''wapiga kura wetu'' . Hii neno inanikeraga kiasi cha kutamani kuingia msituni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…