Katika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki
Mfano tazama katika familia yako utapata jibu
Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.
Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .
Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Mzee alikuwa na machungu ya ubatizo wa moto uliokuwa unafanywa na mtume Magu. Inaonekana walioshangilia tukio lile la mwendazake kuondoka walikuwa wengi.Mzee Aliteleza Sana Kwa Kauli Ya Hovyo
Uchawa na kunipendekeza ndio issueHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Unaweza kufafanua mkuu kwa faida ya wote?Siyo kweli
Alijua mwanae anakuwa Rais.Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Alimtaja Kinana, Kinana kwa tuhuma zote zile, ni legacy ipi kwake hata akiondoka ataiacha?Wazuri hawafi inamaanisha watu wema wanaacha legacy ambazo hata wakifa zinakumbukwa kwa muda mrefu...
Chukulia mfano mtaani kwenu kuna shida ya maji, aje mtu ajenge kisima kikubwa kihudumie mtaa mzima, huyo mtu hata Akifa legacy yake inabaki.
Wewe ni mfuasi wa kauli hiyo ya kijinga?Ya kwamba Kikwete miaka 10 ya uongozi wake hakuna chochote kizuri alicho ifanyia Tz?
Bila Kikwete kuanzisha mradi wa umeme vijijini wa REA bibi yako huko kijijini angekuwa anajua hata balbu ya umeme inafananaje?
Bila kikwete kuanzisha sera ya elimu kwa wote kwa kuanzisha shule za kata ww mtoto wa mlala hoi ungejua hata radha ya elimu inafananaje?
Hapa Tz kuna kiongozi aliye jenga km nyinyi za barabara kumzidi kikwete?
Huo umeme mlio kuwa mnamsifu kuwa haukatiki asilimia 65 ya vyanzo vyake si vilijengwa na huyo kikwete?
Kipindi cha kikwete ndo wakati ambao watz wengi masikini walijikwamua kwenye umasikini.
Hayo ni machache tu yapo mengi.
Mradi pekee wa maana ulio anzishwa na Magufuri ulikuwa ni hili bwawa la Nyerere tu mingine yote ilikuwa ni miradi ya hovyo na isiyo kuwa na manufaa yeyote kwa raia wa kawaida wa Tz zaidi ya manufaa ya kisiasa.
Yaani badala uchukue fedha uongeze mzunguko wa fedha mitaani ili urahisishe maisha ya masikini mitaani ,dabala yake una somba pesa kwa hao masikini na kwenda kununua ndege na kwenda Dodoma kujenga ikulu na majengo ya matrion ya fedha, alafu unajiita rais wa wanyonge.
Yaani yeye ni katika Ile Orodha ya watu wazuri ambao hawafiYeye mwenyewe makamba ni mtu mzuri na kwamba kifo hakimhusu
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Mmmh!Yeye mwenyewe makamba ni mtu mzuri na kwamba kifo hakimhusu
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Siyo kweli kwamba kila mtu ataonja mauti?Siyo kweli
Anajiona yu hai, hivyo ni mwema, anajidanganya!Hivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Hata kidogo, bado mnooooo!Umesha paniq mkuu
Povu??? tatizo lako shule ney ney., Shule ilikuchapa, akili kisoda.Ya kwamba Kikwete miaka 10 ya uongozi wake hakuna chochote kizuri alicho ifanyia Tz?
Bila Kikwete kuanzisha mradi wa umeme vijijini wa REA bibi yako huko kijijini angekuwa anajua hata balbu ya umeme inafananaje?
Bila kikwete kuanzisha sera ya elimu kwa wote kwa kuanzisha shule za kata ww mtoto wa mlala hoi ungejua hata radha ya elimu inafananaje?
Hapa Tz kuna kiongozi aliye jenga km nyinyi za barabara kumzidi kikwete?
Huo umeme mlio kuwa mnamsifu kuwa haukatiki asilimia 65 ya vyanzo vyake si vilijengwa na huyo kikwete?
Kipindi cha kikwete ndo wakati ambao watz wengi masikini walijikwamua kwenye umasikini.
Hayo ni machache tu yapo mengi.
Mradi pekee wa maana ulio anzishwa na Magufuri ulikuwa ni hili bwawa la Nyerere tu mingine yote ilikuwa ni miradi ya hovyo na isiyo kuwa na manufaa yeyote kwa raia wa kawaida wa Tz zaidi ya manufaa ya kisiasa.
Yaani badala uchukue fedha uongeze mzunguko wa fedha mitaani ili urahisishe maisha ya masikini mitaani ,dabala yake una somba pesa kwa hao masikini na kwenda kununua ndege na kwenda Dodoma kujenga ikulu na majengo ya matrion ya fedha, alafu unajiita rais wa wanyonge.
Acha kupotoshaHivi aliyetoa hii kauli alimaanisha nini na kwa nini? Je, waliokufa kwenye familia yake au ukoo wake wote ni wabaya?
Ingekuaje watu hawa wangepewa mamlaka ya kusimamia kugawa pumzi ya uzima na hewa safi tunayopumua kila siku?
Acha kupotoshaKatika Philosophy MTU mzuri huwa hafariki
Mfano tazama katika familia yako utapata jibu
Pia tazama kuhusu Mandela na Nyerere.
Mzee Mkamba he was right to speak that ila watu wameshindwa kuelewa hili jambo .
Binadamu mzuri mwenye utu huwa anaondoka katika mwili wa nyama Ila yeye anaendelea kuishi.
Ndiyo mkuu siyo wote watakaoonja mauti...Kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kikristoSiyo kweli kwamba kila mtu ataonja mauti?
Mkuu unamaana gani hapa
Kwa lugha nyepesi...hatujui mwisho wa dunia ni lini...hivyo kama huo mwisho utatokea leo au hata kesho mimi na hata wewe tutakuwa bado tunaishi...nadhani umenielewaUnaweza kufafanua mkuu kwa faida ya wote?