Kweli laana na ujinga ulianza zamani ndio maana Nyerere akaweka km mojawapo ya maadui watatu.Kwa akili ya Nyerere i wazi alijua alichosema,na maana ya mstari km huo ktk Biblia.Alijua kabisa kwamba TZ hakuna uwezekano wala mawazo ya kuwapa mbwa uongozi..kwa hiyo happa Nyerere alimaanisha alichosema kwa binadamu na watz ambao hakuwataka.nyerere aliwahi kusema siwezi kuwapa mbwa nchi na tukasema ni tusi
Mkapa mjanja sana kawapoteza maboya kabisa! Hadi kampeni zinaisha watakuwa wanajadili maneno mawili tu yaani Pumbavu na Lofa huku Magufuli akichanja mbuga.Hivi mkiitwa wapumbafu na malofa mtakataa? Mnatumia mda mwingi kujadili maneno mawili ya Nkapa badala ya kujadili hoja za Magufuli, au mmeona kuongea point tupu mmekosa cha kumkosoa?Punguzeni ULOFA basi
Watanzania Hivi tumerogwa na nani? Yaani Ziara ya Lowassa Imeleta nini kwa wakazi wa Gongolamboto kama sio cheap politics? Sasa ndio amepeleka nini kwao kama sio usanii??Wapi wewe na kakudanganya. Ya mkapa na ya ccm pale Jangwani yameisha kuwa historia. Kinachojadliwa sasa ni ziara ya Lowassa kule Congo la Mboto, Chanika na Mbagala.
Du! EL kweli kachemka!!Watanzania Hivi tumerogwa na nani? Yaani Ziara ya Lowassa Imeleta nini kwa wakazi wa Gongolamboto kama sio cheap politics? Sasa ndio amepeleka nini kwao kama sio usanii??
Nilichogundua jana CCM wana kazi kubwa ya kufanya. Kwanza vyombo vya habari na watanzania hawakuwa na muda wa kujadali sera za CCM na ilani yake zilizotangazwa na Magufuli. Hii ni dhahiri kwamba wamechokwa na wananchi wameishagundua kwamba ni watu walewale na sera zilezile ivyo hawana muda wa kupoteza kuzijadili. Pili Mkapa aliwabeba sana watanzania hasa pale alipotumia lugha kali ya kutukana 'wapumbafu'. Alitoa nafasi nyingine ya kujadiliwa yeye na wala si mgombea wake na sera za chama chake. Tatu Lowassa ndo alimalizia kabisa safari yao baada ya kuibuka na safari ambayo nayo ilivuta tention ya watu kwa siku nzima na hivyo watu kujikuta wanaendelea kumdiscuss yeye. Nani anakumbuka Magufuri aliongelea nini hadi watu wakavutika na sasa wanaendelea kumjadili, zaidi sana naona kajitengenezea maswali zaidi. Kwa maoni yangu kwa kete ya jana ikisaidiwa na maneno ya Mkapa wapinzani wamecheza vizuri kwa kuhakikisha Pombe hasikiki.
Wapi wewe na kakudanganya. Ya mkapa na ya ccm pale Jangwani yameisha kuwa historia. Kinachojadliwa sasa ni ziara ya Lowassa kule Congo la Mboto, Chanika na Mbagala.
Wanasiasa uchwara ndio wanaosema kuwa Mkapa alitukana watu,lakini mtu makini anaelewa 2azi alisema niniNimefuatilia sana kuna watu kadhaa ambao mimi nimewatafasri kuwa ni wachovu kisiasa, wanadai eti Mkapa alitukana na baadhi yao wameenda Mbagala rangi 3 kualika mkutano wa Jumamosi. Je watu hawa wamesahau kuwa Sugu aliwahi kumwita Waziri Mkuu Pinda Mpumbavu hadi kesi ikaenda mahakamani na Jaji akatoa uamzi kuwa pumbavu siyo tusi, na wao wakashangilia usiku na mchana. Lakini leo Mh. Mkapa kusema neno lile lile imekua nongwa. " chongo kwa mnywezi kwa Mbowe kengeza".
It is very true.
Ni bora sote tunaoitwa wapumbavu na malofa tukatumia 'kichinjio' chetu (kitambulisho) cha kupigia kura, tarehe 25 Oktoba mwaka huu kuwathibitishia wale waliotuita sisi wapumbavu na malofa kuwa sisi siyo malofa bali matajiri wa maamuzi magumu na tutatumia utajiri wetu huo wa fikra kwa kuwang'oa madarakani wale wote waliotuita sisi kuwa ni wapumbavu na malofa.
Mfano mdogo tu. Mtoto wa lofa anafaulu mtihani kuendelea na masomo lakini anaechaguliwa ni mtoto wa mteule. Afanyeje? Kazini ni hivyo hivyo.Kuna wanao/waliofaidika na mfuma huuu huu unaoupigia chapuo uondoke na kunaowaliotupwa nje ya mfumo huu huu. Bila ya kujali wewe upo upande ganitujifunze kufaidika na mfumo wowote uliopo kwani hakuna serikali yeyote itakayokufuata ulipo na kukupa kazi au mshahara bila ya kufanya kazi,ke, maana tokea tukiwa shule ya msing wengi wa aliokuwa wanajibidiisha walifanikiwa wengine wote waliobakia walisubiri bahati ambayo mara nyingi huwaangukia wachache tena wateule. Cha msingi tuchape kazi na tuache kulaumu kula jamba kwa mihemko ya kisiasa.
Nasikia alienda kutafuta wasanii na ndo ulikuwa ufunguzi wake maana hali ni tete ya kifedha ukawa, Mbowe keshalamba mshiko wake na Mzee siyo liquid tena madeni mengi yanamwamdama. Inamaana ilikuwa guvu ya soda.
Mzee Mtei yupo mbioni kuwasiliana na Lowassa, Lowassa hapatikani kwa muda mrefu kwenye simu, akishalambwa sindano yake inabidi apumzike si chini ya masaa mawili, maana anayoyoma kama teja akishalambwa sindano na kwa mujibu wa habari nilizosoma JF sindano kwake ni kutwa mara 4. ndo maana anatembea kama kuku aliyeugua kideli
Msione kampeni hazijaanza mkafikiri ni taratibu za kampeni, ukata na kizungumkuti cha fedha ndicho kinachofanya hayo yaendelee.
Mwaka wa uchaguzi huu tutasikia na kuona mengi sana.
Nilichogundua jana CCM wana kazi kubwa ya kufanya. Kwanza vyombo vya habari na watanzania hawakuwa na muda wa kujadali sera za CCM na ilani yake zilizotangazwa na Magufuli. Hii ni dhahiri kwamba wamechokwa na wananchi wameishagundua kwamba ni watu walewale na sera zilezile ivyo hawana muda wa kupoteza kuzijadili. Pili Mkapa aliwabeba sana watanzania hasa pale alipotumia lugha kali ya kutukana 'wapumbafu'. Alitoa nafasi nyingine ya kujadiliwa yeye na wala si mgombea wake na sera za chama chake. Tatu Lowassa ndo alimalizia kabisa safari yao baada ya kuibuka na safari ambayo nayo ilivuta tention ya watu kwa siku nzima na hivyo watu kujikuta wanaendelea kumdiscuss yeye. Nani anakumbuka Magufuri aliongelea nini hadi watu wakavutika na sasa wanaendelea kumjadili, zaidi sana naona kajitengenezea maswali zaidi. Kwa maoni yangu kwa kete ya jana ikisaidiwa na maneno ya Mkapa wapinzani wamecheza vizuri kwa kuhakikisha Pombe hasikiki.