BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kabisa, hio familia inapaswa marehemu na pia Marehemy hakuwa manafiki wa kwenda msibani kujionyeshaJambo la kushukuru bajet za kulisha Kijiji zimepungua mambo yataenda chapchap
Uzur ukifa hata mwez hauishi watu wamekusahau
Sio kuishi Kizungu, hakuwa mnafiki, Misibani watu hawaendi kuomboleza bali unafiki ili waonekane na wao walikuwepoHuyo baba labda alijaribu kuishi kizungu ila mambo yaende. Si ajabu ukienda kwake bila taarifa unakarishwa sebuleni na wanaendelea kula. Hudhuria mazishi unapopata nafasi, sio ili watu wakuone.
wa mnafiki, awe kwenda kutafuta kuonekana misibaniNingekuwepo ningeshiriki kikamilifu. Maana huyo mtu lazima alikuwa na kitu tofauti.
kwani lengo la kwenda msibani ni lipi? inaeonekana Bongo mna malengo tofautiHaya mambo ya misiba tunapokwenda ni kubaya uswazi tunaishi na watu wenye Roho mbaya usisafiri misiba miwili ikakupita utaambiwa hautokagi misibani watasahau kama ulishawahi kuchimba kaburi la mzazi wao miaka mitatu iliyopita
Hivi ninini kimesababisha hili jambo?Naunga mkono hoja. Mwafrika yuko radhi asichange milion 5 ya upasuaji akaja kuchanga milion 10 ya mazishi.
MWAFRIKA MUONE HIVI HIVI, ANA MAAJABU MENGI SANA.
Kwasababu watoto wake wote aliwapeleka English MediumSo what?
Mkuu mbona ujaweka kukamuliwa mavi?Ukiona hivyo hapo hakuna waislam wa kweli muislam wa kweli ambaye mcha Mungu Hana muda wa malipizi ya aina hiyo huamini katika stahiki nne za marehemu kuoshwa,kuvikwa sanda,kusaliwa na kuzikwa kinyume chake waliopo hapo ni waislam wa majina
Mnamwadhibu huyo mzee au familia yake?Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.
Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.
Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.
Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.
Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.
Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
Misibani ni
UMALAYA
KULEWA
MAJUNGU
KUSALIMIWNA
KULIA UINGO.
NK
Hawajamkomoa marehemu maana ashajifia.
Umeleta hoja nzuri kwangu. Hivi, mtu akifa wananzengo wakaja wakajaa kama mia tano au elfu hivi hadi msiba ukaisha. Kuna faida gani?Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.
Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.
Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.
Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.
Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.
Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
Hatari sii mchezo watu wanataka kula nyamaTemea chini nuksi hiyo isikuvae.
Kama una makandokando ya kutohudhuria misiba ya kwenye nzengo unayoishi, jitahidi ndugu nenda, siku hiyo ua shughuli zako.
Jamii inayokuzunguka ndiyo wanaokupima nyendo na tabia zako.
Hapa siyo Ulaya utasema kuna vikundi vya mazishi na wafariji wa kukodi.
Ukiona jamii inakutenga siku ya msiba wako, cha kufanya kuwa mpole, usilete ujuaji ama ngebe zako kabisa.
Hapo huwa imelengwa faini ya kujikosha na kurejeshwa kundini.
Kwa hiyo faini itakayoamriwa ndugu watakuchangia na ikishatolewa, watu wataendelea kushirikiana na wewe kama kawaida.
Mi niliona hayo kwa ndugu yangu, ilibidi wanandugu tuchangishane kununua huyo ng'ombe aliotozwa na nzengo katikati ya msiba, watu wamegoma kuzika mpaka ng'ombe alipotoka ndiyohali ya hewa ikarejea kawaida.
Mambo ya kijamii ni marahisi pia ni magumu sana usiombee yakukute mr.
Ndio maana kuna kampuni za kuzika, huu ujinga utaisha one day, kwamba kazima uhudhurie misiba hata kama alie kufa hamjuani
Shida sio Mzee ila mke na watt ndo wapuuziMzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.
Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.
Bahati mbaya hata watoto wake mke pia walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Hii stori inakuja kufanana kidogo sana na hii yangu ambayo niliishugudia.
Hii imenikumbusha mwaka 2019 nilihudhuria msiba wa babu huko Musoma kijijini cha Nyabange Wilaya ya Butiama. Nzengo walikuja kama kawaida wakashughulika kila kitu wakaandaa, lilipofika suala la kula kile chakula wakaitana baadae nikaona kila mtu anaenda kwake, kila kitu walicho andaa walikiacha kama kilivyo tukabakia ndugu tu.
Wakasema, mjomba ambae ndio msiba ulikuwa umepangwa hakuwa anakula kwenye misiba na yeye alikuwa anachangia tu. Na mke wake alikuwa anakuja kupika na kuondoka kula hawali wala hawakai kwenye msiba wa nzengo. Waligoma kabisa, sasa chakula walichokuwa wameandaa nikama sisi ndugu tusingekimaliza hata kama tungekula siku 2 bado kingebaki kingi tu. Ikabidi ndugu waitane na wakaongee na wazee mjomba akapigwa faini ya mbuzi ndio wakaja kushiriki.
Toka hapo mjomba hajawahi kuacha kuhudhuria misiba anakwambia nilichokiona sikuile ni fedheha hata kama unauwezo ile ni mbaya sana.
ππππHapo shida ni pesa tu wala sio kuhudhuria misiba.
Hapo ingekua ng'ombe 1 ama 2 wako chini, michele ya kufa mtu msiba ungejaa watu na mazishi yangeenda poa tu.
Ukiwa masikini ukafa ndio unaletewa masharti ya kipumbavu kama hayo mara ulikua huhudhurii misiba, mara ulikua huchangii jumuia na ujinga mwingine ila ukiwa na pesa hata mbwa wako akifa askofu ama shehe anakuja kumuombea aende mbinguni.
π€£π€£π€£Mtu mmoja aje atuambie maiti ya mzee inafaidika nini majirani wakijazana hapo nyumbani.