Mzee mmoja alikuwa haudhurii misiba leo kafariki, kinachoendelea hapa naona ni msiba wa familia tu

Huyo baba labda alijaribu kuishi kizungu ila mambo yaende. Si ajabu ukienda kwake bila taarifa unakarishwa sebuleni na wanaendelea kula. Hudhuria mazishi unapopata nafasi, sio ili watu wakuone.
Sio kuishi Kizungu, hakuwa mnafiki, Misibani watu hawaendi kuomboleza bali unafiki ili waonekane na wao walikuwepo
 
Haya mambo ya misiba tunapokwenda ni kubaya uswazi tunaishi na watu wenye Roho mbaya usisafiri misiba miwili ikakupita utaambiwa hautokagi misibani watasahau kama ulishawahi kuchimba kaburi la mzazi wao miaka mitatu iliyopita
kwani lengo la kwenda msibani ni lipi? inaeonekana Bongo mna malengo tofauti
 
Kuna wakati jamii inakuwa bore kuliko pesa zako,hapo sasa watakao waza kususiwa msiba ni wale waliopo hai,kwa fursa hizi,inabidi nianzishe kikundi cha kulia msibani
 
Ukiona hivyo hapo hakuna waislam wa kweli muislam wa kweli ambaye mcha Mungu Hana muda wa malipizi ya aina hiyo huamini katika stahiki nne za marehemu kuoshwa,kuvikwa sanda,kusaliwa na kuzikwa kinyume chake waliopo hapo ni waislam wa majina
Mkuu mbona ujaweka kukamuliwa mavi?

Nyau de adriz
 
Mnamwadhibu huyo mzee au familia yake?
 
Umeleta hoja nzuri kwangu. Hivi, mtu akifa wananzengo wakaja wakajaa kama mia tano au elfu hivi hadi msiba ukaisha. Kuna faida gani?

Na mtu akifa, wananzengo wasije bali wakaja ndugu, jamaa na marafiki wa karibu na marehemu na ndugu wa marehemu kama kumi tu hadi msiba ukaisha, hasara yake ni ipi?
 
Hatari sii mchezo watu wanataka kula nyama
 
Ndio maana kuna kampuni za kuzika, huu ujinga utaisha one day, kwamba kazima uhudhurie misiba hata kama alie kufa hamjuani

Na waombolezaji hata ukiwambia walie machozi wanalia ilimradi uwape Hela yao mloelewana.
Kuomba siku hizi unakodi mziki hata ukitaka ukeshe au kama una spika yako unaweka flash muda wote mapambio kama yote.
Kuliko kujaza Wa hila wasio na Mungu moyoni
 
Yani kutohudhuria msibani ni adhabu? Wamatumbi mnasafari ndefu sana.

Misiba inajaza na inakaa muda mrefu sababu watu wengi hawana shughuli za msingi za kufanya. Itafika hatua watu wataenda misibani kwa invitation.
 
Heka heka hizi huwa zipo huku tu kwetu Africa hususa Tanzania. Mbona nchi za wenzetu ni kawaida kabisa. Yaani mazikoni mnakuaa wachache tu na kampuni ndio inahusika na maziko.
 
Shida sio Mzee ila mke na watt ndo wapuuzi
WLiiga tabia ya kipuuzi
Mke hakukaa kwenye nafasi yake ku cover huo udhaifu wa mume
Hivi vitu vipo Kuna watu wameubwa hivyo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…