Mzee mmoja alikuwa haudhurii misiba leo kafariki, kinachoendelea hapa naona ni msiba wa familia tu

Mzee mmoja alikuwa haudhurii misiba leo kafariki, kinachoendelea hapa naona ni msiba wa familia tu

Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli zakutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu..

Bahati mbaya hata watoto wake walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Kama waliopo wanatosha kumzika hakuna tatizo hapo.
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli zakutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu..

Bahati mbaya hata watoto wake walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Me mwenyew nikifa staki shobo.Umasikini wa kiafrika mnahisi mkirundukina au msiba ukiwa na watu wengi basi kuna maana au ni ufahari.

Kampuni kibao zinashughulikia mazishi sasa nyie walalahoi msio na hela ndio mpambanie watu wa kuwazika.

📌Na mkiona tabu pelekeni maiti msikitini itazikwa huko hawana ubaguzi wa kijinga.

📌Mtu akishakufa biashara imeishia hapo haijalishi atazikwa na mtu mmoja au maelfu ya watu.🤝
 
Ila ni sawa tu maana wasioenda wamewapunguzia gharama wafiwa. Kama familia inajiweza kiasi hapo ni kununua tu jeneza, wakodi watu wachache wa kusaidia kuzika makaburini, siku imeisha.
Huwa tunacomplicate sana misiba
Yes kabisa, sikuhizi kuna funeral services, watatafuta na watu wa kuwalipa hata wasiopungua 10, wanamaliza bila stress ya masufuria ya ubwabwa jikoni
 
Nani kawakwambia kuwa watu wanakuja nakwenda msibani kwa ajili ya kula? Unafikiri watu hawana vyakula majumbani mwao mpaka waanze kusubiri mtu afe ndio wakale. Kwenu wanakufa wangapi kwa wiki mpaka uhisi watu wanakuja kwa ajili ya kula.

Huna akili. Acheni kuvuta mibangi mkiwa na msongo wa mawazo.
Mnajazana msibani kufanya nini?
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli zakutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu..

Bahati mbaya hata watoto wake walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Msiba mzuri kabisa huo. Sio kwenda kuweka kiwingu misiba ya watu. By the way siku hizi kuna huduma za kukodi mazishini. Kwa hiyo nyie vinyangarika piteni mbali. Msisogee hata kula wali kwenye bufee kumbaf
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli zakutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu..

Bahati mbaya hata watoto wake walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Hana maumivu yoyote hapo alipo; wala hisia; wala haoni; wala hasikii! "Kumkomoa" hakuna maana yoyote unless kama watoto au ndugu zake nao walikuwa na tabia kama yake wanafundishwa namna ya kuishi na watu kupitia kifo cha mzee wao. Ila kama kwa ajili ya marehemu hao wanaofanya hivyo ni wajinga.
 
Kutumia fedha nyingi kwenye msiba na watu wengi ni kuendeleza umasikini. Baada ya msiba familia inakosa mahitaji muhimu kama ya afya na elimu. Wanaanza kulaumu Trump na wengine wanaoelekeza kubana matumizi.
 
Mzee mmoja amefariki na M/Mungu alimjaalia kweli enzi za uhai wake mali kweli kweli za kutosha, katika kujumuika na nzengo Mzee hakuwa na historia ya kuhudhuria misiba ya wengine na hata kushiriki tu hakuwa anafanya hivyo enzi za uhai wake kabisa na hakuwa anajali.

Sasa ya Mungu mengi bwana leo yeye ndio amefariki toka Jumatatu. Nyumbani kwake pamewekwa maturubai na ratiba ya mazishi ila hakuna watu.

Bahati mbaya hata watoto wake walimuiga tabia. Wapo wenyewe na ndugu majirani hakuna hata mmoja na watu hawana habari napo ni kama vile hakuna kitu vinaendelea pale kila mtu anaendelea na mambo yake.
Mwisho wa siku atazikwa tu.
Ila ni vizuri kujihusisha na mambo ya kijamii mara moja moja. Tupunguze nyodo!
 
Back
Top Bottom