Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Maisha lazima yaendelee. Huu ujinga wa kususia misiba wakati akiwa hai walikuwa wanapokea michango yake ni upuuzi.wamejiongeza ndo maana mleta mada hajasema wameshindwa kumzika baba yao kisa majirani wamegoma.