Mzee Mohamed Said acha kupindisha historia, ni Nyerere aliyetuletea uhuru, sio wengine

Mzee Mohamed Said acha kupindisha historia, ni Nyerere aliyetuletea uhuru, sio wengine

Shukrani ziende kwa waanzilishi wa harakatii ila tunamthamini alietufikisha tulipokua tunahitaji (FREEDOM) ..
Tunakubali sawa japokuwa JKN sio muhasisi wa harakati ila amepokea kijiti na kukifikisha sehemu ambapo wahasisi walishindwaa kukifikisha na hapo ndo utambuzi, heshima na uweledi wa JKN unatofautika na watu wengine waliokuwepo kweny harakati.... .
Mizy,
Hakuna anaeweza kukataa mchango wa Mwalimu Nyerere katika historia ya uhuru.

Lakini historia hii ilipooza sana pale ilipokuwa imefunika wazalendo wengine katika kupigania uhuru.

Leo historia hii inanoga unapoisoma na kujua kuwa kulikuwa na mazungumzo kuhusu Nyerere kuingizwa katika uongozi wa TAA nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio, Ukerewe mapema mwaka wa 1953 na waliokuwa katika mazungumzo hayo walikuwa Hamza Mwapachu mwanyeji wao na wengine walikuwa Abdul Sykes aliyekuwa Katibu na Kaimu Rais wa TAA aliyefuatana na Ali Mwinyi Tambwe aliyekuwa Katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Msomaji atajiuliza huyu Hamza Mwapachu aikuwa na nguvu kiasi gani kiasi kuwa watu wafunge safari kutoka Dar es Salaam kumfuata Nansio kusikiliza fikra zake?

Msomaji atajiuliza Abdul Sykes alikuwa nani na atajua nafasi yake na ya baba yake katika siasa za kikoloni nk. nk.

Kwa namna hii historia ya Tanganyika itakuwa inafahamika vizuri.

Kutaka kuwa historia hii atajwe Nyerere peke yake hii ni sawa na nchi kuihujumu historia yake.
 
babukijana,
Babu...
Mjadala utapendeza ikiwa tutatoa hoja kwa adabu na heshima.

Hiyo lugha ya kukejeli itatuharibia unaweza ukayasema hayo uliyosema kwa adabu.

Wazee wetu waliichukua TAA kuanzia African Association 1929 na walifanya mengi sana hadi kufika 1954 TANU ilipoundwa ikiwa huijui historia hii uliza utaelezwa.

Wala hapana kelele hapa ni mjadala tu ambao kwa hakika umenoga na wengi wanakuja kusoma na wengine wanachagia.
 
Ahsante kwa pongezi.. Kwakweli mzee wetu ajikague upya aangalie Wapi walipokosea wao wenyewe na falsafa za dini yao.
Ni MNAFIKI na MWONGO sana huyu Mzee.

Anakujaga na takwimu za uongo na mimi na Pascal Mayala tulishaweka wazi uongo wake hapa.

Ngoja nifukue uongo wake niuweke hapa.
 
Namimi naomba nikuulize unadhani kwanini afahamike JKN kama aliyetuletea uhuru ilihali kulikua na watu walioanza kabla..?
Hawakuwa na Elimu, Maarifa na Uwezo wa kupigania Uhuru kwa Wakoloni walio wazungu.

Tumepata Uhuru kwa njia ya kidiplomasia which means ilihitaji mtu anayezungumza kiingereza vizuri ili akae mezani na kuzungumza na Waingereza, Nyerere ndio alikuwa MTU sahihi na alikuwa Msomi tayari.

Hata Wazanzibar ndio maana wanamlumu sana Nyerere kwasababu alimzidi akili Karume, ikafungwa ndoa ya muungano....leo wanalialia.

HUO NDIO UKWELI ILA WANAPINGA.
 
Mm sijataka kuanzisha malumbano.. swali la msingi ni ilitokea nini hao wengine wakashindwa kua recognised kama waliotuletea uhuru.. bali ni wapigania uhuru..
Kwa hili swali watakukwepa mpaka Kesho.

Hawa jamaa ni Wadini na Wazushi sana Mkuu.

Halafu wao kila siku ni kulialia tu kuwa wanaonewa au wanadhulumiwa, kielimu, kisiasa, kiuchumi n.k

Yaani wao badala wasome na kupambana na maisha bila uvivu, wao ni kulialia tu eti Mfumo Kristo.
 
Kwa hili swali watakukwepa mpaka Kesho.

Hawa jamaa ni Wadini na Wazushi sana Mkuu.

Halafu wao kila siku ni kulialia tu kuwa wanaonewa au wanadhulumiwa, kielimu, kisiasa, kiuchumi n.k

Yaani wao badala wasome na kupambana na maisha bila uvivu, wao ni kulialia tu eti Mfumo Kristo.
Azarel,
Hakuna cha kukwepwa.

Naijua historia yote tuanze na hapa kisha In Shaa Allah ikiwa unapenda nitakuwekea ushahidi zaidi.

Ila nakuomba kitu kimoja.

Tumia lugha nzuri hapana haja ya maneno ya "kulialia" huku ni kutukanana nieleze jambo tu kwa utulivu:

 
Azarel,
Hakuna cha kukwepwa.

Naijua historia yote tuanze na hapa kisha In Shaa Allah ikiwa unapenda nitakuwekea ushahidi zaidi.

Ila nakuomba kitu kimoja.

Tumia lugha nzuri hapana haja ya maneno ya "kulialia" huku ni kutukanana nieleze jambo tu kwa utulivu:

Dhibitisha Mfumo Kristo uliopo ndani ya Nchi hii.
 
Thibitisha ni kuweka bayana/uwazi.

Dhibitisha ni kuifanya iwe imara zaidi.

Kati ya hayo mawili sentensi yako uhitaji wake ni kuchota lipi?
Well, weka bayana/ wazi huku ukiweka na ushahidi dhabiti.
 
Shukrani ziende kwa waanzilishi wa harakatii ila tunamthamini alietufikisha tulipokua tunahitaji (FREEDOM) ..
Tunakubali sawa japokuwa JKN sio muhasisi wa harakati ila amepokea kijiti na kukifikisha sehemu ambapo wahasisi walishindwaa kukifikisha na hapo ndo utambuzi, heshima na uweledi wa JKN unatofautika na watu wengine waliokuwepo kweny harakati.... .
Mohammed Said hadhihaki uwezo wa Nyerere(Kama kuna mahala amedhihaki basi nifungue macho nami nione)

Chama kinavyofanya kazi ni kama timu ya mpira wa miguu. Aliyetupatia ushindi wa kushinda goli ni kweli anapaswa kufahamika. Lakini huyo mchezaji aliyeshinda goli la ushindi hakuwa anacheza peke yake uwanjani. Kwani wapo waliyokokota mpira mpaka pasi ya ushindi ikamfikia yeye mshindaji.

Kuna golikipa ambaye ni mlinda mlango, kuna safu ya linzi n.k licha ya hivyo kila mchezaji aliwajibika kwenye eneo lake kwa uimara, kwa kujituma, kwa kudhibiti wapinzani mpaka goli la ushindi likapatikana.

Kwa mantiki hiyo heshima zote na pongezi zote akipewa mshindaji wa bao la ushindi utakuwa huwatendei haki hawa wachezaji wengine. Na hiyo ndiyo hoja ya Mzee Mohammed Said. Anataka wachezaji wengine nao mchango wao uthaminike.
 
Sio Ali Mwinyi pekee sio Abdul Sykes au Mwapachu waliokua na mchango katika ukombozi wa tanzania tunakubai walikuepo na wengine wengii tuuh lakini historia haiez kuandika kila mtu au mchango wa kila mtu sababu watu wazalendo walikua ni wengii, mfano inasemekana kulikua na matawi zaidi ya 30 ya TAA sasa historia haiez kuchambua na kueleza kila member katika kila tawi kama unavyotaraji wewe... .. ila tunatizama key players katika kufanikisha ile adhima iliyokuwa ikikusudiwa ndio tunamsikia JKN aliekua kifua mbele....
Mizy,
Hakuna anaeweza kukataa mchango wa Mwalimu Nyerere katika historia ya uhuru.

Lakini historia hii ilipooza sana pale ilipokuwa imefunika wazalendo wengine katika kupigania uhuru.

Leo historia hii inanoga unapoisoma na kujua kuwa kulikuwa na mazungumzo kuhusu Nyerere kuingizwa katika uongozi wa TAA nyumbani kwa Hamza Mwapachu Nansio, Ukerewe mapema mwaka wa 1953 na waliokuwa katika mazungumzo hayo walikuwa Hamza Mwapachu mwanyeji wao na wengine walikuwa Abdul Sykes aliyekuwa Katibu na Kaimu Rais wa TAA aliyefuatana na Ali Mwinyi Tambwe aliyekuwa Katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.

Msomaji atajiuliza huyu Hamza Mwapachu aikuwa na nguvu kiasi gani kiasi kuwa watu wafunge safari kutoka Dar es Salaam kumfuata Nansio kusikiliza fikra zake?

Msomaji atajiuliza Abdul Sykes alikuwa nani na atajua nafasi yake na ya baba yake katika siasa za kikoloni nk. nk.

Kwa namna hii historia ya Tanganyika itakuwa inafahamika vizuri.

Kutaka kuwa historia hii atajwe Nyerere peke yake hii ni sawa na nchi kuihujumu historia yake.
 
Hawakuwa na Elimu, Maarifa na Uwezo wa kupigania Uhuru kwa Wakoloni walio wazungu.

Tumepata Uhuru kwa njia ya kidiplomasia which means ilihitaji mtu anayezungumza kiingereza vizuri ili akae mezani na kuzungumza na Waingereza, Nyerere ndio alikuwa MTU sahihi na alikuwa Msomi tayari.

Wakati huo waislam walikuwa wanatawadha masjid.

Hata Wazanzibar ndio maana wanamlumu sana Nyerere kwasababu alimzidi akili Karume, ikafungwa ndoa ya muungano....leo wanalialia.

HUO NDIO UKWELI ILA WANAPINGA.
Mkuu hata mm nafahamu ukweli ndio huu ila hawataki usema.. wanabaki niambia kua sija hoja za kubishana na mzee.
 
Huyo bwana hana tofauti na mchawi
Ameona hakuna mtu aliye na muda wa kusoma vijitabu vyake vya kipumbavu ameamua kukesha jamii forum kupotosha historia ya nchi yetu
Kiongozi! Wengi wetu tunafuatilia huu mjadala. Mzee MS anajibu hoja za wanajamvi kwa kuweka sehemu ya mtiririko wa historia ambao kwake anasema ni sehemu ya tafiti aliyofanya.

Sisi ambao hatujui kitu tuliyokuwa tofauti na wewe unayefahamu tunashawishika kwa jinsi anavyojibu hoja kwa kuweka na ushahidi wa kihistoria( Anao uweka yeye mwenyewe MS). Mwenzetu unaufahamu kuliko sisi juu ya yale anayoyaweka Mzee MS, kwamba ni upotoshaji.

Itakuwa ni vyema zaidi ukipinga hoja zake kwa kuweka historia iliyosahihi kuliko kumshambulia yeye binafsi. Tunakusubiri! Tuongoze tusije tukapotoka juu ya uzushi wa MS.
 
Sawa umetoa mfano mzuri ila usisahau kila team ina key player na uwezo wa huyo key player ndo unasababisha wengine waonekane mchango wao mdogo na ni kitu ambacho ni ukweli, mfano lione messi akikosekana kwenye team ya barca ni ngumu ile timu kupata ushindi kadhalika ndo ilivokua kwa TAA tunazungumza nyerere kwa sababu ndo alikua kichwa na mwenye mawazo chanya yaliyoweza kumtikisa mzungu na kuamua kutupa uhuru wetu peaceful..

JKN anazungumziwa pekee sababu ukisoma historia mtu aliekua akisafiri nchi zote zaa ughaibuni kudai uhuru ni yeye pekee hatujasikia hao ndugu zenu wakina sykes sijui abdul wala nani.....kwa hiyo u anatakiwa umuheshimu sana huyu mzre kwa kutufikisha kwenye azima ya uhuru,,, bila yeye nakuakikishia blaza ungekua oman unaosha vyombo saiv..
Mohammed Said hadhihaki uwezo wa Nyerere(Kama kuna mahala amedhihaki basi nifungue macho nami nione)

Chama kinavyofanya kazi ni kama timu ya mpira wa miguu. Aliyetupatia ushindi wa kushinda goli ni kweli anapaswa kufahamika. Lakini huyo mchezaji aliyeshinda goli la ushindi hakuwa anacheza peke yake uwanjani. Kwani wapo waliyokokota mpira mpaka pasi ya ushindi ikamfikia yeye mshindaji. Kuna golikipa ambaye ni mlinda mlango, kuna safu ya linzi n.k licha ya hivyo kila mchezaji aliwajibika kwenye eneo lake kwa uimara, kwa kujituma, kwa kudhibiti wapinzani mpaka goli la ushindi likapatikana.

Kwa mantiki hiyo heshima zote na pongezi zote akipewa mshindaji wa bao la ushindi utakuwa huwatendei haki hawa wachezaji wengine. Na hiyo ndiyo hoja ya Mzee Mohammed Said. Anataka wachezaji wengine nao mchango wao uthaminike.
 
Mkuu hata mm nafahamu ukweli ndio huu ila hawataki usema.. wanabaki niambia kua sija hoja za kubishana na mzee.
Kuna hoja zimeelekezwa juu yako tangu jana na hujazitolea ufafanuzi mpaka sasa. Vipi, hoja za wadau hazijibiki?
 
Kuna hoja zimeelekezwa juu yako tangu jana na hujazitolea ufafanuzi mpaka sasa. Vipi, hoja za wadau hazijibiki?
Sio kila muda niko na kifaa cha internet. Ukizingatia huwa siwez kutaipu vitu vingi kwa kutumia simu. So hoja hizo zahitaji nitulie kwenye computer, muda wa kufanya mengine je?
 
Nina maswali mawili tu kwako kaka.

1)Unauhakika gani km Nyerere ndiye aliyetupatia uhuru ilhali harakati za uhuru alizikuta?

2)TAA inaanzishwa ndio Nyerere anazaliwa mpk inabadilishwa kuwa TANU waasisi wote walikuwepo nyerere ndiyo anazaliwa yeye alishiriki tu km mteuliwa wa kuwakilisha watafuta uhuru

Je, uhuru kautafuta yeye ama kawakilisha ktk kuutafuta,ni nn maana ya kuutafuta huo uhuru km muktadha ndio huo???!!!!
Nyerere ni kama ilivyotokea kwa Maradona..Napoli, walikuwa hawajapata lolote, mpaka Maradona alipojiunga na timu.. Nafasi ya kiongozi mwenye ushawishi, ufahamu na uthubutu mara zote zipo na hao mara nyingi historia huwa inawatambua kwa haraka, ingawa wengine wapo lakini hawavumi.
 
Sawa umetoa mfano mzuri ila usisahau kila team ina key player na uwezo wa huyo key player ndo unasababisha wengine waonekane mchango wao mdogo na ni kitu ambacho ni ukweli, mfano lione messi akikosekana kwenye team ya barca ni ngumu ile timu kupata ushindi kadhalika ndo ilivokua kwa TAA tunazungumza nyerere kwa sababu ndo alikua kichwa na mwenye mawazo chanya yaliyoweza kumtikisa mzungu na kuamua kutupa uhuru wetu peaceful... JKN anazungumziwa pekee sababu ukisoma historia mtu aliekua akisafiri nchi zote zaa ughaibuni kudai uhuru ni yeye pekee hatujasikia hao ndugu zenu wakina sykes sijui abdul wala nani.....kwa hiyo u anatakiwa umuheshimu sana huyu mzre kwa kutufikisha kwenye azima ya uhuru,,, bila yeye nakuakikishia blaza ungekua oman unaosha vyombo saiv..
Kimtizamo ni sawa lakini kimantiki si sawa!

Key player hachezi mwenyewe uwanjani dhidi ya timu pinzani yenye wachezaji 11 dimbani.

Mlinda lango naye ni msaada mkubwa. Analinda goli kwa mashuti yanayopigwa na wapinzani. Vipi huyu mchango wake hauna maana? Unafikiri kwa nini Messi mwenyewe akihojiwa kwa ushindi wa Barca anatoa shukrani kwa timu nzima?

Kwa sababu hakuna one man army.

"JKN anazungumziwa pekee sababu ukisoma historia mtu aliekua akisafiri nchi zote zaa ughaibuni kudai uhuru ni yeye pekee hatujasikia hao ndugu zenu"

Kama hoja ni hiyo juu, vipi waliyotoa pesa zao mfukoni kusaidia Nyerere kuzunguka hizo nchi za ughaibuni. Kwa sababu wao wame act as a catalyst na wametoa kwa uzalendo. Bila wao misafara ya Nyerere huko ughaibuni ingeliendeka?

Kwa hiyo hao waliyotoa pesa zao ni wajinga mno mwerevu mno Nyerere? Huo ndiyo uzalendo mnaowapatia?

Kwani wakizungumziwa hao wengine kuna nini ambacho Nyerere atapungukiwa? Hofu inakuja wapi kwani?

Kumbuka samaki ana vipande 3, Kichwa, tumbo na mkia. Kuzungumziwa tumbo hakuleti ukamilifu wa samaki bali imezungumziwa sehemu ya samaki.
 
Sio kila muda niko na kifaa cha internet. Ukizingatia huwa siwez kutaipu vitu vingi kwa kutumia simu. So hoja hizo zahitaji nitulie kwenye computer, muda wa kufanya mengine je?
Kwani ni wapi nilipoandika muda wote uwe na kifaa cha internet?

Hili ni Jukwaa la history, na history ni facts. Tunasubiri facts kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom