mizy gajo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 801
- 887
Waliotoa pesa mchango wao unathaminiwa lakini naomba nihoji swali...
Je kabla ya kufatwa na JKN kuombwa pesa... hizo pesa walikua wanazitumiaje katika kutukomboa watanzania....? Ndo tunagundua unaweza ukawa na resources lakini usiwe na akili ya kuzitumia...
Ila JKN anazungumziwa kuliko wengine sababu ndo alikua ni monitor kama nilivyosema awali mawazo yake ndo yalikua chanya na upeo mkubwa wa kujua wakati sahihi wa kufanya jambo fulani sahihi kuliko wengine waliokua katika harakati.... Mfano mzuri ni kama jeshini general haendi vitani lakini strategies zake ndo zinazodetermine matokeo ya vita kwa maana hiyo. Basi aliebeba mtutu akaingia vitani ana mchango lakini hautazungumziwa kama wa yule general alietoa mbinu za kumshinda aduii.
Ndio the same kwa Tanzania kila mtu alikua na mchango katika uhuru wetu kuanzia parties za labour watu kama kina mkwawa kina kinjekitile, wote kambona,bomani, bibi titi... wanazungumziwa kwenye struggle lakini key player aliefanikisha ni nyerere ndo maana historia yake inameza historia za wengine sababu yeye ndo alikua mstari wa mbele kufanikisha jambo... Ila wewe unaforce habari za babu zenu na huyo mzee said ziwe popular na kuonesha bila wao nyerere si kitu.. Kwa pamoja hatutakubali na kamwe hamtoweza kubadilisha misimamo yetu juu ya kile tunachokiamini... Kwanza tunatumai Mungu ameilaz roho yake JKN sehemu pema huko juu mbinguni... Hammaz,
Je kabla ya kufatwa na JKN kuombwa pesa... hizo pesa walikua wanazitumiaje katika kutukomboa watanzania....? Ndo tunagundua unaweza ukawa na resources lakini usiwe na akili ya kuzitumia...
Ila JKN anazungumziwa kuliko wengine sababu ndo alikua ni monitor kama nilivyosema awali mawazo yake ndo yalikua chanya na upeo mkubwa wa kujua wakati sahihi wa kufanya jambo fulani sahihi kuliko wengine waliokua katika harakati.... Mfano mzuri ni kama jeshini general haendi vitani lakini strategies zake ndo zinazodetermine matokeo ya vita kwa maana hiyo. Basi aliebeba mtutu akaingia vitani ana mchango lakini hautazungumziwa kama wa yule general alietoa mbinu za kumshinda aduii.
Ndio the same kwa Tanzania kila mtu alikua na mchango katika uhuru wetu kuanzia parties za labour watu kama kina mkwawa kina kinjekitile, wote kambona,bomani, bibi titi... wanazungumziwa kwenye struggle lakini key player aliefanikisha ni nyerere ndo maana historia yake inameza historia za wengine sababu yeye ndo alikua mstari wa mbele kufanikisha jambo... Ila wewe unaforce habari za babu zenu na huyo mzee said ziwe popular na kuonesha bila wao nyerere si kitu.. Kwa pamoja hatutakubali na kamwe hamtoweza kubadilisha misimamo yetu juu ya kile tunachokiamini... Kwanza tunatumai Mungu ameilaz roho yake JKN sehemu pema huko juu mbinguni... Hammaz,