Mzee Mohamed: Tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli

Mzee Mohamed: Tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli

Mie nasema Rais aliyepo ni bora kuliko Magu, Magu alikuwa aeleweki, anataka nini, akiemacho ni tafauti na uhalisia, muonevu (kupotea watu), vunja sheria (Pro Asad-CAG), ant democracy ( Covid-19), lugha mbaya ( watu wakajisaidie kwa mkurugenzi) wizi (uchukuaji fedha account za wafanyabiashara) utesaji (weka ndani Seti/Lugemalila) kupora demokrasia ( chaguzi serikali za mitaa/ wabunge na madiwani) hivyo si kiongozi unapaswa kujivunia!
 
MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele.

“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
magufuli hakuwa na tamaa sawa lakini MAYANGA CONSTRUCTION Iliyojenga chato airport ni mali ya nani?
unajua kwamba alinunua maghorofa ya NIC pale DODOMA kwa shilingi 600000 laki sita kila moja?
kwann tenda ya nchi kununua ndege haijatangazwa ili watu washindane?
Hembu acheni upuuzi wenu wa kutukumbusha raisi NYAPARA HAPA
Kamfufueni mkae nae huko chatto
 
..angekuwa tayari kwa lolote asingejiwekea ULINZI mkubwa kiasi kile.
unamjua brigedia mwakanjuki? alikuwa kisiwani lakini ni wa wapi? unafikiri visiwani hakuna wasukuma?
elimu, elimu, elimu
 
Huyo mzee ni nani katika nchi hii,mnaokota wauza kahawa mnawarekodi wanaongea kwa niaba ya watanzania
Duh! Mzee siunajua hii ni free country and no one is above the law. Tuache kuabudu watu na pia kudharau watu.
 
..mbona Jpm alikuwa anatumia pace-maker iliyotengenezwa na mabeberu?

..angekuwa mzalendo wa kweli angekataa pace-maker ya mabeberu na kutumia iliyotengenezwa hapa Tanzania.
Huna ubongo mzee, UK inaongoza kwa reserve kubwa ya Gold, unadhani yote ilichimbwa Scotland? Mabomu anayoringia USA ya Atomic Uranium ilitoka DRC… Tajiri namba moja dunia ni kutoka SA na ameajiri zaidi USA…ndezi…
 
unamjua brigedia mwakanjuki? alikuwa kisiwani lakini ni wa wapi? unafikiri visiwani hakuna wasukuma?
elimu, elimu, elimu

..nielimishe kuhusu hoja unayotaka kuijenga.

..Znz inao watu wengi wenye asili ya Tanganyika mfano ni Brig.Gen.Mwakanjuki aliyehudumu nafasi mbalimbali huko Znz.

..mwingine ambaye ningependa umfahamu ni Edington Kisasi ambaye ni Mtanganyika lakini alihudumu kama mkuu wa polisi Znz.

..vilevile Jaji Damian Lubuva aliwahi kuhudumu kama Mwanasheria Mkuu wa Znz ingawa ni Mtanganyika.
 
..nielimishe kuhusu hoja unayotaka kuijenga.

..Znz inao watu wengi wenye asili ya Tanganyika mfano ni Brig.Gen.Mwakanjuki aliyehudumu nafasi mbalimbali huko Znz.

..mwingine ambaye ningependa umfahamu ni Edington Kisasi ambaye ni Mtanganyika lakini alihudumu kama mkuu wa polisi Znz.
hoja yangu ni kwamba hata zanzibar kuna wasambaa. wasukuma, wanyamwezi nk.
 
hoja yangu ni kwamba hata zanzibar kuna wasambaa. wasukuma, wanyamwezi nk.

..nakubaliana na hoja yako.

..lakini yako malalamiko kwamba ziko sheria huko Znz ambazo zinabagua Watanganyika.

..naamini sheria hizo zinapaswa kufutwa.
 
..nakubaliana na hoja yako.

..lakini yako malalamiko kwamba ziko sheria huko Znz ambazo zinabagua Watanganyika.

..naamini sheria hizo zinapaswa kufutwa.
nimekaa visiwani kwa miaka 10 hakuna sheria zozote zinazo wabagua watu. mtu wa bara akifika visiwani anataka kuishi kama bara tofauti na utamaduni wa kule mfano unywaji wa pombe anywe popote na mengine
kule pombe kule zipo lakini zinanywewa maeneo maalum.
kwakuwa tumezoea holela hapo sie wa bara tuna ita KUBAGULIWA
 
nimekaa visiwani kwa miaka 10 hakuna sheria zozote zinazo wabagua watu. mtu wa bara akifika visiwani anataka kuishi kama bara tofauti na utamaduni wa kule mfano unywaji wa pombe anywe popote na mengine
kule pombe kule zipo lakini zinanywewa maeneo maalum.
kwakuwa tumezoea holela hapo sie wa bara tuna ita KUBAGULIWA

..kuna madai kwamba Watanganyika wananyimwa ajira ktk serikali ya Znz.

..au Watanganyika hawateuliwi ktk serikali ya Znz.

..wakati huohuo Wazanzibari wanaajiriwa ktk taasisi zisizo za muungano, na hakuna kizuizi cha wao kuajiriwa huku Tanganyika.
 
Back
Top Bottom