Mzee Mwinyi: Baba yangu alinipeleka Zanzibar ili nikajifunze dini (Q'uran) ili niwe Sheikh maarufu, nilitokea Mkuranga

Ilitakiwa akili makosa yake kama mkapa alivyokiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIZO STORY ZINGETOKEA leo kulikuwa na shida gani yaani ujinga huo ukasabisha hatukuoan mechi jana kweli??
 
Umeanza tena rasmi sasa
 

Utakuwa ni mtu mjinga tuh kutaka kufananisha uchumi enzi za Urais wa Mwinyi na Nyerere,sababu ni jambo ambalo lipo wazi Sana,

Nchi hii Nyerere aliingiza kwenye umaskin baada ya kuifanya kuwa kitovu Cha vugu vugu la ukomboz wa bara la afrika,nchi nyingi ziliweka kambi hapa na kutumia rasilimali za nchi hii katika harakat zao za ukomboz,bila ya kusahau vita vyake vya kipuuz na Alhajj Idd amin dada wa Uganda,kushindwa kwake KWA sera zake za ujamaa na kujitegemea hadi kupelekea watu kuvaa kaniki na kupanga mistar mirefu kugombania unga wa sembe na sukari,mafuta ya taa n.k

Then uje ubeze juhud za Mzee rukhsa??we nenda zako ukaendelee kuimba kwaya juma pili hii
 
Mwinyi hakuwa dhaifu ila aliongoza kipindi kigumu.

Unadhani kwanini Nyerere aliukimbia urais?

Mgalatia mwenzako ameegemea kwenye hasadi za udini tuh,hana lolote,

Anachekesha eti anapinga kuwa uchumi ulikuwa dhooful hal enz ya Nyerere hadi akaamua kukimbia na kusalim amri,

Sasa kama jambo ambalo liko wazi kama hilo anapinga,atakubali jambo gan
 

Mzee mwinyi hajalia,kaandika wasifu wake,ww ndie unaona kama Analia Lia,

nyerere mchonga meno,siyo tuh alikuwa anahujumiwa,ni kweli alikuwa anafanya na had mwenyewe alikuja kukiri na kuomba radhi kuwa yeye alikuwa hajui,eti alikuwa hajui kuwa huyu Muislam au huyu mkristo na alikua haangalii dini, pathetic,,utetez huo angewambia wajinga tuh kwani hakuna vetting,na yeye hakuwa anajua kuwa nchi hii ni multi cultural society?atakuja na hoja kwamba waislam hawakuwa na shule,okay sasa iweje aanze kumtuhum mwinyi kwenye utawala wake alipoanza kuwapa nafas hao waislam wakionekana japo kwa uchache wenye shule kuweza kuhudumu katika uongoz??
 
Naona Unabishana na Mwamadi maana na Yeye ana vitabu vingi vinavyoelezea ushujaa wake vitani na pia udhaifu wake kufia mikononi kwa mwanamke Yahud.
 
Kwa hiyo Mzee kiasili siyo Mzenji au baba yake alikuwa Mzenji aliyehamia bara?
Hakuna Mzenji yoyote mwenye jina la Mwinyi, hata ukimuona mtu ana jina hilo asili yake ni pwani ya bara. Huyu wazenji walibambikiziwa tu , kama vile marehemu mzee Jumbe ( inavosemekana hata hao wazee wa Jumbe huko Tanganyika sio kwao , wametokea Sudan ya kusini.
 
Shaaban Robert:
Maisha yangu na Maisha yangu baada ya miaka Hamsini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…