Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alikosolewa na Wana ccm? Pili Kuna kukosoa na kukejeli..
Bunge lililopita bila Shaka umeona ukoeoaji lakini Bashiru kakosoa au kakejeri na kuchochea wakulima wawe wakaidi na wahaini.
Nani alikwambia huwezi kukosoa ukiwa ndani ya chama?,wewe ni mpumbavu,angalia USA,mtu yupo republican lakini anasapoti democratic kwa maslahi mapana ya taifa lao,unachangia ujinga sana wewe dohoTatizo sio kukosoa unadhani haya matamshi yangetoka toka mwanachama wa chama chochote cha upinzani ingekuwa hoja? ungetuwaambia labda hao kina Mkapa, JK na JPM kama walikosolewa na wana CCM au watu wa serikalini.
Waliomkosoa JPM na yaliyowakuta tunayajuwa na Bashiru ndio alikuwa mbele kuwahoji kwenye vikao au kasahahu? JK alitukanwa sana tu lakini wapinzani tuambie nani alitoka ndani ya CCM akamtukana kiongozi wake akabaki salama.
Hata Mbowe anatukanwa lakini tuambie nani katika Chadema aliwahi kumkosoa kiongozi wake akabaki salama. Ukosoaji mzuri kama unaona sikubaliani na chama changu unakaa pembeni sio uko ndani ya system halafu unamtukana kiongozi wako.
Chama ina vikao vyao vya kukosoana na haya aliongea mwenyewe BASHIRU.
Makini sana"Akili kubwa hujadili hoja ,akili ya Kati hujadili matukio na akili ya chini hujadili watu"Socrates
Ni bora watu hasa walio ndani ya chama Cha mapinduzi wajikite kujibu hoja za Dr Bashiru kwa kutumia lugha Safi na staha kuliko vijembe na kejeli ambazo kimsingi hazina tija kwa taifa na chama.
Tumekuwa taifa la ajabu Sana kwa kuwa na tabia ya kumshambulia mleta hoja badala ya hoja hata mzee kikwete kasha wahi sema "hoja ya mtu haupingwi rungu" pamoja na jaji mstaafu jaji warioba amesisitiza Bashiru ajibiwe kwa hoja, sitaki kuamini chama Cha mapinduzi hakina watu makini wa kujibu hoja za Dr Bashiru.
"Kukatwa kwa kisu ni tofauti na kukatwa kwa ulimi"
Still you are talking nonsenseHata mahakamani mtu anaweza fungwa maisha au kuachiliwa huru kama "motive" imejukikana.....
Huwezi sema ni freedom of speech wakati motive ya mhusika inajulikana.......motive ndo inafanya MTU anapoongea ionekane ni Busara au majungu ...motive...Motive ya Bashiru ni kuendeleza demokrasia?ambayo akiikanyaga alipokuwa na power?au kushambulia kundi moja ili kundi lake lipate mileage?
Ujinga ni kutokujua...lakini upumbavu ni kujua na kukataa kitu kiko wazi kabisa
Makini sana hawa ndio kundi la majuha linalotusumbua kisa ukongwe jukwaaniTatizo lenu mmelelewa kwenye kizazi cha kusifu na kuabudu, ndio maana anapotokea mtu kutaka lifanyike jambo tofauti na hilo kwenu inakuwa nongwa.
Mnataka kutengeneza taifa la wajinga wa kusifia tu, hasa anapoguswa kipenzi chenu, na usituletee habari za motive hapa, alichokifanya Dr. Bashiru ni haki yake, na ni halali yake.
Hizo hisia zenu za anataka kumuharibia mama yenu pelekeni pengine, hili taifa linaongozwa kwa sheria na taratibu, sio kwa hisia kama zenu.
Kama unaona Dr. Bashiru amekosea kwa ile kauli yake mpelekeni mahakamani ambapo unasema wanaangalia motive, halafu uone kama hiyo motive yako bila "established facts" itafanya kazi, usifundishe watu ujinga hapa, mahakama haiamui kwa hisia.
Endelea kumkandamizia juha huyoUsinitishe, nitaku-quote kila nikiamua, una hoja gani ya maana uliyoandika hapo juu zaidi ya kuleta hisia zako kwa mgongo wa "motive"?
- Unauliza vipi motive ya Dr. Bashiru kwenye kuendeleza demokrasia ikiwa alichofanya kipo kisheria? sema una yako mengine.
- Unataka kutumia historia ya Dr. Bashiru ili kumnyima haki yake, hata mwizi ana haki zake na zinaheshimiwa kisheria.
Kachezee akili za wajinga wasiojielewa, nimekwambia kama unaamini hizo hisia zako ulizozipa jina la "motive" zipo kisheria, nenda mahakamani kamfunge Dr. Bashiru
Msukule wa mama samiaMagufuli alikosolewa na Wana ccm? Pili Kuna kukosoa na kukejeli..
Bunge lililopita bila Shaka umeona ukoeoaji lakini Bashiru kakosoa au kakejeri na kuchochea wakulima wawe wakaidi na wahaini.
Jikite kwenye hojaMsukule wa mama samia
Simuachi, wamefundisha watu ujinga humu muda mrefu kisa ukongwe wao, akija namtandika, wenye akili watachambua pumba na mchele.Endelea kumkandamizia juha huyo
kakojoe ulale unadhani watu hawajui siasa.Nani alikwambia huwezi kukosoa ukiwa ndani ya chama?,wewe ni mpumbavu,angalia USA,mtu yupo republican lakini anasapoti democratic kwa maslahi mapana ya taifa lao,unachangia ujinga sana wewe doho
Fisi maji wewekakojoe ulale unadhani watu hawajui siasa.
Naunga mkono hoja. Bashiru ana haki ya kikatiba kukosoa kama ambavyo wengine wana haki kikatiba kusifia.
Asiyekosea ni BWANA MUNGU peke yake(HE is infallible). Sisi Binadamu wote tunakosea na huyo Rais Samia ni mwanadamu kama mwanadamu mwingine(she is fallible like other human beings).
Wanaomshambulia Dr Bashiru kwa kumkosoa Rais Samia ni wanafiki tu wakisiasa kama walivyo wanafiki wengine(crass hypocrisy).
Shida yako unaongea bila reference.Hivi kipindi Hussen Bashe anakosoa kuhusu sera za kilimo ndani na nje ya Bunge wewe ulikuwa haujazaliwa??Kwa taarifa kilichompa uwaziri Bashe sio uchawa kama vijana wapumbavu wa sasa wanavyodhani,kilichompa uwaziri ni critical critism na ndio Magufuli vijana aliowataka.Tatizo sio kukosoa unadhani haya matamshi yangetoka toka mwanachama wa chama chochote cha upinzani ingekuwa hoja? ungetuwaambia labda hao kina Mkapa, JK na JPM kama walikosolewa na wana CCM au watu wa serikalini.
Waliomkosoa JPM na yaliyowakuta tunayajuwa na Bashiru ndio alikuwa mbele kuwahoji kwenye vikao au kasahahu? JK alitukanwa sana tu lakini wapinzani tuambie nani alitoka ndani ya CCM akamtukana kiongozi wake akabaki salama.
Hata Mbowe anatukanwa lakini tuambie nani katika Chadema aliwahi kumkosoa kiongozi wake akabaki salama. Ukosoaji mzuri kama unaona sikubaliani na chama changu unakaa pembeni sio uko ndani ya system halafu unamtukana kiongozi wako.
Chama ina vikao vyao vya kukosoana na haya aliongea mwenyewe BASHIRU.
Kwann unaamini Kuongea Kwa Bashiru Nia ni kunufaisha kundi lake binafsi!Hata mahakamani mtu anaweza fungwa maisha au kuachiliwa huru kama "motive" imejukikana.....
Huwezi sema ni freedom of speech wakati motive ya mhusika inajulikana.......motive ndo inafanya MTU anapoongea ionekane ni Busara au majungu ...motive...Motive ya Bashiru ni kuendeleza demokrasia?ambayo akiikanyaga alipokuwa na power?au kushambulia kundi moja ili kundi lake lipate mileage?
Ujinga ni kutokujua...lakini upumbavu ni kujua na kukataa kitu kiko wazi kabisa