Mzee Mwinyi: Nyerere alitaka pawepo mgombea binafsi lakini CC ya CCM ilimkatalia, pia CCM ilipinga vyama kuungana ikihofia itakufa

Mzee Mwinyi: Nyerere alitaka pawepo mgombea binafsi lakini CC ya CCM ilimkatalia, pia CCM ilipinga vyama kuungana ikihofia itakufa

Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji
Hujaelewa. Nafasi za ugombea binafsi ni systemic - Urais, ubunge, udiwani, uwenyekiti wa Mitaa na vijiji et la. Tafsiri ya ugombea binafsi ni kuwa hata wagombea kupitia vyama vya siasa ni potentially wagombea binafsi kwa kuwa nafasi walizochaguliwa zitatambuliwa kuwa ni zao kupitia vyama vyao; wakifukuzwa au kujiondoa kwenye vyama, wanaendelea na uwakilishi/unogozi wao kama watu binafsi. Hiyo ndio demokrasia!
 
Hata sasa watu wanachagua watu na Sio vyama, ila wanagombea kwa tiketi ya vyama. Watanzania asilimia 80 huchagua kwa ushabiki, rushwa, hofu, mazoea, kutegemea mgombea na sio sera. Ni watu wachache sana huchagua mtu kutokana na sera. Ilani za vyama sio ilani, bali ni orodha ya mahitaji yote ya wananchi, lakini utekelezaji ni utakachoona unaweza na utakavyo.
Sidhani kama ndivyo kwenye karatasi za kupigia kura nembo ya chama iondolewe!
Na kwenye campaign wahusike wagombea tu!
 
Hapo Mzee Nyerere alichemka

Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani

Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji

Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
Hahaa ukiwa mgombea binafsi huwezi kua na sera? ,ina maana sera ni lazima itokane na chama ?,hoja yako nyingine ya kua eti mgombea binafsi mfumo wake utaua vyama pinzani naona haina mashiko mbona havijafa wakati huu tunaotawaliwa na chama kimoja mwaka nenda rudi
 
Sidhani kama ndivyo kwenye karatasi za kupigia kura nembo ya chama iondolewe!
Na kwenye campaign wahusike wagombea tu!

Nembo za chama ni ili kukidhi takwa la kisheria tu, lakini uhalisia ni tofauti kabisa.
 
Sasa kama kama mgombea binafsi sio rahisi kushinda, kwanini mnaogopa kuruhusu? Kwanini uogope kitu ambacho hakina madhara kwako?
hana sura ya kitaifa twaweza anza kupata wagombea wa kikabila tu wakatuvuruga tu ndio maana chama hutakiwa awe na watu mikoa mingi

Mgombea binafsi aweza jiibukia uzaramoni na hoja ya uzaramoni kujitenga na kuwa nchi akatusumbua tu
 
hana sura ya kitaifa twaweza anza kupata wagombea wa kikabila tu wakatuvuruga tu ndio maana chama hutakiwa awe na watu mikoa mingi

Mgombea binafsi aweza jiibukia uzaramoni na hoja ya uzaramoni kujitenga na kuwa nchi akatusumbua tu
Hapo nimekupata vema
 
Eti mgombea binafsi hana sera. Kuna wakati Huwa naamini mimi ni kilaza ila nikikutana na watu kama nyinyi huwa nafarijika sana.
Kwakweli. Anadhani sera ni mpaka zitoke kwenye vyama. Naona hajawahi hata kushiriki uchaguzi wa serikali za wanafunzi mashuleni, hata huko wanafunzi huwa wanaeleza sera zao.
 
Hapo Mzee Nyerere alichemka

Swali lilikuwa huyo mgombea binafsi akishinda atatekeleza sera gani? sababu hana sera yeyote anakuwa tu kama mlevi tu anayetoa tu ahadi hewa za majukwaani

Pili ugumu wa kufanya kazi akishinda.Mfano kashinda uraisi halafu wabunge wote wanatoka kwenye chama.Aweza pigiwa kura ya kutokuwa na imani naye wakati wowote na akatolewa madarakani.Pia aweza kwamishwa na walio wengi bungeni na kwenye watendaji

Lakini mgombea binafsi akiruhusiwa hata leo wa kwanza kufa ni vyama vya upinzani sababu havina network kubwa mijini na vijijini.Pia ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awe bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
ni rahisi mtu kushinda kwa kutumia mtandao wa chama kuliko wa kibinafsi laba awee bilionea!! Kampeni nchi nzima sio lelemama
Kama hivyo ndivyo uoga wa nini basi si aachwe mtu apambane ashindwe mwenyewe. Je unapokuja uongozi wa kijiji ama kitongoji!! Nako unahitaji pesa nyingi?
 
Back
Top Bottom