TANZIA Mzee Said Mohamed (baba yake GSM) afariki dunia
RIP. Wanawezaje kutunza na kukuza utajiri vizazi hadi vizazi?
Wenzetu wahindi, waarabu na wapemba huanza kushirikisha watoto biashara toka wakiwa watoto wanakuwa na wazazi bega kwa bega kwenye biashara na hivyo kupelekea watoto kupenda sana biashara toka wakingali wadogo

Wazee wa kiswahili biashara ni kama uchawi hawawashirikishi watoto wawe wadogo au wakubwa ni yeye na biashara zake hata mke tu unakuta hajui ndio maana akifa unakuta na biashara inakufa

Wenzetu hasubiri afe na ndipo watoto warithi biashara!!! La akiwa yuko hai akijizeekea anastaafu anakabidhi watoto
Unaona Azam watoto wameishika mzee kastaafu ukienda mzee Dewji Kakaa umri umeenda pembeni kamwachia mwanae Mohamed Dewji au Mo aendeshe kampuni hata wafe Leo wazee hao watoto wanamudu kuendesha tena kwa nguvu kubwa kuliko walivyoendesha wazazi wao
 
Mzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amefariki dunia alfajiri ya leo Machi 1 2022 na anatarajiwa kuzikwa leo saa kumi jioni kwenye makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

Marehemu Mzee Said ni Mfanyabiashara wa muda mrefu Tanzania ambapo alianzisha biashara ya kwanza mwaka 1955 kwa kuuza bidhaa ndogondogo Tanga lakini baadaye alihamia kuuza nguo na kuhama kutoka Tanga hadi Songea ambako alijitanua katika kilimo cha korosho ambacho Familia yake imekiendeleza hadi leo.

Marehemu Mzee Said alistaafu mwaka 1996 na kuruhusu kizazi kilichofuatia kuchukua usukani wa kila siku wa biashara na kuamua kuhamia Dar es Salaam na kuwa wasambazaji wakubwa wa mazulia ya PVC ndani ya Tanzania na nchi jirani.

Ghalib Said Mohamed (GSM) ni mdhamini wa Klabu ya Yanga ambapo amekuwa na msaada mkubwa miaka ya hivi karibuni tangu alipoanza uwekezaji klabuni hapo.

View attachment 2134807View attachment 2134808
Mungu aiweke roho mahala stahimilivu
 
Mzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amefariki dunia alfajiri ya leo Machi 1 2022 na anatarajiwa kuzikwa leo saa kumi jioni kwenye makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

Marehemu Mzee Said ni Mfanyabiashara wa muda mrefu Tanzania ambapo alianzisha biashara ya kwanza mwaka 1955 kwa kuuza bidhaa ndogondogo Tanga lakini baadaye alihamia kuuza nguo na kuhama kutoka Tanga hadi Songea ambako alijitanua katika kilimo cha korosho ambacho Familia yake imekiendeleza hadi leo.

Marehemu Mzee Said alistaafu mwaka 1996 na kuruhusu kizazi kilichofuatia kuchukua usukani wa kila siku wa biashara na kuamua kuhamia Dar es Salaam na kuwa wasambazaji wakubwa wa mazulia ya PVC ndani ya Tanzania na nchi jirani.

Ghalib Said Mohamed (GSM) ni mdhamini wa Klabu ya Yanga ambapo amekuwa na msaada mkubwa miaka ya hivi karibuni tangu alipoanza uwekezaji klabuni hapo.

View attachment 2134807View attachment 2134808
Duuu! Hizo kanzu wanafulia maji ya mvua? Mbona nyeupe sana?
 
Wenzetu wahindi,waarabu na wapemba huanza kushirikisha watoto biashara toka wakiwa watoto wanakuwa na wazazi bega kwa bega kwenye biashara na hivyo kupelekea watoto kupenda sana biashara toka wakingali wadogo

Wazee wa kiswahili biashara ni kama uchawi hashirikishi watoto wawe wadogo au wakubwa ni yeye na biashara zake hata mke tu unakuta hajui ndio maana ilifa unakuta na biashara inakufa

Wenzetu si hasubiri afe wa ndipo watoto warithi biashara!!! La akiwa yuko hai akijizeekea anastaafu anakabidhi watoto
Unaona Azam watoto wameishika mzee kastaafu ukienda mzee Dewji Kakaa umri umeenda pembeni kamwachia mwanae Mohamed Dewji au Mo aendeshe kampuni hata wafe Leo wazee hao watoto wanamudu kuendesha tena kwa nguvu kubwa kuliko walivyoendesha wazazi wao
Ngozi nyeusi ubinafsi unatusumbua mnoo....! Sijui tumerogwa na nani
 
Ni Saad mohamed na sio said mohamed

Lala mahali pema mzaa chema.
Nina miaka zaidi ya arobaini ya kuishi Dar. Sijawahi kuona muislamu asiye na pesa au wadhfa akizikwa hapo atakapozikiwa mpendwa wetu.

Je! Kisutu Kuna nini?
 
Mzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amefariki dunia alfajiri ya leo Machi 1 2022 na anatarajiwa kuzikwa leo saa kumi jioni kwenye makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.

Marehemu Mzee Said ni Mfanyabiashara wa muda mrefu Tanzania ambapo alianzisha biashara ya kwanza mwaka 1955 kwa kuuza bidhaa ndogondogo Tanga lakini baadaye alihamia kuuza nguo na kuhama kutoka Tanga hadi Songea ambako alijitanua katika kilimo cha korosho ambacho Familia yake imekiendeleza hadi leo.

Marehemu Mzee Said alistaafu mwaka 1996 na kuruhusu kizazi kilichofuatia kuchukua usukani wa kila siku wa biashara na kuamua kuhamia Dar es Salaam na kuwa wasambazaji wakubwa wa mazulia ya PVC ndani ya Tanzania na nchi jirani.

Ghalib Said Mohamed (GSM) ni mdhamini wa Klabu ya Yanga ambapo amekuwa na msaada mkubwa miaka ya hivi karibuni tangu alipoanza uwekezaji klabuni hapo.

View attachment 2134807View attachment 2134808

Inna li Llahi wa Inna ilayhi Rajiun.
Huyo itakuwa ni Mzee Saad, nijuavyo, Said ( Saidi Mahonda) ni nduguye Ghalib.
 
Wenzetu wahindi,waarabu na wapemba huanza kushirikisha watoto biashara toka wakiwa watoto wanakuwa na wazazi bega kwa bega kwenye biashara na hivyo kupelekea watoto kupenda sana biashara toka wakingali wadogo

Wazee wa kiswahili biashara ni kama uchawi hashirikishi watoto wawe wadogo au wakubwa ni yeye na biashara zake hata mke tu unakuta hajui ndio maana ilifa unakuta na biashara inakufa

Wenzetu si hasubiri afe wa ndipo watoto warithi biashara!!! La akiwa yuko hai akijizeekea anastaafu anakabidhi watoto
Unaona Azam watoto wameishika mzee kastaafu ukienda mzee Dewji Kakaa umri umeenda pembeni kamwachia mwanae Mohamed Dewji au Mo aendeshe kampuni hata wafe Leo wazee hao watoto wanamudu kuendesha tena kwa nguvu kubwa kuliko walivyoendesha wazazi wao
Nadhani ni tabia tu na uamuzi wa mhusika, SIYO suala la utaifa - eti mhindi au mwarabu au mpemba! Waafrika wengi na Watanzania wengi tu, wamerithisha watoto wao biashara na wanaendesha vizuri tu. Sikutajii majina au familia, nakuachieni wewe na wana JF wengine mlifanyie hili utafiti.
 
Inna lillah wainah illahi rajiun...Nasi tupo njiani siku yetu nayo yaja
 
Nadhani ni tabia tu na uamuzi wa mhusika, SIYO suala la utaifa - eti mhindi au mwarabu au mpemba! Waafrika wengi na Watanzania wengi tu, wamerithisha watoto wao biashara na wanaendesha vizuri tu. Sikutajii majina au familia, nakuachieni wewe na wana JF wengine mlifanyie hili utafiti.
Ona unapata kigugumizi kuwataja hata watatu waswahili wa kutolea mfano !!! Sababu ni almost hawapo!!!
Hili swala waswahili tujitathimini
 
Wengine tukiwaona leo tunafikiri wamekuwa billionaires overnight!
Mimi binafsi naamini katika generational wealth creation.

Huyo kaanzisha biashara

Biashara ikapass kwa wanawe na wanawe wataipass kwa watoto hadi wajukuu

Tatizo sisi waafrika tunatimuliwa home mapema sana bila "mpango ukwasi"

Matokeo yake kila kizazi huanza moja mwisho wote hufaa masikini au masikini wenye afadhali

Au once wealth creator akifa hakuna successional plan ukwasi hupotea mazima wahuni huuza kila kitu

Cheki hio familia, halafa cheki dewji family halagu cheki mengi family halafu cheki bakhersa family ana wengine wengi especially asians

Ngozi nyeusi tuna la kujifunza
 
Back
Top Bottom