Faza na bro wangu tumewazika hapo na hawakuwa hata na lakiLala mahali pema mzaa chema.
Nina miaka zaidi ya arobaini ya kuishi Dar. Sijawahi kuona muislamu asiye na pesa au wathifa akizikwa hapo atakapo zikiwa mpendwa wetu.
Je. Kisutu Kuna nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faza na bro wangu tumewazika hapo na hawakuwa hata na lakiLala mahali pema mzaa chema.
Nina miaka zaidi ya arobaini ya kuishi Dar. Sijawahi kuona muislamu asiye na pesa au wathifa akizikwa hapo atakapo zikiwa mpendwa wetu.
Je. Kisutu Kuna nini?
Naona mzee machache kaacha mali familia ipo kwa pilatoNadhani ni tabia tu na uamuzi wa mhusika, SIYO suala la utaifa - eti mhindi au mwarabu au mpemba! Waafrika wengi na Watanzania wengi tu, wamerithisha watoto wao biashara na wanaendesha vizuri tu. Sikutajii majina au familia, nakuachieni wewe na wana JF wengine mlifanyie hili utafiti.
Kwa hiyo Yanga wana msibamsibalMzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amefariki dunia alfajiri ya leo Machi 1 2022 na anatarajiwa kuzikwa leo saa kumi jioni kwenye makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
Marehemu Mzee Said ni Mfanyabiashara wa muda mrefu Tanzania ambapo alianzisha biashara ya kwanza mwaka 1955 kwa kuuza bidhaa ndogondogo Tanga lakini baadaye alihamia kuuza nguo na kuhama kutoka Tanga hadi Songea ambako alijitanua katika kilimo cha korosho ambacho Familia yake imekiendeleza hadi leo.
Marehemu Mzee Said alistaafu mwaka 1996 na kuruhusu kizazi kilichofuatia kuchukua usukani wa kila siku wa biashara na kuamua kuhamia Dar es Salaam na kuwa wasambazaji wakubwa wa mazulia ya PVC ndani ya Tanzania na nchi jirani.
Ghalib Said Mohamed (GSM) ni mdhamini wa Klabu ya Yanga ambapo amekuwa na msaada mkubwa miaka ya hivi karibuni tangu alipoanza uwekezaji klabuni hapo.
Utajiri wao umetoka mbaliWengine tukiwaona leo tunafikiri wamekuwa billionaires overnight!
Yule anaitwa said baba yao anaitwa saadSaad nadhanj ni yule kaka yao mkubwa aliekatili hadi kumwagia tindikali enzi za kikwenga
Ahsante sana mkuuPole sana mkuu
Ahsante mkuuPoleni
Mkuu sisi waswahili tuna matatizo sana vichwani mwetu.RIP. Wanawezaje kutunza na kukuza utajiri vizazi hadi vizazi?
Sio ndefu wala, huoni mzee katengeneza kizazi chake ndio kinafaidiKweli nina safari ndefu ya kutengeneza kizazi tajiri
Lala mahali pema mzaa chema.
Nina miaka zaidi ya arobaini ya kuishi Dar. Sijawahi kuona muislamu asiye na pesa au wathifa akizikwa hapo atakapo zikiwa mpendwa wetu.
Je. Kisutu Kuna nini?
Lala mahali pema mzaa chema.
Nina miaka zaidi ya arobaini ya kuishi Dar. Sijawahi kuona muislamu asiye na pesa au wathifa akizikwa hapo atakapo zikiwa mpendwa wetu.
Je. Kisutu Kuna nini?
Thanks bro, and you too
Punguza bangiThanks bro, and you too