Bugati Charlie wa mjini. Majiko anachukulia familia Kama hizi.Vipi Bugati naye kaoa kwenye huu ukoo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bugati Charlie wa mjini. Majiko anachukulia familia Kama hizi.Vipi Bugati naye kaoa kwenye huu ukoo?
Biashara si watajiibia wenyewe. Maana hakuna wezi kama watumishi.watumishi acheni kazi fanyeni biashara
[emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Biashara si watajiibia wenyewe. Maana hakuna wezi kama watumishi.
Hata Hamza alizikwa kisutu.Thank you for this vital information.
LABDA ni kwasababu sijaona wakazi wa huku usweken Kimara wakizikwa pale ndio maana nilidhani pale ni ushuani
Una biashara yoyote hadi leo? Usilaumu bila kuwa na uzoefu wowote.Wenzetu wahindi, waarabu na wapemba huanza kushirikisha watoto biashara toka wakiwa watoto wanakuwa na wazazi bega kwa bega kwenye biashara na hivyo kupelekea watoto kupenda sana biashara toka wakingali wadogo
Wazee wa kiswahili biashara ni kama uchawi hawawashirikishi watoto wawe wadogo au wakubwa ni yeye na biashara zake hata mke tu unakuta hajui ndio maana akifa unakuta na biashara inakufa
Wenzetu hasubiri afe na ndipo watoto warithi biashara!!! La akiwa yuko hai akijizeekea anastaafu anakabidhi watoto
Unaona Azam watoto wameishika mzee kastaafu ukienda mzee Dewji Kakaa umri umeenda pembeni kamwachia mwanae Mohamed Dewji au Mo aendeshe kampuni hata wafe Leo wazee hao watoto wanamudu kuendesha tena kwa nguvu kubwa kuliko walivyoendesha wazazi wao
Ninayo naongea kitu nakijuaUna biashara yoyote hadi leo? Usilaumu bila kuwa na uzoefu wowote.
Hizo korosho alikuwa analima Songea ipi mkuu,kwa maana Songea hawalimi korosho, korosho zinalimwa Tunduru,Songea ni wilaya yenye baridi na milima, na korosho hulimwa sehemu za joto na zilizo tambalale.Mzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amefariki dunia alfajiri ya leo March 1 2022 na atazikwa leo saa kumi jioni kwenye makaburi ya Kisutu Dar es salaam.
Marehemu Mzee Said ni Mfanyabiashara wa muda mrefu Tanzania ambapo alianzisha biashara ya kwanza mwaka 1955 kwa kuuza bidhaa ndogondogo Tanga lakini baadae alihamia kuuza nguo na kuhama kutoka Tanga hadi Songea ambako alijitanua katika kilimo cha korosho ambacho Familia yake imekiendeleza hadi leo.
Marehemu Mzee Said alistaafu mwaka 1996 na kuruhusu kizazi kilichofuatia kuchukua usukani wa kila siku wa biashara na kuamua kuhamia Dar es Salaam na kuwa Wasambazaji wakubwa wa mazulia ya PVC ndani ya Tanzania na nchi jirani.
View attachment 2134826
Pichani ni mzee Said Mohammed(Katikati) akiwa na wanae wawili
Hamza alikua na jina.Hata Hamza alizikwa kisutu.
Poleni sana mkuu Mungu amrehemu marehemu.Siku ya leo hii....yaani nimeamka nasikiliza wimbo wa GK tutakukumbuka daima milele mara unaisha tuu simu inaingia ya kuondokewa na binamu yangu hapo Muhimbili.
Umechemsha,kujifanya unajuana na waislam maarufu wote mjini,Inna li Llahi wa Inna ilayhi Rajiun.
Huyo itakuwa ni Mzee Saad, nijuavyo, Said ( Saidi Mahonda) ni nduguye Ghalib.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi Bugati naye kaoa kwenye huu ukoo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Biashara si watajiibia wenyewe. Maana hakuna wezi kama watumishi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Hamza alizikwa kisutu.
Nimesema fanya utafiti wako! Kama hutaki kujituma na kufanya utafiti wako - BASI!Ona unapata kigugumizi kuwataja hata watatu waswahili wa kutolea mfano !!! Sababu ni almost hawapo!!!
Hili swala waswahili tujitathimini
Huyo, aidha alichanganyikiwa au alichanganywa au ilikuwa katika mpango wa kutaka kumuibia!Naona mzee machache kaacha mali familia ipo kwa pilato
Nilishaufanya utafiti sana tu nikupe mfano wa karibu?Nimesema fanya utafiti wako! Kama hutaki kujituma na kufanya utafiti wako - BASI!
Mzee wa COCACOLA pale Mwanza anaendesha biashara hiyo, pamoja na biashara nyingine nyngi na watoto na wajukuu wake ; sijui kama unafahamu hilo. Akisepa wataendesha wao. Mwingine, kwa mfano tu, ni Mzee Sykes! Hata Mzee Rupia! Hiyo ni mifano michache ya kutukuka!Nilishaufanya utafiti sana tu nikupe mfano wa karibu?
Tajiri mkubwa mswahili Reginald Mengi alimpa hakuwapa watoto wake wakubwa kuendesha kampuni kabla ya kufa alibakia yeye tu kakomaa kama mkurugenzi mtendaji wakati ana mitoto mikubwa na imesoma vizuri sana hakustaafu kuachia watoto wakati kazeeeka hadi basi
Matokeo kampuni mirathi inasumbua !! Mzee hakuacha succession plan yeyote
Mumiliki tajiri wa Mahoteli makubwa mswahili mumiliki wa mahoteli ya kimataifa kama Ngurudoto nk shida hiyo hiyo mzee alizeeka hakukabidhi kwa watoto kuwa managing Directors .Kafariki kaacha shida biashara zinakufa
Zaidi ya Tajiri mengi wewe unaongelea wafanyabiashara machinga au?
Ndio maana nikwakwambia taja Walau waswahili watatu tu wafanyabiashara wakubwa wa mfano ambao wako vizuri kwenye hilo
Naomba Jina lake ni verify hizo taarifa kwa walioko Mwanza sababu hiyo cocacola Mwanza owners hakuwa mmoja wakati inaanzishwaMzee wa COCACOLA pale Mwanza anaendesha biashara hiyo, pamoja na biashara nyingine nyngi na watoto na wajukuu wake ; sijui kama unafahamu hilo. Akisepa wataendesha wao. Mwingine, kwa mfano tu, ni Mzee Sykes! Hata Mzee Rupia! Hiyo ni mifano michache ya kutukuka!
Nadhani hoja hapa ni "KUWARITHISHA" siyo zinavyo fanya kazi au zinavyo PERFORM! Kwa mantiki hiyo basi, wako Waswahili walio warithisha watoto wawe mali - kama hawakuziendeleza, hiyo ni hoja nyingine. Wa Mwanza ni Gachuma.Naomba Jina lake ni verify hizo taarifa kwa walioko Mwanza sababu hiyo cocacola Mwanza owners hakuwa mmoja wakati inaanzishwa
Kuhusu familia ya Mzee Rupia sio kweli wengi waliishia kuwa wafanyakazi serikalini tu vibarua walipwa mshahara mwisho wa mwezi
Nyerere hadi katibu mkuu wake alikuwa Rupia
BIASHARA gani ya mzee Sykes iko hai na ina perform vizuri sasa hivi .Ipi ? Ziko hoi .Kuanzia Sykes Travel choka mbaya