Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Ukafiri sio matusi bali ni sifa.
Neno "KAFIR" limetoka kwenye lugha ya kiarabu. Kiswahili maana yake ni "Yyt mwenye kumshirikisha Mungu na kitu flani".
Yaani ukiwa na imani kuwa Mungu Ana mshirika mwingine ktk uungu wake . Mfano Mwana na Roho Mtakatifu hapo unakuwa na Sifa ya UKAFIRI.

Kwa maana hio yyt anaeamini kuwa MUNGU NI MMOJA TU. hana Mshirika yyt wala mshauri ktk UUNGU WAKE huo sio kafiri.
Mfano wayahudi na Waislamu.
Hawa wote wanaamini MUNGU MMOJA TU. na Yesu ni mtume na mjumbe wa Mungu na ni binaadamu aloezaliwa kwa miujiza ya Mungu.
Lkn SIO MUNGU WALA MWANA WA MUNGU WALA hana ushirika wwt na MUNGU zaidi ya yeye YESU kuwa MTUMISHI na MTUMWA WA MUNGU.
Naona unaruka ruka TU . Eti Myahudi!? Myahudi Gani anayeamini katika Mtume Muhammad S.A.W!? Acha kuwaletea shobo wayahudi. Vipi Wahindu, nao ni makafiri!? Wachina!?

Una gubu sana na Wakristo, kwani wao peke yao ndio hawaamini katika huyo unayemuita Allah!? Eti Baba ,mwana na Roho mTakatifu, hiyo ni Imani yao, mbona hutaki kuelewa!? Unataka waifate ya kwako!? Punguzeni ujinga Aisee!
 
Kama katoa ubwabwa na kuku unaachaje?unakula vizuri tuh..

Lakini kuwa mkristo kisa ubwabwa no no no nooo,, mwamposa atawapata hao hao wavivu wa kufikiria,siyo WAISLAM wanaojitambua.
Huonagi zile hijabs pale kwa Mwamposa?
 
Ukitaka vipi sasa,si umeleta shobo mwenyewe?makafiri Kwa kuzuga mna upendo na sisi ndiyo wenyewe ila hamna lolote,watu wa chuki sana nyinyi makafiri.
B6xN-wXCAAAIpWM.png_large.png
 
Naona unaruka ruka TU . Eti Myahudi!? Myahudi Gani anayeamini katika Mtume Muhammad S.A.W!? Acha kuwaletea shobo wayahudi. Vipi Wahindu, nao ni makafiri!? Wachina!?

Una gubu sana na Wakristo, kwani wao peke yao ndio hawaamini katika huyo unayemuita Allah!? Eti Baba ,mwana na Roho mTakatifu, hiyo ni Imani yao, mbona hutaki kuelewa!? Unataka waifate ya kwako!? Punguzeni ujinga Aisee!
Myahudi mnaemshobokea ni nyinyi makafiri,siyo sisi... myahudi haamini kuwa Yesu ni Mungu na Wala hamtambui maria kama mama wa Mungu.

Tunawashangaa tuh makafiri kuishangilia Israel na kusema Taifa teule la Mungu,Mungu yupi Sasa...

Msivyo na akili Sasa,yule msela wa kizungu mmetundika pale msalabani na kumwita Mungu?toka Lin MUNGU akaenda chooni kukata gogo?
 
Maalim wangu Shetani alikula kiapo hatoingia Jahannam peke yake.
Na atahakikisha wanaadamu wengi sana wanaingia na yeye MOTONI MILELE.
Kuamini kuwa mchanga na chupi vinaleta bahati sio upofu wa macho huo bali ni UPOFU WA MOYO.

Hapo piga ua hawa bado wataendelea kuamini kuwa mwamposa ni Mtume.
Hata wakisikia mwampoa kabaka mtoto watasema alikuwa anamtoa pepo.

Upofu wa namna hio anaeweza kuwanusuru ni Allah peke yake.
Yule Shekhe wa Kigamboni aliyesema Yuko na majini msikitini yakiabudu nayo, nayo yataingia peponi!?
 
Sio suala la nani fala. Acha gubu. Suala la Imani ni suala binafsi na sio la mtu kulazimishwa. Anayeuziwa mchanga ni Imani yake inamtuma kuamini na halazimishwi, kwa nini iwe shida kwako!? Eti wanapigwa kijinga! Wanatumia hela Yako!?

Eti wewe unaufahamu kamili!? Sasa nani hana ufahamu!? Ndio maana watu wanaenda kwa vibabu vichawi kutafuta utajiri na vibabu vyenyewe vinaishi kwenye vibanda vinavyokaribia kuanguka, ushawahi jiuliza hawana akili!?

Mimi mmachinga, nishaona jamaa kapoteza hirizi ya biashara yake na kesho yake kafunga biashara kasafiri kwenda kwa Babu mpakani na Msumbiji huko kufuata hirizi nyingine. Hapo ni suala la Imani.
Lzm ufahamu tofauti kati ya imani na UJINGA.
Imani ni km wewe kuamini kanisani kuna uokovu na ukiomba Dua huenda zikakubaliwa . Au kaburi la babu yako litakuletea bahati. Hizo ni imani japo nyingi ni POTOFU.

Ujinga ni kuuziwa mchanga wa mtoni na mtu tapeli au kuvishwa Chupi ya buku jero wewe ukauziwa kwa laki 1 ukidanganywa kuwa utazaa. Hio sio imani bali ni Upumbavu. Wala sio ujinga.
Mjinga hajui , mpumbavu anajua lkn hana fahamu za kujikwamua.

Sisi km waungwana ni wajibu wetu kuwaamsha wapumbavu.
Tusipofanya hivyo Mungu atakuja kutuuliza " nyie mliona watanzania anapigwa na mtu tapeli kwanini hamkuwa kumbusha hao watu?

Tutasema nini?
 
Yule Shekhe wa Kigamboni aliyesema Yuko na majini msikitini yakiabudu nayo, nayo yataingia peponi!?

Majini ni Viumbe km Viumbe wwt wa Mungu
Wana maisha yao na imani zao.
Ndani ya jamii zao wako waislamu wako makafiri.
Mtu yyt anaedai kuwa kaona majini au yuko nayo lzm alete ushahidi sio kuropoka tu.

Km hana ushahidi akae kimya.
Sisi sio watu wa kubebwa na story za mihemko km hizo parokia
 
Lzm ufahamu tofauti kati ya imani na UJINGA.
Imani ni km wewe kuamini kanisani kuna uokovu na ukiomba Dua huenda zikakubaliwa . Au kaburi la babu yako litakuletea bahati. Hizo ni imani japo nyingi ni POTOFU.

Ujinga ni kuuziwa mchanga wa mtoni na mtu tapeli au kuvishwa Chupi ya buku jero wewe ukauziwa kwa laki 1 ukidanganywa kuwa utazaa. Hio sio imani bali ni Upumbavu. Wala sio ujinga.
Mjinga hajui , mpumbavu anajua lkn hana fahamu za kujikwamua.

Sisi km waungwana ni wajibu wetu kuwaamsha wapumbavu.
Tusipofanya hivyo Mungu atakuja kutuuliza " nyie mliona watanzania anapigwa na mtu tapeli kwanini hamkuwa kumbusha hao watu?

Tutasema nini?
Mimi naamini wewe unawaona wengine wapumbavu ndio mpumbavu namba Moja !
 
Myahudi mnaemshobokea ni nyinyi makafiri,siyo sisi... myahudi haamini kuwa Yesu ni Mungu na Wala hamtambui maria kama mama wa Mungu.

Tunawashangaa tuh makafiri kuishangilia Israel na kusema Taifa teule la Mungu,Mungu yupi Sasa...

Msivyo na akili Sasa,yule msela wa kizungu mmetundika pale msalabani na kumwita Mungu?toka Lin MUNGU akaenda chooni kukata gogo?
images(26).jpg
 

Attachments

  • images(26).jpg
    images(26).jpg
    25.8 KB · Views: 3
Majini ni Viumbe km Viumbe wwt wa Mungu
Wana maisha yao na imani zao.
Ndani ya jamii zao wako waislamu wako makafiri.
Mtu yyt anaedai kuwa kaona majini au yuko nayo lzm alete ushahidi sio kuropoka tu.

Km hana ushahidi akae kimya.
Sisi sio watu wa kubebwa na story za mihemko km hizo parokia
Unajua nini!? Nimegundua Wewe kumbe ni Mpumbavu mmoja TU. Nimefunga mjadala.
 
Naona unaruka ruka TU . Eti Myahudi!? Myahudi Gani anayeamini katika Mtume Muhammad S.A.W!? Acha kuwaletea shobo wayahudi. Vipi Wahindu, nao ni makafiri!? Wachina!?

Una gubu sana na Wakristo, kwani wao peke yao ndio hawaamini katika huyo unayemuita Allah!? Eti Baba ,mwana na Roho mTakatifu, hiyo ni Imani yao, mbona hutaki kuelewa!? Unataka waifate ya kwako!? Punguzeni ujinga Aisee!
SIANDIKI KITU BILA UHAKIKA.
Wayahudi Ndani ya Kitabu chao wanaamini MUNGU MMOJA TU.
Hana mshirika wala hana anaefanana nae.
Ndio nikasema IMANI PEKEE ZINAAMINI MUNGU NI MMOJA TU ni WAISLAMU NA WAYAHUDI.
Zilizobaki zote ni Imani za KIKAFIRI.
Yaani zina miungu wengi .
Wakristo wana Baba mwana Roho.
Wachina wana Masanamu hayana idadi.
Wahindi wao kila siku wanaabudu moj nyani nyoka, ng'ombe mpk Bata na sehemu za siri pia wako baadhi yao wanaabudu.

Soma upate elimu kijana
 
Back
Top Bottom