Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Khaaa fursa
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Tena haswaa aache jipendekeza
 
Ni jambo jema, tukiacha hizi dini tulizoletewa ambazo kwa hakika zina manufaa na ni njema

Sisi ni waafrika tupendane na tusibaguane, upendo kwanza na tuendeleze udugu daima
Hakuna Cha jambo jema hapo,ni unafiki na kutafuta attention tuh hao makafiri,if the had good intention for that why waalike waandishi wa habari waseme eti Mzee wa kanisa afuturisha,hiyo michezo ya kitoto na fikra za kimaskini za makafiri
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Hakuna cha ajabu, familia yake ina waisilamu wengi huenda kuzidi wakiristu waliomo kwenye familia, na pia huenda alitoka uisilamu akaingia ukiristu, chukulia hili ni tukio la maisha yao ya kila siku.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Inapendeza
 
Hakuna Cha jambo jema hapo,ni unafiki na kutafuta attention tuh hao makafiri,if the had good intention for that why waalike waandishi wa habari waseme eti Mzee wa kanisa afuturisha,hiyo michezo ya kitoto na fikra za kimaskini za makafiri
Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga, na ukifanya mazuri daima yatakurudia

Ukiwa na fikra mgando huwezi ona nje ya box
 
Nadhani ni ile spirit yao ya kupenda kutoa misaada na upendo ndi tatizo. Sisi hatujazoea haya. Ila nimeshangaa watu kwenda kweli kukaa na kuufinya. Kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Njaa mbaya sana.
Kati ya waislam na wakristo ni kina nani wanatoa misaada sana? Nazungumzia mtu mmoja mmoja kama alivyofanya huyo bwana kufuturisha watu
 
𝒘𝒂𝒍𝒊𝒗𝒚𝒐 𝒏𝒂 𝒌𝒊𝒄𝒉𝒘𝒂 𝒄𝒉𝒂 𝒌𝒖𝒔𝒂𝒉𝒂𝒖 𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒘𝒂𝒕𝒂𝒎𝒄𝒉𝒂𝒑𝒂 𝒗𝒊𝒃𝒐𝒌𝒐 𝒌𝒆𝒔𝒉𝒐 𝒎𝒄𝒉𝒂𝒏𝒂
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Kwa hiyo Kaffir kawafuturisha watu wa mnyazi?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Kwahiyo wamekula chaula cha KAFIR?
 
Huku kwetu hakuna ubaguzi wa kidini. waislam kuchimba kaburi la mkristo ni Jambo la kawaida Sana na wakristo vile Ile . Muislam kuwa mpishi mkuu kwenye Shughuli ya wakristo ni Jambo la kawaida Sana. Wakristo kuchoma nyama kisha wakawapa waislam wale ni Jambo la kawaida Sana. Kwenye familia kukuta kunawaislam na wakristo ni Jambo la kawaida Sana na watu wanaishi tu fesh.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Ndiyo maana makafir wanaokula pekee yao mchana wanacharazwa bakora. Watusubiri jioni tule wote.
 
Back
Top Bottom