Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Wapemba ni waharifu wale, wanajua kabisa hata kitabu chao hakiwapi haki ya kuchapa watu bakora mwezi wa ramadhani! Ni uhalifu tu upumbavu uliowajaa

Hayupo MUNGU wa kweli kuwaamrisha watu wachapwe bakora sababu tu wao hawakufunga! Na mbaya kabisa si wa imani yao
 
Wapemba ni waharifu wale, wanajua kabisa hata kitabu chao hakiwapi haki ya kuchapa watu bakora mwezi wa ramadhani! Ni uhalifu tu upumbavu uliowajaa

Hayupo MUNGU wa kweli kuwaamrisha watu wachapwe bakora sababu tu wao hawakufunga! Na mbaya kabisa si wa imani yao
Yesu alikuwa anafunga siku arubaini hivi wewe unafunga kama Yesu?.
 
Makafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Nyie acheni Shobo kuingilia uhuru wa watu katika kula..

Mngejifunza kuishi kama wakristo.. naamini kusengekuepo na chuki na kuua kujilipua hata ugaidi pia..

Dini gani inayofundisha kumchukia binadamu mwenzako..

Usipende usitupende sisi tutaishi kwa upendo na kila mtu hivyo ndivyo tunafundishwa.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Na hao waislamu wakala hiyo futari? Hawapo serious.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.

MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.

Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.

Nipashe

Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Msabato na muslim wanaelewana sana, ila Muslim na Mkatoliki na Msabato na Mkatoliki hawaivi sijui kisa ni yule mbuzi katoliki!!!
 
Nyie acheni Shobo kuingilia uhuru wa watu katika kula..

Mngejifunza kuishi kama wakristo.. naamini kusengekuepo na chuki na kuua kujilipua hata ugaidi pia..

Dini gani inayofundisha kumchukia binadamu mwenzako..

Usipende usitupende sisi tutaishi kwa upendo na kila mtu hivyo ndivyo tunafundishwa.
Nijifunze kuishi kama mkristo?

Mimi siyo fala, niambiwe eti nifunge ndoa za jinsia Moja then nichekelee...

Au niende Kwa mwamposa niuziwe mchanga.
 
Back
Top Bottom