NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Ukiona hivyo ujue hiyo mada imemgusa haswa.Sijawahi ona comment yako zaid ya ma like milioni!!
Duh! Rararere apewe maua yakeSijawahi ona comment yako zaid ya ma like milioni!!
Na wewe acha kuuliza maswali ya kitoto! Umeambiwa mke na siyo mwanamke wako, mke akichukuliwa na mwanaume mwingine anakuwa mchepuko na anakuwa anafanya zinaa! Mwanamke wako huyo ni mali ya umma kila mtu ruksa kujipigia ingawa anaishi kwako! Wewe unalea tu!Haina mantiki kabisa.
Kwa hiyo unataka kusema kama ulioa mwanamke wako akiwa bikra ndio wanaume wengine wakimtaka hawawezi kumpata?
Wewe ndio bado mtoto huna experience na wanawake,ndio nimeuliza mantiki yake ni nini yaani kama mke wako alikuwa bikira ndio wanaume wengine hawawezi kushea?Au hujui kuwa siku hizi ndoa zina siri nyingi sana zilizojifichaNa wewe acha kuuliza maswali ya kitoto! Umeambiwa mke na siyo mwanamke wako, mke akichukuliwa na mwanaume mwingine anakuwa mchepuko na anakuwa anafanya zinaa! Mwanamke wako huyo ni mali ya umma kila mtu ruksa kujipigia ingawa anaishi kwako! Wewe unalea tu!
Si unaona ulivyo mjinga! Tunajadili mke na siyo michepuko! Kama "mke" (ulimuoa bikra) wako anagawia uchi wake kwa kila anayemshangaa huyo ni mke malaya. Umalaya ni tabia!Wewe ndio bado mtoto huna experience na wanawake,ndio nimeuliza mantiki yake ni nini yaani kama mke wako alikuwa bikira ndio wanaume wengine hawawezi kushea?Au hujui kuwa siku hizi ndoa zina siri nyingi sana zilizojificha
Kwa hiyo huyu msanii wa kizazi kipya mke aliyenae si wake, wake yeye yuko mbinguni katika wale majini 72 walioahidiwa wale wenzetu wasiojitambua akili, si ndiyo?
View: https://youtu.be/HOlfzh_PrVg?si=WFFiYUaZ_QmOJx4y
Hii imekaaje wakuu, mbona km balaa vile
View attachment 3040632
Sasa unamkosoa mwamba afu unajipiga nyundo mwenyewe. Awe bikra au sio bikra umalaya n tabia tu ya mtu husika. Unaweza oa bikra afu akaanza kutoka na ikawa lala salamaSi unaona ulivyo mjinga! Tunajadili mke na siyo michepuko! Kama "mke" (ulimuoa bikra) wako anagawia uchi wake kila anayemshangaa huyo ni mke malaya. Umalaya ni tabia!
Jamaa kwa likes hajambooooSijawahi ona comment yako zaid ya ma like milioni!!
Ha ha ha haMkuu! Kumbe na wewe uwa una comment? Naonaga like! Like! Like! Nikadhani wewe bubu!
Yaani wewe unajiona ni mjanja kumbe ndio mjinga zaidi.Si unaona ulivyo mjinga! Tunajadili mke na siyo michepuko! Kama "mke" (ulimuoa bikra) wako anagawia uchi wake kila anayemshangaa huyo ni mke malaya. Umalaya ni tabia!