daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Wanaweza kumpata lakini huyo ni mke wakoHaina mantiki kabisa.
Kwa hiyo unataka kusema kama ulioa mwanamke wako akiwa bikra ndio wanaume wengine wakimtaka hawawezi kumpata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaweza kumpata lakini huyo ni mke wakoHaina mantiki kabisa.
Kwa hiyo unataka kusema kama ulioa mwanamke wako akiwa bikra ndio wanaume wengine wakimtaka hawawezi kumpata?
Mkuu, body count inabidi iwe ngapi ndiyo mwanamke angalau awe na sifa ya kuoleka kama kupata bikra imeshindikana?Wanawake hawajitunzi kwa sababu mpo wanaume kama nyie ambao mnaoa tu bila kujali body count.
najua unajitetea indirectly. Kama umeoa non virgin woman jua kwamba umepigwaHii dhana ni dhaifu sana,ndio maana sehemu flani wanatoa ndogo ili kutunza bikra😁😁,ndio muhimu si ni bikra kukutwa iko vile vile!!!!ni heshima sana kwa muoaji kukuta bikra,so hata itamfanya kujiona kidume maana ana uhakika hana upinzani.
Body count ni nini mbele ya mwanamke kiburi,mchafu,roho mbaya,kisirani,mfitini,mkorofi,ana gubu??mwisho wa siku wote tunakubaliana bikra sio hitaji la msingi ktk ndoa,ndio maana bado watu wanoa watu wasio na bikra.
Naona hatuelewaniYaani wewe kwa mfano unahitaji kuoa kwa hiyo ndio uanze kupita mitaani jamani natafuta mke ila kigezo chake awe ni bikira watu watakuona umechanganyikiwa,au wewe ukimuona mwanamke bila ya kumvua nguo kwa kumuangalia tu unawezaje kujua kama ni bikira?
Body count hata ikiwa moja tu ni red flag.View attachment 3042240
Mkuu, body count inabidi iwe ngapi ndiyo mwanamke angalau awe na sifa ya kuoleka kama kupata bikra imeshindikana?
Vipi kama mtu ana body count ya mwanaume mmoja tu lakini ndiyo walioana chuoni huko kwa ndoa bubu miaka mitatu wanaishi pamoja kama mume na mke? Hii inakubalika? Huoni kama hata hiki kigezo cha body count nacho kina matatizo?
Nahakika ungemwambia malaya mwenzangu asingekasirika 😂😂😂Nilishawahi mwita demu malaya aka mind kinyama
Umetoka na wanaume 6 kama wewe sio malaya ni nani?
Angekuwa ametoka na watatu ningemfikiria
Mzee wa upako, "lete raha " nilisema siku moja kuwa wengi tumeoa wake za watu, mzee wa upako asante kwa kunipa mkono.
Haha 😀 alikuw anajichetua kama kaokoka vile.Nahakika ungemwambia malaya mwenzangu asingekasirika 😂😂😂
Ulikosea ....Nilishawahi mwita demu malaya aka mind kinyama
Umetoka na wanaume 6 kama wewe sio malaya ni nani?
Angekuwa ametoka na watatu ningemfikiria
Wimbi la single mothers ilihali mafather wapo..imekuwa fashion kwa wanawake wengi hasa tu akiwa ana uwezo kumake vihela kadhaa..hakika hii trend ni mbaya kama ile ya vijana kutaka mashangazi walelewe.Hila sasa hivi kuna trend ya masingle mother sio poa! Hapa mtaani nyumba nyingi tena watu chini ya miaka 40 wake zao ni Masingle mother. Wana watoto wakubwa kuliko waliowazalia waume zao! Naona hadi kinyaa!
So hapo ulipo upo na mke wako uliyemtoa bikra au umeng'ang'ana na mke wa mtu?Huyu jamaa ana kitu...Kuna kitu anacho
Tena sio mmoja ni 4 na wote nawajua ila mimi ndio mmewe.najua unajitetea indirectly. Kama umeoa non virgin woman jua kwamba umepigwa
KweliUlikosea ....
Ungemwita kwa jina lake tu.
Sawa ndio utulie na mkeo uko sasa usiamasishe na wengine kuoa malaya.Tena sio mmoja ni 4 na wote nawajua ila mimi ndio mmewe.
So hapo ulipo upo na mke wako uliyemtoa bikra au umeng'ang'ana na mke wa mtu?
Sasa hapo wana utofauti gani si inakuwa sawa tu na wasiioolewa na bikiraWanaweza kumpata lakini huyo ni mke wako
Malaya ni hulka,malaya wote waliwahi kuwa na bikra.Sawa ndio utulie na mkeo uko sasa usiamasishe na wengine kuoa malaya.
Wapi nimewagusa waislam, naomba uweke mstari ni wapi nimewataja Waislam.Wewe kafiri kwani lazima uwaguse Waislam? Nikikuuliza kwanini unawachokoza Waislam unaweza kuniambia sababu? Au ndio hasira unataka kuwamalizia?
Halafu hayuko sahihi hata hivyo. Sijui kwanini umewaparamia Waislam!
Allah awaongoze wewe na yeye