Mzee wa Upako: Ukikuta Mwanamke hana Bikira huyo sio mke wako

Mzee wa Upako: Ukikuta Mwanamke hana Bikira huyo sio mke wako

Ni ya ccm au ostabey
downloadfile.jpg
 
Ni kwa sababu wanaume wajinga wameruhusu huo upuuzi zamani bikira ilikua kigezo kikuu cha mwanamke kuolewa ila sasa hivi wanawake hawajali wanajua hata wakikitombesha mtaa mzima wataolewa tu. Wanaume tukianza kuwa-treat harshly kutokana na past zao watapata somo hata wakiachiwa izo access watajua wanatakiwa kujichunga.
Sasa nadhani umeanza kunielewa nilichokuwa nakusudia kusema.
Ni zama hizi tulizonazo ushetani ni mwingi huwezi ukalinganisha na mwaka 1970.
Japo kuna nchi chache bado wameendeleza hizo tamaduni za wanawake kutunza bikira lakini na wanaume pia hawaruhusiwi kujihusisha na mapenzi na msichana hadi atakapooa na akikiuka anapewa adhabu kali unaweza hata ukauliwa,mfano wa nchi wenye mila hii ni Sudan Kusini.
 
Sasa nadhani umeanza kunielewa nilichokuwa nakusudia kusema.
Ni zama hizi tulizonazo ushetani ni mwingi huwezi ukalinganisha na mwaka 1970.
Japo kuna nchi chache bado wameendeleza hizo tamaduni za wanawake kutunza bikira lakini na wanaume pia hawaruhusiwi kujihusisha na mapenzi na msichana hadi atakapooa na akikiuka anapewa adhabu kali unaweza hata ukauliwa,mfano wa nchi wenye mila hii ni Sudan Kusini.
Hakuna popote nilipokuelewa, bikira ni kielelezo cha maadili mema na usafi wa mwanamke. Mwanamke ambae hana bikira wakati hajaolewa uyo ni mzinzi hatuwezi kuhalalisha uzinzi kwa kisingizio cha usasa. Wanawake hawajitunzi kwa sababu mpo wanaume kama nyie ambao mnaoa tu bila kujali body count.
 
Hajielewi anachokiongea huyo anakurupuka na mihemko ili mradi ajifariji kwamba mkewe haliwi na watu wengine,siku akija kujua siri atazimia kama sio kufa.
Hajui hata malaya alikua bikra. So yeye atulie tu coz hao mabikra unakuta tuna warubuni sisi afu una walaumu tu. Bakra ili wawepo wanaume tuoe na sio kutest mitambo na kukimbia
 
Haina mantiki kabisa.
Kwa hiyo unataka kusema kama ulioa mwanamke wako akiwa bikra ndio wanaume wengine wakimtaka hawawezi kumpata?
Anamaanisha hivi, mke wako ni yule muliyeingia agano kwa kumtoa bikra au kuwa wa kwanza kufanya naye ngono.
Yaani ile first date ndiyo ndoa ilifungwa spiritual. Hao waliogonga badala yako ni wazinzi wenzake
 
Anamaanisha hivi, mke wako ni yule muliyeingia agano kwa kumtoa bikra au kuwa wa kwanza kufanya naye ngono.
Yaani ile first date ndiyo ndoa ilifungwa spiritual. Hao waliogonga badala yako ni wazinzi wenzake
Hii mambo ya spiritual ndo inawapoteza watu, tupo kwenye dunia halisi mkuu.
Mke wako ni yule mliyesaini karatasi ya ndoa ya serikali. Huwezi kufumaniwa na uliyemtoa bikra ukasema huyu ni spiritual wife, hutaeleweka.
HATA HIVYO NAAFIKI SUALA LA KUOA BIKRA.
 
Hakuna popote nilipokuelewa, bikira ni kielelezo cha maadili mema na usafi wa mwanamke. Mwanamke ambae hana bikira wakati hajaolewa uyo ni mzinzi hatuwezi kuhalalisha uzinzi kwa kisingizio cha usasa. Wanawake hawajitunzi kwa sababu mpo wanaume kama nyie ambao mnaoa tu bila kujali body count.
Yaani wewe kwa mfano unahitaji kuoa kwa hiyo ndio uanze kupita mitaani jamani natafuta mke ila kigezo chake awe ni bikira watu watakuona umechanganyikiwa,au wewe ukimuona mwanamke bila ya kumvua nguo kwa kumuangalia tu unawezaje kujua kama ni bikira?
 
Hajui hata malaya alikua bikra. So yeye atulie tu coz hao mabikra unakuta tuna warubuni sisi afu una walaumu tu. Bakra ili wawepo wanaume tuoe na sio kutest mitambo na kukimbia
Yes anashindwa kufikiria hilo.
Ingekuwa na mantiki kama wanaume tungekuwa hatuwasumbui lakini mwanamke kila anapotoka nje kwenye matembezi yake anasumbuliwa na wanaume 10 kila siku atajitunzaje
 
Anamaanisha hivi, mke wako ni yule muliyeingia agano kwa kumtoa bikra au kuwa wa kwanza kufanya naye ngono.
Yaani ile first date ndiyo ndoa ilifungwa spiritual. Hao waliogonga badala yako ni wazinzi wenzake
Na vipi mwanamke ambaye amebakwa tena na wanaume zaidi ya mmoja kisha bikra ikatoka?hao wote waliombaka watakuwa ni waume zake wa ndoa spiritually?
Au mwanamke mwingine anaamua kupigwa mtungo siku ya kwanza tu na hapo unasemaje?
Unapotoa kanuni inabidi kanuni yako ifanye kazi kwenye conditions zote
 
Hakuna popote nilipokuelewa, bikira ni kielelezo cha maadili mema na usafi wa mwanamke. Mwanamke ambae hana bikira wakati hajaolewa uyo ni mzinzi hatuwezi kuhalalisha uzinzi kwa kisingizio cha usasa. Wanawake hawajitunzi kwa sababu mpo wanaume kama nyie ambao mnaoa tu bila kujali body count.
Hii dhana ni dhaifu sana,ndio maana sehemu flani wanatoa ndogo ili kutunza bikra😁😁,ndio muhimu si ni bikra kukutwa iko vile vile!!!!ni heshima sana kwa muoaji kukuta bikra,so hata itamfanya kujiona kidume maana ana uhakika hana upinzani.

Body count ni nini mbele ya mwanamke kiburi,mchafu,roho mbaya,kisirani,mfitini,mkorofi,ana gubu??mwisho wa siku wote tunakubaliana bikra sio hitaji la msingi ktk ndoa,ndio maana bado watu wanoa watu wasio na bikra.
 
Na vipi mwanamke ambaye amebakwa tena na wanaume zaidi ya mmoja kisha bikra ikatoka?hao wote waliombaka watakuwa ni waume zake wa ndoa spiritually?
Au mwanamke mwingine anaamua kupigwa mtungo siku ya kwanza tu na hapo unasemaje?
Unapotoa kanuni inabidi kanuni yako ifanye kazi kwenye conditions zote
Hayo uliyoyaelezea possibility yake kutokea katika jamii 0.000001.
Kwahiyo tuyaweke kando
 
Back
Top Bottom