Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Si na yeye atoe wa kwake
 
Hawajapotoka kwenye waraka.

Wamrsema kile kinachoepukwa na watawsla kuzungumzwa
 
 
"Mzee wa Upako" yeye kama yeye ni taasisi.akikamatwa AU kufungiwa ndio mwisho wa huduma Yake.Roman Catholic hata ukikamata maaskofu nchi nzima huwezi kuifuta nchini.Salama ya Mzee wa Upako aendelee kudumu ni kuwa upande wa serikali Hata kama hawapo sahihi 🤔
 
Bandari Sio ya waislamu Wala Wakristo Nashangaa hizi akili za udini mnatoa wapi
 
Mzee wa k-vant na konyagi.
 
Nahisi Kalewa huyu au ananyemelewa na mental disturbances! Kwani Mzee wa upako anauzungumziaje mkataba?? Nona yupo njee kabisa ya maada. Mambo ya kurusha jiwe gizani sijui! Mambo ya kujimwambafai eti ni mwanazuoni mbobevu, eti sijui watu wanamtenga kwakuwa ni mlevi!! Whaat an idiot!!. Naona analenga chuki zake bayaana kwa wakatoliki ktk areas za wingi na ukubwa na mambo kibao yasiyo na tija. Takataka. Ila ni haki yake kuongea kikatiba,
 
Kunatajwa dini na watu wasiokuwa na hoja. Utalazimisha wasiokuwa na hoja wawe nazo?

Angalia Mzee huyu au huyu hapa, nini tofauti yao?

View attachment 2725149
Kwa hivyo madai yako sio ya kweli kwamba hakuna udini? Au ile kauli yako ya 1+1=2 sio ya kweli sasa kama tulivyojenga hoja?
 
Kwa hivyo madai yako sio ya kweli kwamba hakuna udini? Au ile kauli yako ya 1+1=2 sio ya kweli sasa kama tulivyojenga hoja?

Hakuna udini hapa wanaovuta udini Hawana hoja.

"Ni kawaida Kwa wanaoshindwa hoja kujikita kwenye ubaguzi wa kikabila, kidini, kikanda nk." --- JKN rip.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…