Mzee Warioba ateuliwe tena kukamilisha kazi aliyotumwa na Watanzania

Mzee Warioba ateuliwe tena kukamilisha kazi aliyotumwa na Watanzania

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Tuliona kazi iliyotukuka iliyofanywa na Tume ya kukusanya maoni juu ya Katiba mpya mwenyekiti wa Tume hiyo akiwa Mzee Warioba.

Walikuwepo wazee kama Mzee Sitta walioshiriki katika mchakato huo katika ngazi mbalimbali, pamoja na kuwa na afya njema enzi hizo, Leo hatunao tena Duniani lakini Mzee Warioba yupo.

Mzee Warioba ni Mzee aliyelitumikia Taifa letu Kwa uadilifu mkubwa na ameshiriki kikamilifu kulisaidia Taifa kufika hapa tulipo kwa uzoefu na busara zake.

Mzee Warioba ni Mzee amekula chumvi nyingi na kushiba siku nyingi za kheri katika Nchi yetu nzuri Tanzania. Hadi hivi leo Watanzania tunatambua mchango wake katika mambo mengi, lakini jambo kuu lililotugusa Watanzania ni Utumishi wake uliotukuka katika mchakato wa Katiba mpya.

Alizunguka Nchi nzima akiwa na Tume yake na Watanzania tulishiriki Kutoa maoni tukimuamini Nia yake njema juu ya Taifa letu. Pamoja na mchakato huo kukwama mwaka 2014, bado wananchi tunayo Imani juu yake kuwa ana uwezo kusaidia Nchi kupata KATIBA mpya nzuri ya kulivusha Taifa letu Kwa sasa.

Mnyukano unaoendelea wa wasaka urais usipotanguliwa na kupatikana Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, hakika "Watatoana macho"

Watanzania tunaendelea kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu Ili ashuhudie Kwa macho yake maono yake ya nchi yetu ikipata katiba mpya itakayozaa vyama imara, Uchumi imara, viongozi mahiri na Usimamizi bora wa Raslimali zetu Kwa Sheria zinazotekelezeka.

USHAURI: Mzee Warioba Bado ana nguvu, busara, nia na utayari wa kumalizia kazi aliyoianza.

Arudishwe kwenye Tume ya Katiba mpya, mchakato uhuishwe UPYA, tuondoe uchafuzi Ule unaoitwa "Katiba Pendekezwa".

Tuanze na Rasimu ya Katiba mpya kabla ya kuingia Bunge la Katiba, mchakato uanzie hapo, tujadiliane Kwa kina mfumo mzuri wa kuwapata wabunge wa Bunge maalum la Katiba wasio mapandikizi ya chama Dola, na hatimaye tupate KATIBA mpya.

Mungu mbariki Mzee Warioba.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
 
Tuliona KAZI iliyotukuka iliyofanywa na Tume ya kukusanya maoni juu ya Katiba mpya mwenyekiti wa Tume hiyo akiwa Mzee Warioba.

Walikuwepo wazee kama Mzee Sitta walioshiriki katika mchakato huo katika ngazi mbalimbali, pamoja na kuwa na AFYA njema enzi hizo, Leo hatunao tena Duniani lakini Mzee Warioba yupo.

Mzee Warioba ni Mzee aliyelitumikia Taifa letu Kwa uadilifu mkubwa na ameshiriki kikamilifu kulisaidia Taifa kufika hapa tulipo Kwa uzoefu na BUSARA zake.


Mzee Warioba ni Mzee amekula chumvi nyingi na kushiba siku nyingi za kheri katika Nchi yetu nzuri TANZANIA. Hadi hivi Leo Watanzania tunatambua mchango wake katika mambo mengi ,lakini jambo kuu lililotugusa Watanzania ni Utumishi wake uliotukuka katika mchakato wa KATIBA mpya.

Alizunguka Nchi nzima akiwa na Tume yake na Watanzania tulishiriki Kutoa maoni tukimuamini Nia yake njema juu ya Taifa letu. Pamoja na mchakato huo kukwama mwaka 2014, bado wananchi tunayo Imani juu yake kuwa ana uwezo kusaidia Nchi kupata KATIBA mpya nzuri ya kulivusha Taifa letu Kwa sasa.

Mnyukano unaoendelea wa wasaka urais usipotanguliwa na kupatikana Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, HAKIKA "Watatoana macho" .

Watanzania tunaendelea kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu Ili ashuhudie Kwa macho yake MAONO yake ya nchi yetu ikipata KATIBA mpya itakayozaa vyama imara, Uchumi imara, viongozi mahiri na Usimamizi Bora wa Raslimali zetu Kwa SHERIA zinazotekelezeka.

USHAURI: Mzee Warioba Bado ana nguvu, BUSARA, Nia na utayari wa kumalizia KAZI aliyoianza.

Arudishwe kwenye Tume ya KATIBA mpya, mchakato uhuishwe UPYA, tuondoe uchafuzi Ule unaoitwa " KATIBA Pendekezwa".

Tuanze na RASIMU ya KATIBA mpya kabla ya kuingia Bunge la Katiba, mchakato uanzie hapo, tujadiliane Kwa kina mfumo mzuri wa kuwapata wabunge wa Bunge maalum la Katiba wasio mapandikizi ya chama Dola, na hatimaye tupate KATIBA mpya.

Mungu mbariki Mzee Warioba,

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
Mzee warioba Alishasema kuwa rasimu ya katiba aliyo izundua Kikwete ni nzuri sana

USSR
 
Mzee warioba Alishasema kuwa rasimu ya katiba aliyo izundua Kikwete ni nzuri sana

USSR
Hata kikosi KAZI hakuwahi kukikosoa,

Mzee Warioba anaamini katika kukubaliana Kwa pamoja.

Tumtumie vizuri Bado akiwa na AFYA njema maana ni mmoja kati ya wazee Wachache wa Taifa waliobaki wanaojitambua.
 
Tuliona KAZI iliyotukuka iliyofanywa na Tume ya kukusanya maoni juu ya Katiba mpya mwenyekiti wa Tume hiyo akiwa Mzee Warioba.

Walikuwepo wazee kama Mzee Sitta walioshiriki katika mchakato huo katika ngazi mbalimbali, pamoja na kuwa na AFYA njema enzi hizo, Leo hatunao tena Duniani lakini Mzee Warioba yupo.

Mzee Warioba ni Mzee aliyelitumikia Taifa letu Kwa uadilifu mkubwa na ameshiriki kikamilifu kulisaidia Taifa kufika hapa tulipo Kwa uzoefu na BUSARA zake.


Mzee Warioba ni Mzee amekula chumvi nyingi na kushiba siku nyingi za kheri katika Nchi yetu nzuri TANZANIA. Hadi hivi Leo Watanzania tunatambua mchango wake katika mambo mengi ,lakini jambo kuu lililotugusa Watanzania ni Utumishi wake uliotukuka katika mchakato wa KATIBA mpya.

Alizunguka Nchi nzima akiwa na Tume yake na Watanzania tulishiriki Kutoa maoni tukimuamini Nia yake njema juu ya Taifa letu. Pamoja na mchakato huo kukwama mwaka 2014, bado wananchi tunayo Imani juu yake kuwa ana uwezo kusaidia Nchi kupata KATIBA mpya nzuri ya kulivusha Taifa letu Kwa sasa.

Mnyukano unaoendelea wa wasaka urais usipotanguliwa na kupatikana Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, HAKIKA "Watatoana macho" .

Watanzania tunaendelea kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu Ili ashuhudie Kwa macho yake MAONO yake ya nchi yetu ikipata KATIBA mpya itakayozaa vyama imara, Uchumi imara, viongozi mahiri na Usimamizi Bora wa Raslimali zetu Kwa SHERIA zinazotekelezeka.

USHAURI: Mzee Warioba Bado ana nguvu, BUSARA, Nia na utayari wa kumalizia KAZI aliyoianza.

Arudishwe kwenye Tume ya KATIBA mpya, mchakato uhuishwe UPYA, tuondoe uchafuzi Ule unaoitwa " KATIBA Pendekezwa".

Tuanze na RASIMU ya KATIBA mpya kabla ya kuingia Bunge la Katiba, mchakato uanzie hapo, tujadiliane Kwa kina mfumo mzuri wa kuwapata wabunge wa Bunge maalum la Katiba wasio mapandikizi ya chama Dola, na hatimaye tupate KATIBA mpya.

Mungu mbariki Mzee Warioba,

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
Je ndoto hii njema yaweza kutimia,🤔
 
Je ndoto hii njema yaweza kutimia,🤔
Mwezi kama huu mwaka Jana nilijoin kuhamasisha kuanza Kwa mchakato wa KATIBA mpya tena.

Wakati huo palikuwa na makundi mabaya ya kuhasimiana na kutukana watangulizi mkt Mbowe akiwa JELA.

Usisahau: Mbeba maono hafi Hadi MAONO yake yatimie.

Pia kumbuka ni Bora kuwa na NDOTO au MAONO, Taifa bila Maono litaangamia.

Bring back our WARIOBA.

Amen.
 
Msimuingize mama chaka subirieini awamu yake au zake ziishe then muamue mnachotaka wenyewe wakati huo sisi tutakuwa zetu nyumban.na hata kama koti linatubana tutalivua tukiwa nyumbani.
 
Msimuingize mama chaka subirieini awamu yake au zake ziishe then muamue mnachotaka wenyewe wakati huo sisi tutakuwa zetu nyumban.na hata kama koti linatubana tutalivua tukiwa nyumbani.
HOJA ya KATIBA mpya ni takwa la Watanzania Si hisani.

Alipoingia madarakani sa100 alitamka kuwa mchakato wa KATIBA mpya utaanza 2026.

Hatua tuliyofikia Leo ni matokeo ya kudai HAKI yetu. Utaona budget inatengwa Kwa ajili ya KATIBA mpya.

Angalizo; Wananchi ndio bosses wa Watawala kikatiba, hivyo Watawala wanawajibika kwetu na Si vyinginevyo.
 
Tuliona KAZI iliyotukuka iliyofanywa na Tume ya kukusanya maoni juu ya Katiba mpya mwenyekiti wa Tume hiyo akiwa Mzee Warioba.

Walikuwepo wazee kama Mzee Sitta walioshiriki katika mchakato huo katika ngazi mbalimbali, pamoja na kuwa na AFYA njema enzi hizo, Leo hatunao tena Duniani lakini Mzee Warioba yupo.

Mzee Warioba ni Mzee aliyelitumikia Taifa letu Kwa uadilifu mkubwa na ameshiriki kikamilifu kulisaidia Taifa kufika hapa tulipo Kwa uzoefu na BUSARA zake.


Mzee Warioba ni Mzee amekula chumvi nyingi na kushiba siku nyingi za kheri katika Nchi yetu nzuri TANZANIA. Hadi hivi Leo Watanzania tunatambua mchango wake katika mambo mengi ,lakini jambo kuu lililotugusa Watanzania ni Utumishi wake uliotukuka katika mchakato wa KATIBA mpya.

Alizunguka Nchi nzima akiwa na Tume yake na Watanzania tulishiriki Kutoa maoni tukimuamini Nia yake njema juu ya Taifa letu. Pamoja na mchakato huo kukwama mwaka 2014, bado wananchi tunayo Imani juu yake kuwa ana uwezo kusaidia Nchi kupata KATIBA mpya nzuri ya kulivusha Taifa letu Kwa sasa.

Mnyukano unaoendelea wa wasaka urais usipotanguliwa na kupatikana Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, HAKIKA "Watatoana macho" .

Watanzania tunaendelea kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu Ili ashuhudie Kwa macho yake MAONO yake ya nchi yetu ikipata KATIBA mpya itakayozaa vyama imara, Uchumi imara, viongozi mahiri na Usimamizi Bora wa Raslimali zetu Kwa SHERIA zinazotekelezeka.

USHAURI: Mzee Warioba Bado ana nguvu, BUSARA, Nia na utayari wa kumalizia KAZI aliyoianza.

Arudishwe kwenye Tume ya KATIBA mpya, mchakato uhuishwe UPYA, tuondoe uchafuzi Ule unaoitwa " KATIBA Pendekezwa".

Tuanze na RASIMU ya KATIBA mpya kabla ya kuingia Bunge la Katiba, mchakato uanzie hapo, tujadiliane Kwa kina mfumo mzuri wa kuwapata wabunge wa Bunge maalum la Katiba wasio mapandikizi ya chama Dola, na hatimaye tupate KATIBA mpya.

Mungu mbariki Mzee Warioba,

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
Wamaeleta tena sijui Tume Haki Jinai naona inakusanya maoni upya😅😅
 
Msimuingize mama chaka subirieini awamu yake au zake ziishe then muamue mnachotaka wenyewe wakati huo sisi tutakuwa zetu nyumban.na hata kama koti linatubana tutalivua tukiwa nyumbani.
😅😅😅Mama anakwepa kwepa sana Katiba Mpya nishaona.
 
Lisu.
Kabudi.
Warioba.
Kinana.
Mnyika.
Zito.
Watuandalie katiba
 
HOJA ya KATIBA mpya ni takwa la Watanzania Si hisani.

Alipoingia madarakani sa100 alitamka kuwa mchakato wa KATIBA mpya utaanza 2026.

Hatua tuliyofikia Leo ni matokeo ya kudai HAKI yetu. Utaona budget inatengwa Kwa ajili ya KATIBA mpya.

Angalizo; Wananchi ndio bosses wa Watawala kikatiba, hivyo Watawala wanawajibika kwetu na Si vyinginevyo.
Mama msimsumbue mtafanya mambo yenu 2030
 
Back
Top Bottom