- Thread starter
- #21
Bila kumsahau Dr Wilbroad SLaa.Lisu.
Kabudi.
Warioba.
Kinana.
Mnyika.
Zito.
Watuandalie katiba
Anyway,
RASIMU ya judge WARIOBA IPO, irudishe mezani, yafanyike maboresho kidogo tuchague wajumbe wa Bunge maalum la Katiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumsahau Dr Wilbroad SLaa.Lisu.
Kabudi.
Warioba.
Kinana.
Mnyika.
Zito.
Watuandalie katiba
Naunga hoja mkonoBila kumsahau Dr Wilbroad SLaa.
Ni Kweli wanajaribu kukwepa lakini imeshindikana sababu Muda wa KATIBA mpya Tanzania umefika.😅😅😅Mama anakwepa kwepa sana Katiba Mpya nishaona.
Ni Kweli wanajaribu kukwepa lakini imeshindikana sababu Muda wa KATIBA mpya Tanzania umefika.
Mzee PINDA na Mzee Wassira walitangulizwa Ili kutufanya tumsahau Mzee Warioba lakini wameishia kutafutiwa KAZI nyingine.
Naunga mkono hoja.Tuliona KAZI iliyotukuka iliyofanywa na Tume ya kukusanya maoni juu ya Katiba mpya mwenyekiti wa Tume hiyo akiwa Mzee Warioba.
Walikuwepo wazee kama Mzee Sitta walioshiriki katika mchakato huo katika ngazi mbalimbali, pamoja na kuwa na AFYA njema enzi hizo, Leo hatunao tena Duniani lakini Mzee Warioba yupo.
Mzee Warioba ni Mzee aliyelitumikia Taifa letu Kwa uadilifu mkubwa na ameshiriki kikamilifu kulisaidia Taifa kufika hapa tulipo Kwa uzoefu na BUSARA zake.
Mzee Warioba ni Mzee amekula chumvi nyingi na kushiba siku nyingi za kheri katika Nchi yetu nzuri TANZANIA. Hadi hivi Leo Watanzania tunatambua mchango wake katika mambo mengi ,lakini jambo kuu lililotugusa Watanzania ni Utumishi wake uliotukuka katika mchakato wa KATIBA mpya.
Alizunguka Nchi nzima akiwa na Tume yake na Watanzania tulishiriki Kutoa maoni tukimuamini Nia yake njema juu ya Taifa letu. Pamoja na mchakato huo kukwama mwaka 2014, bado wananchi tunayo Imani juu yake kuwa ana uwezo kusaidia Nchi kupata KATIBA mpya nzuri ya kulivusha Taifa letu Kwa sasa.
Mnyukano unaoendelea wa wasaka urais usipotanguliwa na kupatikana Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, HAKIKA "Watatoana macho" .
Watanzania tunaendelea kumuombea Kwa Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu Ili ashuhudie Kwa macho yake MAONO yake ya nchi yetu ikipata KATIBA mpya itakayozaa vyama imara, Uchumi imara, viongozi mahiri na Usimamizi Bora wa Raslimali zetu Kwa SHERIA zinazotekelezeka.
USHAURI: Mzee Warioba Bado ana nguvu, BUSARA, Nia na utayari wa kumalizia KAZI aliyoianza.
Arudishwe kwenye Tume ya KATIBA mpya, mchakato uhuishwe UPYA, tuondoe uchafuzi Ule unaoitwa " KATIBA Pendekezwa".
Tuanze na RASIMU ya KATIBA mpya kabla ya kuingia Bunge la Katiba, mchakato uanzie hapo, tujadiliane Kwa kina mfumo mzuri wa kuwapata wabunge wa Bunge maalum la Katiba wasio mapandikizi ya chama Dola, na hatimaye tupate KATIBA mpya.
Mungu mbariki Mzee Warioba,
Mungu ibariki TANZANIA.
Amen.
Ameen emeenNi muda mwafaka Kwa Taifa letu:
1. Kupata Mawaziri wasiotokana na wabunge.
2. Wakuu wa wilaya na mikoa waondolewe, tupate viongozi wa kisiasa waliopigiwa kura kuanzia mbunge, diwani, mkuu wa Jimbo nk.
3. Viongozi watangaze Mali zao wanapoingia katika uongozi na wanapotoka.
4. Wazee wote walipwe pension bila ubaguzi unaowaacha waliofanya KAZI sekta binafsi, Nchi itavarikiwa.
5. Sauti ya wananchi iheshimiwe. TABIA hii ya kutowajibika Kwa viongozi wanaotuhumiwa Kwa RUSHWA ikome. Katiba mpya tuhakikishe inatatua shida hii.
6. Wezi wote walioliibia Taifa ktk miradi mbalimbali warudishe pesa zetu.
Tusipoteze Kodi za wananchi kuzungukwa Bure, Rasimu alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani tufanye marekebisho.
Mzee Warioba teuliwe kumalizia KAZI njema aliyoianza.
Una matatizo na Waafrika.Kweli aisee laana za watz
Kudai KATIBA mpya na agenda ya Siri wapi na wapi ndugu SYLLOGIST?Ukome kubeza Watanzania huku Ukijidai kuwatetea wadai Katiba Mpya wakati mna ajenda ya siri mnayotaka iwanufaishe nyie maharamia kwa kujificha kwwnye chaka la kudai ati 'Warioba' Wacheni kuwatukana na kuwabeza Watanzania.
Una matatizo na Waafrika.
Mkuu Rabbon wala usifadhaike...bandiko langu limekuwa limeelekezwa kwa Baadhi ya wachangiaji, na hususani hapo juu ilikuwa kwa Bush Dakta.Kudai KATIBA mpya na agenda ya Siri wapi na wapi ndugu SYLLOGIST?
Hasira za nini au nyie ndio wanufaika na hii iliyopoUkome kubeza Watanzania huku Ukijidai kuwatetea wadai Katiba Mpya wakati mna ajenda ya siri mnayotaka iwanufaishe nyie maharamia kwa kujificha kwwnye chaka la kudai ati 'Warioba' Wacheni kuwatukana na kuwabeza Watanzania.
Una matatizo na Waafrika.
Mimi sina hasira ndugu Wewe ndio unakasirika, nasema, Acha kuwatukana Watanzania... Kudai kuwa watanzania wamelaaniwa ni kuwatukana. Na huwezi kuwa raia mwema au mzalendo kwa mtazamo wangu, kwa kuwatia doa wananchi wenzako na, au wenzakokuwa wamelaaniwa huku wakati huo huo ukidai uko nao kudai katiba mpya.... Hiyo haiwezekani nakusihi uache kufanya hivyo, Ukome, kwani sioni sababu ya kuwa na lugha ya chuki kwenye bandiko lako....No one has provoked you and thus far ulitaka kutukana tu.. hiyo ni nini? Wewe umelaaniwa?Hasira za nini au nyie ndio wanufaika na hii iliyopo