Mzee Warioba ateuliwe tena kukamilisha kazi aliyotumwa na Watanzania

Lisu.
Kabudi.
Warioba.
Kinana.
Mnyika.
Zito.
Watuandalie katiba
Bila kumsahau Dr Wilbroad SLaa.

Anyway,

RASIMU ya judge WARIOBA IPO, irudishe mezani, yafanyike maboresho kidogo tuchague wajumbe wa Bunge maalum la Katiba.
 
Ikipatikana KATIBA mpya Bora, muda kama huu Ripoti ya cag imetoka tu, tayari WEZI wa pesa zetu wangeshakamatwa bila hata ya Rais Kutoa maelekezo.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Mama anakwepa kwepa sana Katiba Mpya nishaona.
Ni Kweli wanajaribu kukwepa lakini imeshindikana sababu Muda wa KATIBA mpya Tanzania umefika.

Mzee PINDA na Mzee Wassira walitangulizwa Ili kutufanya tumsahau Mzee Warioba lakini wameishia kutafutiwa KAZI nyingine.
 
Kweli aisee laana za watz
Ni Kweli wanajaribu kukwepa lakini imeshindikana sababu Muda wa KATIBA mpya Tanzania umefika.

Mzee PINDA na Mzee Wassira walitangulizwa Ili kutufanya tumsahau Mzee Warioba lakini wameishia kutafutiwa KAZI nyingine.
 
Naunga mkono hoja.
 
Ni muda mwafaka Kwa Taifa letu:

1. Kupata Mawaziri wasiotokana na wabunge.

2. Wakuu wa wilaya na mikoa waondolewe, tupate viongozi wa kisiasa waliopigiwa kura kuanzia mbunge, diwani, mkuu wa Jimbo nk.

3. Viongozi watangaze Mali zao wanapoingia katika uongozi na wanapotoka.

4. Wazee wote walipwe pension bila ubaguzi unaowaacha waliofanya KAZI sekta binafsi, Nchi itabarikiwa.

5. Sauti ya wananchi iheshimiwe. TABIA hii ya kutowajibika Kwa viongozi wanaotuhumiwa Kwa RUSHWA ikome. Katiba mpya tuhakikishe inatatua shida hii.

6. Wezi wote walioliibia Taifa ktk miradi mbalimbali warudishe pesa zetu.

Tusipoteze Kodi za wananchi kuzungukwa Bure, Rasimu alosimamia Judge WARIOBA irudi mezani tufanye marekebisho.

Mzee Warioba ateuliwe kumalizia KAZI njema aliyoianza.
 
Ameen emeen
 
Ukome kubeza Watanzania huku Ukijidai kuwatetea wadai Katiba Mpya wakati mna ajenda ya siri mnayotaka iwanufaishe nyie maharamia kwa kujificha kwwnye chaka la kudai ati 'Warioba' Wacheni kuwatukana na kuwabeza Watanzania.




Kweli aisee laana za watz
Una matatizo na Waafrika.
 
Kudai KATIBA mpya na agenda ya Siri wapi na wapi ndugu SYLLOGIST?
 
Kudai KATIBA mpya na agenda ya Siri wapi na wapi ndugu SYLLOGIST?
Mkuu Rabbon wala usifadhaike...bandiko langu limekuwa limeelekezwa kwa Baadhi ya wachangiaji, na hususani hapo juu ilikuwa kwa Bush Dakta.

Hakika lengo langu halikuwa Direct kwa mada yako. Mimi binafsi ni mmoja wa wale wanaotaka Tuendelee pale alipoacha Mzee Warioba. Samahani kwa kukukwaza. Tuendelee kuipigania nchi yetu sote.
 
Hasira za nini au nyie ndio wanufaika na hii iliyopo
 
Hasira za nini au nyie ndio wanufaika na hii iliyopo
Mimi sina hasira ndugu Wewe ndio unakasirika, nasema, Acha kuwatukana Watanzania... Kudai kuwa watanzania wamelaaniwa ni kuwatukana. Na huwezi kuwa raia mwema au mzalendo kwa mtazamo wangu, kwa kuwatia doa wananchi wenzako na, au wenzakokuwa wamelaaniwa huku wakati huo huo ukidai uko nao kudai katiba mpya.... Hiyo haiwezekani nakusihi uache kufanya hivyo, Ukome, kwani sioni sababu ya kuwa na lugha ya chuki kwenye bandiko lako....No one has provoked you and thus far ulitaka kutukana tu.. hiyo ni nini? Wewe umelaaniwa?
 
CCM tujisahihishe.

KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi iliyo dhahiri bila Hila ndani yake, ndiyo njia nzuri yenye Nuru njema Kwa Taifa.

Tukubali kupatikana Kwa Katiba mpya hata kama chama Chetu kitapoteza umiliki wa Dola.

Nchi Bado itakuwa salama hata kama CCM itakufa.

Mzee Warioba arudishwe kukamilisha KAZI njema iliyotukuka.
 
Ndani ya Rasimu alosimamia Mzee Warioba, wananchi tulipendekeza Serikali ya majimbo.

Muundo huu wa Serikali utasaidia kuondoa Hila Kwa viongozi wenye uchu wa madaraka ambao hugawanya majimbo ya Uchaguzi Ili kupata uwakilishi bungeni au kupunguza nguvu ya upinzani.

Mfano mzuri ni Wazi lililotolewa Leo kuomba Bunge kuligawa Jimbo la Mbeya mjini.
 
Lissu: Serikali haijajibu mapendekezo yoyote Hadi sasa Kwa mwaka nzima kuhusiana na namna Bora za kupata KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Nashauri CDM ijiondoe katika maridhiano Ili tuungane mtaani kuidai Katiba ya Kweli.

Bring back our WARIOBA!!!!
 
Dr SLAA amekiri kuwa Tundu Lisu ni kiongozi MKWELI asiyeficha UKWELI, hivyo kukiri kwake juu ya Serikali kupuuza mapendekezo ya CDM juu ya Katiba mpya ni Ishara kuwa hawana Nia ya kuingia katika uchaguzi 2024 Kwa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

CDM ijitoe katika maridhiano.

Tuungane kuidai mtaani Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Bring back our WARIOBA πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Bring back our WARIOBA πŸ’ͺ πŸ’ͺ πŸ’ͺπŸ’ͺ

Pesa za Watanzania ziheshimiwe.

Rasimu ya Warioba irudi mezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…