Mzee Warioba na hoja fikirishi ya Mwalimu Nyerere kutohutubia Kanisani

Yah angekuwa padre angesaidia kuokoa nafsi nyingi ambazo zingekuwa zipotee kama zisingekutana nae.

Cheo cha rais inabidi ujishushe siku zote. Utambue ukubwa wa madaraka uliyonayo vinginevyo watu wataumia.

Kwa hiyo kujishusha ndio huko kukwepa kuongelea madhabahuni?! Na fikiri kila kiongozi kati ya hawa 5 ambao walikuwa Marais wa JMT wanayo mazuri na mapungufu yao.

Huyo Mh Makongoro mwenyewe ungekutana naye early 1980s asingeweza mzungumzia Baba yake kama anavyomzungumzia leo akiwa anatembelea nyota yake.
 
Nadhani huu uhuni wa kutumia mimbari za nyumba za Mungu kutoa matamko ya kisiasa tumeanza kuuona kwa JK,kwa Mwendazake ilizidi! Yaani akipewa Mic ilikuwa ni kufoka mpaka kukashifu Watumishi wa Mungu!
Mhe. Majaliwa naye mskitini alihutubia na kusema Rais Magufuli mzima wa afya anachapa kazi, kumbe....
 
Madhabahu ni mahali pa viongozi waliowekwa wakfu kufundishia waumini maisha ya kiroho. Wewe kusoma seminari haina maana kuwa tayari umeshakuwa mpakwa mafuta.

Haikuleta picha nzuri kiongozi wa kiserikali kuongea ndani ya kanisa tena wakati mwingine akiwakashifu hao hao viongozi waliomkaribisha!.
 
Naona wengi wenu bwana Phillipo Bukililo nmapitia The Epiphany Moment, na kuanza kujirudi kuwa binadamu waungwana. Mkubali au mkatae, mlikuwa mnaunga mkono udhalimu ambao ungeenda kuligawanya hili taifa letu. Nafurahi kuona busara za Mzee Warioba zimekufanya ujifikirie na kurudi kwenye mstari. Awamu ile usingekubaliana kabisa na hizi hoja za Mzee Warioba.......
 

Kila aliye mpokea Bwana Yesu na kuokolewa au kupata Wakovu ni mpakwa mafuta pamoja na Bwana Yesu kupitia Roho Mtakatifu. 2 Wakorintho 1:21-22. Hivyo wanaruhusiwa kuwarudi watumishi wa madhabahuni baadhi yao walio kengeuka kwa dhahiri mbele ya macho ya jamii.

Huwezi kusikia mahubiri yenye ukweli wa aina hii mara kwa mara madhabahuni kwa vile yatawafumbua kondoo akili walizoshikiliwa kwa kutumia mafundisho ya Agano la Kale juu ya wapakwa mafuta wa Bwana. Kinacho sikika zaidi ni Viongozi wa madhabahuni kuwa omba waumini wa waombee kushinda majaribu. Unaombewa vipi na ambaye hajaokoka na kupakwa mafuta??
 
Ni ishara ya ukosefu wa unyenyekevu. Kwamba anaweza kuongea popote mahali popote na asifanywe kitu.

Ni kiburi cha mamlaka.
 
Ni ishara ya ukosefu wa unyenyekevu. Kwamba anaweza kuongea popote mahali popote na asifanywe kitu.

Ni kiburi cha mamlaka.

Sio kweli Pazia la Patakatifu pa Patakatifu lilisha chanika/pasuka Bwana Yesu alipoangikwa pale Msalabani hivyo yeyote aliye mpokea Bwana Yesu kuwa Mwokozi wake ana accsses ya Patakatifu pa Patakatifu. Labda useme JPM alikuwa haongelei mambo ya maadili ya Mungu hapo madhabahuni.
 
Alikua mungu mtu yaaani one man show. Anajua kila kitu uganga uchawi kanisani udaktari ufundi aisee 🙌🏻🙌🏻🙌🏻 kwa ufupi alikua raisi wa hooovyoooooo kuwahi kutokea na mshamba mni
Tatizo la magufuli ilikuwa anajiona anafahamu kila kitu. Alivuka mipaka sana kwenye hili jambo. Mbaya zaidi alikuwa anawapa maagizo watumishi wa Mungu akiwa madhabahuni. Wote tumeuona mwisho wake.
 
Pamba uwezavyo kwa kila kifungu unachokifahamu cha Biblia, lakini JPM alikosea kuongea madhabahuni. Kuishia seminari sio kigezo cha kuitumia mimbari kuonyesha muelekeo wa serikali yake.
 
Pamba uwezavyo kwa kila kifungu unachokifahamu cha Biblia, lakini JPM alikosea kuongea madhabahuni. Kuishia seminari sio kigezo cha kuitumia mimbari kuonyesha muelekeo wa serikali yake.

Atleast mbele za Mungu JPM hatajibu kwa Mungu wake kwa nini watu aliowaongoza waliacha kumtegemea Mungu wakategemea barakoa. Hilo swali halitamuhusu. Alisitiza wazi kumtegemea Mungu wa Mbinguni kwa kila jambo na kumuweka wa Kwanza kwa kila kitu.
 
Mkapa aliifuata hiyo tabia, mnapishana tu mle ndani kawaida tu.
 
No offence hii stori hujamaliziwa mkuu,nyerere mtu mbad
 
Mkapa aliifuata hiyo tabia, mnapishana tu mle ndani kawaida tu.

Mnapishana kichwa kimejaa Yohana Mtembezi lazima uonepoa tu unasogelea Madhabahu katika hali hiyo na unaona ndio ustaarabu na kustarabika kwenyewe huko.
 
Mnapishana kichwa kimejaa Yohana Mtembezi lazima uonepoa tu unasogelea Madhabahu katika hali hiyo na unaona ndio ustaarabu na kustarabika kwenyewe huko.
Ballantine ndugu, sijawai kumuona na john mtembezi labda JD.
Na sijawai kuona kalewa.
Tuwe na heshima hapo.
 
Ballantine ndugu, sijawai kumuona na john mtembezi labda JD.
Na sijawai kuona kalewa.
Tuwe na heshima hapo.

Waulize wakongwe wa JF watakuibulia nyuzi inayo zungumzia kutembelewa kwa na Mwl usiku hapo mahakama ya samaki.
 
Magufuli aliidhihaki sana madhabahu... hata ingekua madhabahu ya nini ile kitu huwa haidhihakiwi... unaiba chaguzi... unaua watu na kushiriki uchawi bado unasimama madhabahuni kudhihaki? Yule jamaa alijiandalia kifo chake.
 
Yule mchawi wenu JIWE aliikanyaga sana madhabahu
 
Mama Ana Mwansansu Aliyeongea juzi nyumbani kwa Mwalimu Nyerere unamkumbuka vizuri?. Alikuwa anaishi nyuma ya eneo walilokuwa wanaishi wale tausi, nyumba yake ikitazamana na bahari na kulia kwake ndio soko la feri.
We unamjua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…