Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Yah angekuwa padre angesaidia kuokoa nafsi nyingi ambazo zingekuwa zipotee kama zisingekutana nae.
Cheo cha rais inabidi ujishushe siku zote. Utambue ukubwa wa madaraka uliyonayo vinginevyo watu wataumia.
Kwa hiyo kujishusha ndio huko kukwepa kuongelea madhabahuni?! Na fikiri kila kiongozi kati ya hawa 5 ambao walikuwa Marais wa JMT wanayo mazuri na mapungufu yao.
Huyo Mh Makongoro mwenyewe ungekutana naye early 1980s asingeweza mzungumzia Baba yake kama anavyomzungumzia leo akiwa anatembelea nyota yake.