Hayo ni mambo public, of course watu watataka kujionesha wana pain.
Kujua ukweli inabidi ukae nao private kama mimi nilivyokaa na Mama yangu.
Inawezekana kuna watu walikuwa wanakaripiwa kama watoto walikuwa hawapendi.
Magufuli alikuwa na hulka hiyo.
..lakini wasaidizi wa Jpm wanasema alikuwa anapenda kula chakula na wasaidizi wake na kutaniana nao.
..pia wanasema Jpm alikuwa akiwahimiza wasaidizi wake kusali/kuswali. Zaidi aliwahimiza wasaidizi wake Waislamu kwenda hijja.