Hajaacha alama? Unaota au hujui maana ya alama?Inasikitisha kuona a few that are not sure pia wanaonekana wanapinga hoja ya uwekezaji
Kwanza Hakuna uhakika if warioba said that and pili hata Kama amesema, he has the rights to do so
Lakini hana any additional merits kwani his time ilipita bila yeye kuacha alama
Mkuu sasa matusi ya nini? Wewe ni GT wa JF, watu wanakutegemea kwa hoja zako humu; mbona una kengehuka? Toa elimu watu waelimike au huna hoja?Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
wewe ulichokiandika umekielewa?Sasa wewe unapiga kelele za nini?
Angalia chura asikukwame kooni ukaondoka na hiyo mikataba yako.
Katiba ya warioba Iko wapi? Watu wanataka katiba mpya….Hajaacha alama? Unaota au hujui maana ya alama?
Kila siku watu wanasema wanataka katiba ya Warioba, hiyo uliandaa wewe?
Lakini si afadhali uondoke bila kuacha alama yoyote ya upvu kuliko uache alama ya kuwasaidia waarabu kupora bandari zote za Tanganyika?
Kwanza huo GT ndo umenipa wewe saizi, sikuwa nao kabla.kengehuka?
Huwezi elewaTofauti kati ya uwekezaji na ujambazi ni kubwa mno!
Mkuu watu wanazunguza hoja za kitaifa wewe unaleta mambo ya dini, udini. Pevuka katika mambo ya msingi Mkuu.Hao ndivyo walivyo,huwa wanaambiana kupiga presha wakiona Jambo linatishia maslahi ya vigango,walifanya hivyo kwa mwinyi,walimsumbua kweli,kwa jakaya walikwama,na hapa watakwama,warioba na kizazi chake ni kizazi kilichopandikiza na kuitenda chuki dhidi ya waislam,hawezi mpenda mwarabu...ukichukia boga chukia na ua
Mkuu wewe ni Expert Member, hivyo sisi akina member, japokuwa tulikuwa expert pia lakini sasa tunawategemea ninyi.Kwanza huo GT ndo umenipa wewe saizi, sikuwa nao kabla.
Wewe mara mbili?Mkiendekeza hao wazee nchi itakua kama Zimbabwe.
Aisee!Mkuu wewe ni Expert Member, hivyo sisi akina member, japokuwa tulikuwa expert pia lakini sasa tunawategemea ninyi.
CrapMkuu wewe ni Expert Member, hivyo sisi akina member, japokuwa tulikuwa expert pia lakini sasa tunawategemea ninyi.
Ameonyesha udhaifu wa haki ya juu, viatu ni vikubwa kwa nguvu wakeDhaHii ngoma ishaanza kuwa nzito mama yuko tested
Ulitaka aache alama ya wizi kama hawa wa sasa?Inasikitisha kuona a few that are not sure pia wanaonekana wanapinga hoja ya uwekezaji
Kwanza Hakuna uhakika if warioba said that and pili hata Kama amesema, he has the rights to do so
Lakini hana any additional merits kwani his time ilipita bila yeye kuacha alama
Akili fupiUlitaka aache alama ya wizi kama hawa wa sasa?
Wazee wamesituka, mama Samia soma alama za nyakati......mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
....ki ukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
....suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
....MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Kujiletea maendeleo yanayoendana na upeo, ubunifu binafsi nirahisi kuwa na uchumi wa kuigwa!( mfano tulipo kataa kuburuzwa na mipango ya corona tukaenda kivyetu) Lakini kutegemea kutengenezewa upeo wa maendeleo daima utakuwa mtazamaji tu na utabaki kuwa mediocre! Hakuna aliye naroho nzuri ya kukupa maendeleo chumbani mwako alafu aondoke akitabasamu watu wasijiulize!Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
.....mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
....ki ukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
....suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
....MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.