Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Muulize baba yako yeye anamchango gani na familia yako hapo kwenu?kuwa na heshima kwa watu wazimaHawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
Tatito mama yetu amefanya wrong timing, pengine kwa kushauriwa vibaya hili suala. 2023 na anakabiliwa na uchaguzi 2025 hakafu issue ya popularity inasumbua tangu ameanza. Wazee wameanza kujitenga. Ilitakiwa issue ya bandari ianzie huku ili ikifika juu iwe na baraka na ushauri wa hawa.Lakini tunaishi kwenye jamii mfu ambayo imekuwa haihoji kwa sauti ya kusikika angalau kwenye hili sauti imekuwa kubwa tena sana
Huu uzushi ingependeza ungemtumia mamako tu siyo kuleta huku, huuni ujuhaMwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Utu uzima siyo kigezo cha kuheshimika.Muulize baba yako yeye anamchango gani na familia yako hapo kwenu?kuwa na heshima kwa watu wazima
Hiyo 'BOGUS' inahusu nini?Kwahyo mnadhan hzo kelele zenu zitaizuia DPW kuja kuoperate pale bandarini? BOGUS!
Uhuru huanzia kwa mtu Mwenyewe.ukishindwa kujielewa unakuwa mtumwa tu hakuna zaidi ya hapo.Uhuru ni mzuri sana.
Miaka mitatu nyuma angepewa mwaliko kama huo angewahi ukumbini siku mbili kabla.
Pita hivi.....bablai, ungekua unamaanisha unachokitetea usingeyakacha yale maandamano uchwara ya wajinga wenzako.isipoteze muda hapa na mtu mwenye kiwango hafifu sana cha kufikiri.
Warioba ni aina ya wale binadamu walalamishi ktkt kila jambo, mtu asiyeishiwa manung'uniko ndiyo maana alifukuzwa uwaziri mkuu na Mzee Mwinyi, na akaja kupigwa na Makonda, hajawahi ku-appreciate kinachofanywa na serikali hana tofauti na kina Tundu Lissu na Jenerali Ulimwengu. Watu km hao watakufa wakiwa hivyohivyo na bahati mbaya hawana cha maana walicho-accomplish ktkt maisha yao ya siasa. Ogopa sana "Mr. Know All", ni mtu mbishi, asiyeamini wenzake, yeye ndiyo anajua kila kitu, huyom hawezi kufanya kazi km team.Mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Akili zako zina shidaWarioba ni aina ya wale binadamu walalamishi ktkt kila jambo, mtu asiyeishiwa manung'uniko ndiyo maana alifukuzwa uwaziri mkuu na Mzee Mwinyi, na akaja kupigwa na Makonda, hajawahi ku-appreciate kinachofanywa na serikali hana tofauti na kina Tundu Lissu na Jenerali Ulimwengu. Watu km hao watakufa wakiwa hivyohivyo na bahati mbaya hawana cha maana walicho-accomplish ktkt maisha yao ya siasa. Ogopa sana "Mr. Know All", ni mtu mbishi, asiyeamini wenzake, yeye ndiyo anajua kila kitu, huyom hawezi kufanya kazi km team.
Misukule kama wewe sina muda wa kupoteza anao.Pita hivi.....bablai, ungekua unamaanisha unachokitetea usingeyakacha yale maandamano uchwara ya wajinga wenzako.
Sasa upo unafanya nini hapa wewe mbweha wa kijani.Misukule kama wewe sina muda wa kupoteza anao.
Ukinilazimisha, sitakuacha utambe na ujuha wako huu!Hiyo ni 'doctrine' niliyojiwekea kushughulika na watu wapuuzi humu kama wewe.Sasa upo unafanya nini hapa wewe mbweha wa kijani.
Wewe una kichaa, wahi Milembe.Ukinilazimisha, sitakuacha utambe na ujuha wako huu!Hiyo ni 'doctrine' newe.
Hapa naiona indicator ya njano. Hii nchi ni muda muafaka kila mtu kuficha bichwa lake kabla kadi nyekundu haijachomolewa mfukoni mwa linesmenMwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Wewe ulishatoka huko.Wewe una kichaa, wahi Milembe.
Rudi shule ukajifunze matumizi sahihi ya question tag.Wewe ulishatoka huko.
Huyo aliyekuachia urudi mitaani kaona umeshindikana? Hakuna msaada wowote tena unaoweza kukusaidia na hiyo hali yako?