Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigwa sound na bibi wa kibandamaiti zanzibarMh. Warioba amesema hayo akihojowa na Mobali wa BBC. Hivyo amesema hajui kura ya maoni itafanyika lini kutokana na janga la Corona.
Hata wakikataa inategemea Kama watanzania wataridhia ccm hawana wingi huo unaodhania wa kutosha kukwamisha.Nitashangaa CCM wakikubali hii kitu wakati wamesema Katiba Mpya sio kipaumbele chao
Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba anasema kimsingi Rais Samia anakubali kwamba Katiba mpya inahitajika lakini siyo sasa kutokana na changamoto zilixopo...
Hata wakikataa inategemea Kama watanzania wataridhia ccm hawana wingi huo unaodhania wa kutosha kukwamisha.
Kwani Kuna rock down Kama Uganda mpaka aseme changamoto ya coronaWaziri mkuu mstaafu Jaji Warioba anasema kimsingi Rais Samia anakubali kwamba Katiba mpya inahitajika lakini siyo sasa kutokana na changamoto zilixopo.
Kwa mfano kwenye katiba mpya ni lazima ipigwe kura ya maoni lakini kwa hii changamoto ya Corona haitawezekana
Source: BBC Dira ya Dunia!
Ulitaka Warioba akatae jibu la Rais? Uongozi na kuwa na Wazee ni hazina kubwa. Hiki ndicho inapingukiwa CHADEMA.Mzee kadanganya na amejaa [emoji23][emoji23]