Wale wanamuziki waliokufa morogoro walisema alihusikaga kama kweli Mungu amsamehe
mkuu unachosema ni kweli mm mwenyewe maneno yao wanayoimba siyakubali ila kwenye upande wa masebene hatariKuna kipindi alisema atagombea jimbo huko Zanzibar em mtu anaejua alikua chama gani atupe taarifa sababu alisema atatangaza nia ila sikumsikia tena.
Pia nampongeza kuacha mziki wa taarab ni mziki wa wambea na wapika majungu sionagi kama una la maana zaidi ya kuimba upuuzi.
Mziki ni dhambi?
Ndio, muziki ni haramu kwa waislam
Kuna kipindi alisema atagombea jimbo huko Zanzibar em mtu anaejua alikua chama gani atupe taarifa sababu alisema atatangaza nia ila sikumsikia tena.
Pia nampongeza kuacha mziki wa taarab ni mziki wa wambea na wapika majungu sionagi kama una la maana zaidi ya kuimba upuuzi.
Na wasiwasi na majibu aliyopata ANGAZA [emoji848]
Dina wangu pole mamii,wlikupiga ban?najua mamii lakini Nifah sio mbaya labda ni ibilisi tu mamii,naomba msameheane mamii.Mmmmmmmhhhhh
Dhambi na laana juu.,.,..,perioooooood.Mziki ni dhambi?
Raia wanasema ni sembe imekuwa ngumu Tanzania wengine wanasema bacteria wengine wanasema uzushi wengine wamekaa kimya kama mimi.
Jamani tusijisahau sana hapa daraja bovu....tu ahera pagumu!
Kumbe hata na wewe unaijua MIWAYA,basi umepita kwingi mamii.Ukute aliokota kimwana huko halafu kutoka kaja kusikia demu ana miwaya keshaua wengi
Ila bora kachagua fungu jema....kumrudia muumba kabla hajaitwa na muumba...BETTER LATE THAN NEVER
Kwa hiyo unataka uhakikishiwe au vipi?Ulishawahi kwenda huko au kuna mtu alishawahi kwenda huko akarudi na kukuadithia?
Muziki si dhambi, ila kuna aina ya Muziki unaweza kuwa dhambi. Ndio maana kuna kwaya.Mziki ni dhambi?
Jambo la kweri kaka Allah akutangulie