The Don
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,499
- 1,170
Naona umevaa umungu kwa kutoa mashart ya kumsameheSharti lake hizo pesa zote anatakiwa azitoe kwa maskin na mayatima, hapo toba yake itakua imetakasika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umevaa umungu kwa kutoa mashart ya kumsameheSharti lake hizo pesa zote anatakiwa azitoe kwa maskin na mayatima, hapo toba yake itakua imetakasika.
Maa shaa Allah, weka nia ya dhati na Allah mwingi wa rehma atakuongoza katika njia iliyonyooka.Naaam!mungu ampe wepesi ktk njia njema aliyoichagua!,mi pia nataman kuachana na maov nifanyayo hivo nanyi tamanin kulejea kundini"NAIHUSIA NAFSI YANGU NA YAKO PIA"
Astaghafirullah!! usinibabatize mambo nisiyo na uwezo nayo, maneno hayo sijayatunga mimi bali ni maamrisho kutoka kwa Mtume wetu Muhammad (s.a.w), nami nimefanya kutoa elimu kwa ndugu zangu walioghafilika.Naona umevaa umungu kwa kutoa mashart ya kumsamehe
Hata mimi nasyangaa![emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Mziki ni dhambi?
Umeongea sahihi kabisa. Mzee Yusuf hayupo huko tena. Allah amjaalie mwisho mwema!Huko kote ameshavuka ndgu na ww fanya umrudie muumba wako, Dunia mapito.
"Ukiona mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo "
Siyo kitimoto peke yake,maana pombe sigara wake za watu sawa lakini kitimoto haramu
Uyo ustaashi anakudanganyaKaswida sio dhambi, huu muziki wa vinanda, gitaa n.k ndio haramu
N.B mimi sio muislam ila nina rafiki ustaadh huwa ananipa mawaidha
Kama kulikuwa na kura za maoni basi hicho chama ni ccm.Aligombea chama fulani hivi lakini kura za maoni hakupita
Iyo ni Kiki tuuu. Kuna nyimbo ametoa iyo full mipasho na kuchambanaMpeni muda kidogo....huyu sina shaka atarudi kwenye mipasho yake hata mwaka hauishi.
Atawagawia Maskini na Mayatima.
Inawezekana ni kweli usemayo, maana nilikuwa nina rafiki yangu ustaadh mmoja hivi chuoni, yeye alikuwa haudhurii sherehe zote za waisilamu wenzake kwa sababu zilikuwa zina kangoma kanapigwa. Hii kitu bado ina ubishani miongoni mwa waisilamu, huku kingine kinacholeta ubishi kikiwa ni kusherehekea Maulid ya mtume"..... Hakika mziki ni shetani...."
Iwe Qaswida au Dufu vyote ni kharamu.
Navyojua mimi kuimba sio dhambi.... aa zinazotumika ndio issue na content maybe.Mziki ni dhambi?
Ungekua imani ya Mzee Yusuph ungeelewa ila kwa kua ni tofauti acha tu ubaki na hali ya sintofahamu.Yatima ndio wapewe haram?...
Kuna Muislam na Muumini,Inawezekana ni kweli usemayo, maana nilikuwa nina rafiki yangu ustaadh mmoja hivi chuoni, yeye alikuwa haudhurii sherehe zote za waisilamu wenzake kwa sababu zilikuwa zina kangoma kanapigwa. Hii kitu bado ina ubishani miongoni mwa waisilamu, huku kingine kinacholeta ubishi kikiwa ni kusherehekea Maulid ya mtume