Ukute aliokota kimwana huko halafu kutoka kaja kusikia demu ana miwaya keshaua wengiWikii hii alikuwa anapiga show mkoa wa Lindi, pale Police, yamempata yapi huko!!
Mkuu una uthibitisho wa hili.nje ya biblia?Bado hajafanya lolote....
Uhuru na Amani ya kweli inapatikana kwa YESU TU!
(kwa wanaoamini)
Huo msikiti watu walivyo wanafki watauenzi kama maka kumbe ni pesa za mafuska mavuta bangi na matapeli na wafugaji wa kitimoto.Hivi msikiti wa Diamond ujenzi wake umefikia hatua gani?
Mkuu una uthibitisho wa hili.nje ya biblia?
Kaswida kwaiyo dhambi sio
Hivi msikiti wa Diamond ujenzi wake umefikia hatua gani?
Usihukumu kabla wewe haujahukumiwa.Tumuachie Allah yeye ndio anayehukumuHivi atapata msamaha kwa Allah kweli?au anajidanganya? Alishamkosea Mungu huyu na watu wengine ,watu wamevunja ndoa zao kwa ajili ya taarabu yake .Sasa Mungu atampa msamaha je wale aliewakosea?
Kwa imani yao nadhaniMziki ni dhambi?
Kwani wanaoungamishwa hawajui wayafanyayo kwamba dhambiKwani siku zote alikuwa hajui? Mpaka akanasa?
Wanafiki wakubwa watakuwa wale wenye kuungama na kuungamisha wenzaoMwanadamu ni wa ajabu sana, yaani jamaa kakusanya pesa nyingi kupitia huo mziki halafu anakuja na gia eti anamrudia Mungu kwani hapo kabla hakufahamu kuwepo kwa Mungu. Ni unafiki.
Kama hujui sabab zake muache na maamuzi yakeHana akili huyo. Aliemwambia mziki ni dhambi nani? Aseme tu mziki wa taarab kwa sasa umekosa soko asilete zisingizio vya dini.
Wale majambazi wakishaungama waliowaua katika matukio wanakuwa wamefufukaNa hela alizochuma kwa mziki kazipeleka kwa mwenyewe shetani?