Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

Mpeni muda kidogo....huyu sina shaka atarudi kwenye mipasho yake hata mwaka hauishi.
 
Mwanadamu ni wa ajabu sana, yaani jamaa kakusanya pesa nyingi kupitia huo mziki halafu anakuja na gia eti anamrudia Mungu kwani hapo kabla hakufahamu kuwepo kwa Mungu. Ni unafiki.
 
Enyi mlio amini! Tubuni kwa Mwenyezi Mungu toba iliyo ya kweli! Asaa Mola wenu Mlezi akakufutieni maovu yenu na akakuingizeni katika Pepo zipitazo mito kati yake, siku ambayo Mwenyezi Mungu hatamdhalilisha Nabii na walio amini pamoja naye. Nuru yao inakwenda mbele yao na pande zao za kulia, na huku wanasema: Mola wetu Mlezi! Tutimilizie nuru yetu, na utughufirie! Hakika Wewe ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.
 
Enyi mlio amini! Tubuni kwa Mwenyezi Mungu toba iliyo ya kweli! Asaa Mola wenu Mlezi akakufutieni maovu yenu na akakuingizeni katika Pepo zipitazo mito kati yake, siku ambayo Mwenyezi Mungu hatamdhalilisha Nabii na walio amini pamoja naye. Nuru yao inakwenda mbele yao na pande zao za kulia, na huku wanasema: Mola wetu Mlezi! Tutimilizie nuru yetu, na utughufirie! Hakika Wewe ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.
Aaaamin
 
Sio kila mtu anaweza kufanya mziki, mziki ni special talent ambayo Mungu amewajaalia watu wachache sana. Sasa kama kufanya mziki ni haramu, Mungu alitoa hivi vipaji vya nini? Kwa matumizi yapi labda? Nawaza tu msinirushie mawe
Hujaambiwa muziki ni haramu ila kile ukitoacho kwa kupitia muziki ndicho haramu,Je una uhakika Mungu alitoa vipaji vya mziki,unasoma wapi au umepata wapi hili
 
Tatizo sio taarabu ni ufuska ndio unamfanya alie huenda majibu ya vipimo ndio vimemfanya ahamie upande huo na ndio kilichokuwa kinamliza
ha ha ha ha ha ha ha watu na majibu yao ya mwendokasiiiiii, eti huenda vipimo ndio vimemfanya alie!
 
Haya ni moja katika maamuzi magumu mno kufanywa na wanadamu. Nina mashaka atarejea tena kwa kishindo.
 
Aiseeee, basi poa kama ni kweli.
IMG_0115.JPG
Mtamuongezea kilio mkuu.
 
Inshaallah Mungu akufanyie wepesi kwenye jambo hili zito,shetani hawezi kukabali inahitaji nguvu naamini utaweza kama Saigon na Suma Lee ukiwaona huwezi amini.
 
Back
Top Bottom