Fasili utaipata ukifika ila memgi usha elekeswa ila hilo neno nigumu sana kwa kiswahiliNaomba fasili kwa kiswahili
Shemeji (Mlamu) karibu sana!
Huku Mboga Za asili ni kama vile mahombo (mlenda), mchunga, kungujulu , chelue , mnyago n.k
Longa mgosiHaluse wabwanga Mboga hamkumgambila mnyenu kuhusu a magumbo yo ulamu mapema ?!
[emoji14][emoji14][emoji14]
Unipe huo mgongo..Unataka kusemaje kwani
Come come comeUnipe huo mgongo..
Dhumuni langu ameelewa aloulizaWasiotonbeka ni akina nani? Mkuu??
Naomba fasili kwa kiswahili
Longa mgosi
Sikwiva vyedi mvereungwaOoh sina mbuli mnyangu !
[emoji14][emoji14][emoji14]
Mna mie siyo mgosi mnyangu [emoji85][emoji14]
Ni mndelengwa!
[emoji14][emoji14][emoji14]
NisamereOoh sina mbuli mnyangu !
[emoji14][emoji14][emoji14]
Mna mie siyo mgosi mnyangu [emoji85][emoji14]
Ni mndelengwa!
[emoji14][emoji14][emoji14]
Nisamere
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndugu yangu hapa nimetoka kapaaa
Haahaa Sawa mkuu kila la kherHahaa sawa mashemeji ...nampenda mzigua mmoja amazing nikimuoa ntareta mrejesho [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]