"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

Naomba fasili kwa kiswahili

Mboga = mbona [emoji14]
Nilikuwa namaanisha Hivi: sasa akina kaka Mbona hamumkaribishi shemeji yenu na kudai sehemu yenu ya mahali inayoitwa " magumbo ya ushemeji?! [emoji3][emoji3][emoji3]!
Hii sehemu ya mahali nazani wanachukulia kuwa hadi binti anakuwa na kuweza kuolewa kaka zake wana sehemu wamechangia ktk kumlisha wakati wa njaa kali n.k
 
Mahali imegawanyika sehemu kadhaa sikumbuki vizuri lakini kuna mahali yenyewe, kuna magumbo yo ulamu , kuna mkaja wa mama, n.k
Kuna mahali niliandika wakati wa harusi
 
Back
Top Bottom