Mzimu wa Magufuli umemwingia Polepole. Mnaomwandama mjipange, ana nguvu isiyo ya kawaida

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kauli ya kusema hana shida na ubunge wao na hagombei ubunge ni kauli ya kizalendo na tungekuwa na Wabunge wa CCM 75% Kama Polepole wangeinyoosha serikali ya CCM mtu mmoja tu kawatoa jasho.

Kwa hiyo wabunge wa CCM badilikeni acheni kulamba nyayo za watawala simamieni ukweli kama Polepole.
 
Uswahilini mtu kama huyu anaitwa KITI , ni mwakilishi wa Maruhani na mizimu
 

Kwenye huu wito na Bashiru yumo? Vipi Mdee, Kabudi, Ndalichako au Msukuma?
 
Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press it's too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu
 
Sorry for the record tu hakuna cha mzimu wala bibi ake. Nothing special about pole pole

Pili mfumo wote wa serikal ya ccm umekuwa designed kulamba wakubwa viatu. From top to the bottom.
Ni utamaduni huo umekuwepo toka uhuru.. and hauto potea kwa kuwa na aina fulani ya wabunge. Watamezwa na huo mfumo. Unless kije chama kingine
 
Polepole alikuwa swahiba na chawa kwa mwendazake. Washapiga parefu sana ndio maana anajiamini, ana stock ya kumshibisha bila kufanya kazi.

Bilioni 71 zilijenga barabara ya njia 2, wakati barabara kama hiyo ilijengwa kwa bilioni 4
 
Dikteta kabakia skeleton huko alipo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…