Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Polepole ni mjane asiyetaka kukubali kuwa sponser kafariki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzalendo wapi?wakati ni njaa tu ndiyo inayomsumbua, kuna kiumbe kilikuwa kinalamba nyao za meko kama huyo, BUSHMAN(wa the god must be crazy) alipokuwa akiwanunua wapinzani , akisifia ma V8?Kauli ya kusema hana shida na ubunge wao na hagombei ubunge ni kauli ya kizalendo na tungekuwa na Wabunge wa,CCM 75% Kamaa polepole wangeinyoosha serikali ya CCM mtu mmoja tu kawatoa jasho
Kwa hiyo wabunge wa CCM badilikeni acheni kulamba nyayo za watawala simamieni ukweli kama Polepole
sijajua anajivunia nini, inawezekana ana nguvu kubwa sana ambayo sisi wengine hatuioni, kwasababu hadi leo hii kwa anayoyafanya halafu ccm imefyata mkia. sio bure.Kauli ya kusema hana shida na ubunge wao na hagombei ubunge ni kauli ya kizalendo na tungekuwa na Wabunge wa,CCM 75% Kamaa polepole wangeinyoosha serikali ya CCM mtu mmoja tu kawatoa jasho
Kwa hiyo wabunge wa CCM badilikeni acheni kulamba nyayo za watawala simamieni ukweli kama Polepole
Polepole ni mjane asiyetaka kukubali kuwa sponser kafariki.
Anawanyoosha kwa sababu kundi la sasa linalojinasibu ccm ni wana element za wizi . Hivi ushakutwa na mtoto ukiwa angle siyo ? Unaweza mwamkia Bro .hili kundi sijui kina wenyewe ni wana udalali ndani yao ndo maana dogo anawanyooshaKauli ya kusema hana shida na ubunge wao na hagombei ubunge ni kauli ya kizalendo na tungekuwa na Wabunge wa,CCM 75% Kamaa polepole wangeinyoosha serikali ya CCM mtu mmoja tu kawatoa jasho
Kwa hiyo wabunge wa CCM badilikeni acheni kulamba nyayo za watawala simamieni ukweli kama Polepole
Mbona unaongea pumbaUswahilini mtu kama huyu anaitwa KITI , ni mwakilishi wa Maruhani na mizimu
Wewe ongea mchele.Mbona unaongea pumba
Umevaa shanga?Polepole ni mjane asiyetaka kukubali kuwa sponser kafariki.
Hapa tayari liuvccm limeshapanic 😂Umevaa shanga?
Jibu swali ndio au hapana?Hapa tayari liuvccm limeshapanic 😂
Punguza jazba wewe bushman 😂Jibu swali ndio au hapana?
Mjane wa marehemu pombe umepanic kweri-kweri 🤣Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press its too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu
Mbona unakwepa kujibu swali?😂Punguza jazba wewe bushman 😂
😂😂😂 mheshimiwa yuko mbinguni au mbona unaleta ushetani tenaKauli ya kusema hana shida na ubunge wao na hagombei ubunge ni kauli ya kizalendo na tungekuwa na Wabunge wa,CCM 75% Kamaa polepole wangeinyoosha serikali ya CCM mtu mmoja tu kawatoa jasho
Kwa hiyo wabunge wa CCM badilikeni acheni kulamba nyayo za watawala simamieni ukweli kama Polepole
Umepanic eh 😂Mbona unakwepa kujibu swali?😂
Hapana, jibu swali umevaa?Umepanic eh 😂
Punguza jazba wewe mjane wa marehemu pombe.Hapana, jibu swali umevaa?
Hujui kiswahili?Punguza jazba wewe mjane wa marehemu pombe.